GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,175
Halafu GENTAMYCINE nikiwa Kutwa naidharau Media ya Tanzania mnaona nakosea au siijui jinsi ilivyo rotten Professionally.
Hivi kweli kama tayari nchi Tatu za Uganda, Kenya na Tanzania zimefanikiwa kwa pamoja kuandaa Mashindano ya AFCON ya mwaka 2027 kuna haja logically media ya Tanzania kuhoji kwanini katika Uwasilishaji wake Bendera ya Kenya ndiyo vimetangulia na siyo Tanzania?
Hivi kweli kama tayari nchi Tatu za Uganda, Kenya na Tanzania zimefanikiwa kwa pamoja kuandaa Mashindano ya AFCON ya mwaka 2027 kuna haja logically media ya Tanzania kuhoji kwanini katika Uwasilishaji wake Bendera ya Kenya ndiyo vimetangulia na siyo Tanzania?