Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 338
- 891
Kenya Uganda na Tanzania zimepewa nafasi ya kuandaa kwa pamoja fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2027 baada ya Shirikisho la soka Afrika (CAF) kutangaza kuwa ombi lao pa pamoja limeshinda dhidi ya maombi ya Algeria, Misri na Botswana ambazo nazo ziliomba.
Kwa kawaida utaratibu jinsi ulivyo, ni kwamba nchi mwenyeji hupewa fursa kwa timu yake kukata tiketi ya moja kwa moja kushiriki.
Sasa kwa hizi nchi tatu ni ipi itatoa mwenyeji au zote zitapata nafasi hiyo, utaratibu kwa nchi tatu ukoje?
Kwa kawaida utaratibu jinsi ulivyo, ni kwamba nchi mwenyeji hupewa fursa kwa timu yake kukata tiketi ya moja kwa moja kushiriki.
Sasa kwa hizi nchi tatu ni ipi itatoa mwenyeji au zote zitapata nafasi hiyo, utaratibu kwa nchi tatu ukoje?