Azniv Protingas
JF-Expert Member
- Oct 29, 2020
- 264
- 405
Habari wanajamii,
Nilikuwa naomba mnipe mchanganuo wa pesa ili niandae nikatembee Kenya, nina mpango wa kukaa wiki moja, siku nne Mombasa, siku tatu Nairobi.
Mchanganuo ujumuishe:
-Pesa ya usafiri (Dar-Mombasa-Nairobi-Arusha-Dar)
-Malazi (nimejaribu kuangalia mtandaoni kuna cheap hotel mpaka 70k kwa cku 4)
-Pesa ya kula na matumizi madogomadogo
-Na nauliza kama kuna ulazima wa kupiga chanjo ya yellow fever na COVID-19 na kama lazima gharama zake.
Mimi nimepiga hesabu nikaona laki tano inatosha kabisa ila nataka bajeti kutoka kwa wajuzi zaidi.
Nilikuwa naomba mnipe mchanganuo wa pesa ili niandae nikatembee Kenya, nina mpango wa kukaa wiki moja, siku nne Mombasa, siku tatu Nairobi.
Mchanganuo ujumuishe:
-Pesa ya usafiri (Dar-Mombasa-Nairobi-Arusha-Dar)
-Malazi (nimejaribu kuangalia mtandaoni kuna cheap hotel mpaka 70k kwa cku 4)
-Pesa ya kula na matumizi madogomadogo
-Na nauliza kama kuna ulazima wa kupiga chanjo ya yellow fever na COVID-19 na kama lazima gharama zake.
Mimi nimepiga hesabu nikaona laki tano inatosha kabisa ila nataka bajeti kutoka kwa wajuzi zaidi.