kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. The Watchman

    JamiiForums Tanzania FALSE Bolt stops its operations in Kenya

  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Zamani nilipokuwa South Africa, leo na gundua kwamba wa Zanzibar wakiwa huku wanajiona ni watu Kenya toka Mombasa

    Watu Zanzibar kama mjawahi kukutana nao unaweza kujua ni watanzania. Ila hawa watu wapo kwa vyovyote kujionesha sio watanzania hata kuvaa bendera za kenya. Ili jambo sikuwahi kufikiria miaka nyuma sana ila leo kwa kauli zao zinaonesha ukweli. Kuwa muungano huu mkilazimisha kinachofata...
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Waziri: Wanaojiuza Zanzibar wanatoka Tanzania bara na Kenya

    Akijibu swali bungeni, Waziri amesema kuwa serikali ina mkakati madhubuti wa kufanya operesheni za mara kwa mara katika maeneo yanayodhaniwa kuwa na viashiria vya biashara ya ukahaba. Amesema operesheni hizo hufanyika kupitia Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na idara maalum, ambapo watu...
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbadi: Kenya to Depend on Local Borrowing to Fund KSh4.84 Trillion Budget

    The Kenyan government will primarily rely on domestic borrowing to finance its 2026/27 budget, Treasury Cabinet Secretary John Mbadi has announced. Speaking during the presentation of the KSh4.84 trillion budget, Mbadi said the government plans to borrow approximately KSh684 billion from the...
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbadi Defends KSh4.84 Trillion Budget as Kenya Adopts Zero-Based Spending Model

    Treasury Cabinet Secretary John Mbadi has defended Kenya's 2026/27 national budget, saying every expenditure included in the spending plan was thoroughly justified before approval under a new budgeting approach. Speaking ahead of the presentation of the KSh4.84 trillion budget, Mbadi revealed...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Waburundi nchin Kenya

    Wamejaa wanauza njugu na kahawa mapato yao inabidi watu watano waishi chumba. Jee wako Tanzania?
  7. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Arena inayokusudiwa kujengwa Kenya si ya kitoto,Tujenge zaidi ya hii

    Fedha imekuwa ngumu sana natamani nijiunge na chadema maana wao lissu amehaidi akiwa rais hali itakuwa bora. =========== Kenya imekuwa na mipango ya kujenga arena kubwa ya kisasa inayolenga kuimarisha sekta ya michezo, burudani na matukio ya kimataifa nchini humo. Mradi huo unatarajiwa kuwa...
  8. Stability

    JamiiForums Tanzania Bien wa Kenya amekuwa mfalme wa East Africa karibia 6 mfululizo, tatizo ni kuwa vijana wa Nasib na genge lenu ni wabishi mno

    Bien kutoka Kenya ameendelea kuthibitisha ubora wake katika muziki wa Afrika Mashariki kwa kutawala kwa takriban miaka sita mfululizo. Tatizo ni kwamba baadhi ya mashabiki wa Nasibu Abdul (Diamond Platnumz) na kundi lenu bado ni wabishi kukubali ukweli huo licha ya mafanikio yanayoonekana wazi.
  9. W

    JamiiForums Tanzania Jaji mstaafu David Maraga akamatwa kwenye maandamano Kenya

    Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya, David Maraga, amekamatwa na Polisi asubuhi ya Jumatatu, Juni 8 2026, muda mfupi baada ya kuanza maandamano dhidi ya ujenzi wa miundombinu ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Nairobi. Waandamanaji wengine tisa pia walikamatwa pamoja naye. Polisi na maafisa wa kulinda misitu...
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania End Femicide Now! Protesters Demand Justice as Kenya Records Rising Cases of Femicide and Missing Children

    Mamia ya Wakenya walimiminika katika mitaa ya Nairobi mnamo Juni 1, 2026, kushiriki maandamano ya amani ya kupinga femicide na kuhamasisha hatua za haraka kuhusu ongezeko la watoto wanaopotea nchini. Wakiwa na mabango yenye ujumbe wa "Stop Killing Women" na "Where Are Our Children?"...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya’s Schools Grapple With Rising Riots: From Festivals to Fires, The Strange Reasons Behind Student Unrest

    Kenya’s education sector is facing a troubling wave of student unrest, with riots erupting over reasons that often appear bizarre yet carry devastating consequences. At Lenana School, students recently went on a destructive rampage after expressing disappointment with the Maroon Festival, an...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mt Kenya Leaders Accuse Ruto of Ethnic Profiling

    Political leaders from the Mt Kenya region have accused President William Ruto of engaging in ethnic profiling and sidelining the region in key government appointments and development decisions. The leaders, drawn from various political parties allied to former Deputy President Rigathi Gachagua...
  13. Alexido jz instagram

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanafunzi shujaa aliefariki, aki waokoa wenzake kwenye Ajali ya moto shuleni Kenya

    Cecilia wanjiku, Binti mwenye umri wa miaka 16, mwanafunzi wa kidato cha tatu. Baada ya Ajali ya moto kuanza Bwenini, wanafunzi wengine walikimbilia nje, ccecilia aligundua sauti ya wenzake wakiomba msaada, ndipo alipo Rudi, na blanketi alio iloweka kwenye maji, nakujifunika huku akiwakinga...
  14. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tungekuwa na Mahakama huru kama ya Kenya hata mikataba isiyofaa kama Dp World isingefanyika

    Mahakama ikiwa huru hata taifa linakuwa huru. Leo mahakama kuu ya Kenya imezuia kujengwa kituo cha kutunzia wagonjwa wa ebola huko Nanyuki Kenya. Mikataba ambayo inafungwa kwa ufiche kama ule wa Dp World ilipaswa kupingwa mahakamani na kisha kuzuiwa kabisa. Tunahitaji katiba mpya na mahakama...
  15. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Kenya haipaswi kuwa “eneo la kuzuia virusi vya Ebola” kwa Marekani

    Mwezi Juni kwa kawaida huwa ni msimu wa baridi na wa kupendeza katika maeneo ya uwanda wa juu wa Afrika Mashariki. Lakini wakazi wa Nanyuki katikati mwa Kenya siku hizi wana hasira kubwa. Wamekusanyika katika malango ya Kituo cha Anga cha Laikipia, wakifanya maandamano ili kupinga kuanzishwa kwa...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Kenya imeajiri waalimu laki moja ndani ya miaka mitatu

    Kwa mujibu wa Taarifa ya habari ya Radio one ya saa mbili usiku wa leo Kenya imeajiri waalimu laki moja ndani ya miaka mitatu na inatarajia kuajiri wengine 20,000 kabla ya mwisho wa mwaka huu; kufanya iwe imeajiri waalimu takribani 40,000 kila mwaka kwa miaka mitatu mfululizo. Nafikiri hii...
  17. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Discipline As Core Foundation For Successful Kenya Police Officers And Institutions

    The outgoing RDU Commandant, Mr. AGGREY MMBOTO SHAMALA, MBS, HSC, AIG, said that discipline was the foundation of every successful officer and institution. He explained that discipline helps people to make the right decisions, respect others, and perform their duties with honesty and...
  18. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto: Mwaka huu tutaanza kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta (Oil Refinery)

    Rais William Ruto amesema kuwa kuna upinzani kutoka kwa wafanyabiashara wenye nguvu wanaoagiza mafuta dhidi ya mipango ya kuanzisha kiwanda cha kikanda cha kusafisha mafuta kwa ushirikiano na mfanyabiashara bilionea wa Nigeria Aliko Dangote, lakini amesisitiza kuwa mradi huo utaendelea kama...
  19. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "America inalinda wananchi wake, lakini Kenya ndiyo ibebe risk?"

    Wakenya wengi wamekasirishwa na taarifa za mpango wa kuweka Ebola quarantine na treatment facilities nchini Kenya. Kwa mujibu wa mjadala unaoendelea online, Marekani inasema priority yao ni kulinda raia wao dhidi ya Ebola kwa kuzuia ugonjwa huo kufika nchini humo. Lakini wananchi wengi...
  20. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya, Ebola Deal Sparks Anger as Kenyans Question Why Their Country Should Carry the Risk

    A photo circulating online has ignited heated debate among Kenyans after reports emerged that the United States is supporting the establishment of Ebola containment facilities in Kenya as part of efforts to prevent the deadly virus from reaching American soil. What has angered many wananchi is...
Back
Top Bottom