kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Railways Warns Public Against Fake SGR Booking Website

    Kenya Railways has cautioned members of the public against fraudulent websites and social media platforms impersonating the corporation and claiming to offer booking services for the Madaraka Express Passenger Service. In a public notice issued on Wednesday, the corporation warned that the fake...
  2. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Tanzania and Kenya launch coordinated crackdown on planned Saba Saba protests

    Hivi kumbe yaweza kuwa kweli kwamba hawa watu, muuaji Samia na mwenzake Ruto walipanga eh? https://youtu.be/UJ7hJiNslRc?is=S2Mwdwyd127bO9AX
  3. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Understanding Saba Saba Day In Kenya

    On July 7, 1990, courageous politicians and leaders who supported democracy, including Raila Odinga, Charles Rubia, Kenneth Matiba, and James Orengo, organised an enormous public demonstration at Nairobi's Kamukunji grounds. They aimed to restore a multi-party democratic system and overthrow...
  4. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Msikilize IGP wa Kenya. Aibu utaona wewe sasa

    Huyu ni IGP wa Kenya akitoa usia kwa askari wake. Ametulia anaongea kirafiki na kwa kujiamini bila kutaka jikomba kwa wanasiasa. Akitoa wito wa Polisi kutumia akili. Halafu pata muda msikilize IGP wa Tanzania. Unamwona tu akili hana, elimu hana na anawaza kumwaga damu all the time.
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mpaka Kenya nako polisi wametanda wakiogopa maandamano

    Leo hapa Nairobi nako maduka yamefungwa na polisi wametanda. Ina maana lugha moja inaanza kutawala kwa wananchi.
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania High Court Blocks Kenya Railways from Evicting Muthurwa Estate Residents

    The High Court has dismissed an application by Kenya Railways Corporation (KRC) seeking to evict residents of Nairobi's Muthurwa Estate, ruling that the constitutional safeguards governing forced evictions have not been fully met. In a judgment delivered by Justice Kanyi Kimondo, the court...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya evacuates 86 Citizens from South Africa amid anti-Immigrant protests

    The Kenyan government has successfully evacuated 86 citizens from South Africa following a surge in anti-immigrant protests that have swept across several cities, raising fears over the safety of foreign nationals. The evacuation was coordinated by the State Department for Diaspora Affairs in...
  8. Ambuje Akunnungu

    JamiiForums Tanzania Tanzania na kenya: Tofauti za kiuelewa kwa wananchi wa kawaida hadi kwa wanataaluma. Kumbukumbu ya gwiji mzee wangu MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA

    NIMEJIKUTA NAMKUMBUKA MCHUNGAJI MTIKILA. Binafsi nimefuatilia sana siasa za kenya kama kama ninavyofuatilia siasa za hapa nchini kwetu Tanzania. Ukweli ni kwamba nchi hizi mbili ni miliki ya jumuiya moja ya Africa mashariki na zina historia ya kiasi fulani ya utawala wa kingereza kama...
  9. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Viongozi wa Upinzani washiriki Maandamano Nairobi

    Wanaharakati na Vongozi wa upinzani nchini Kenya washiriki kumbukumbu ya Maandamano ya Gen Z Jijini Nairobi. Miongoni mwao ni kiongozi wa chama cha PLP Martha Karua, Jaji Mkuu Mstaafu David Maraga, kiongozi wa DAP-K Eugene Wamalwa, kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka, pamoja na wanaharakati...
  10. instinct desire

    JamiiForums Tanzania CHADEMA, ni nani anayewalisha akina Hilda Newton, Pambalu na Viongozi wengine waliokimbilia Kenya?

    Wote tunajua ugumu wa maisha unayoikumba Kenya hasa kwa Mwananchi asiye na ajira yyte. Ni vema viongozi wa chadema wakatoa ufafanuzi wa nani anafadhiri maisha ya viongozi wao ambao walikimbilia Kenya Toka waka Jana, nani anawatunza? Je? Nani amewapangia nyumba ya kuishi? Nani anawalisha? Ni...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DCI Arrests Embakasi East MCA, Recovers Illegal Firearm

    The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has arrested Embakasi East Member of County Assembly (MCA) Patrick Karani alongside two other suspects following the recovery of an illegally held firearm during a police operation in Nairobi. According to the DCI, detectives raided the MCA's...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini wabunge wachache wanaopinga uwanja wa Serengeti wanatumia nguvu kubwa sana kutetea maslahi ya Kenya, wananufaika vipi kuitetea Kenya ?

    Wakenya wanajua uwanja wa Serengeti ukijengwa tunaenda kuwapiga gap kubwa wanalijua hilo Hivi sasa wakenya wameshaanza ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa karibu na Masai Mara, hii ni mbuga iliyoungana na Serengeti, kwa lugha iliyorahisishwa ni serengeti inayoendelea upande wa Kenya Lakini...
  13. Mwanga wa Jua

    JamiiForums Tanzania Kenya Vs Tanzania: Wenzetu Kenya baada ya kuzidiwa na madeni hii ndio njia mpya walioichagua kujenga uchumi wao.

    SASA KENYA INAJIELEKEZA KWENYE SEKTA BINAFSI ZAIDI KATIKA UJENZI WA TAIFA LAO, Mfano, Katika bajeti ya Kenya ya mwaka wa fedha 2026/27, serikali imeweka mkazo mkubwa wa kimkakati kwenye Ushirikiano wa Sekta ya Umma na Binafsi (PPP). Hali hii inatokana na kubana kwa nafasi ya kifedha kutokana na...
  14. Yesha

    JamiiForums Tanzania Kenya Denies Reports Linking Zimbabwean Businessman Wicknell Chivayo to JKIA Expansion Deal

    The Kenyan government has denied reports that a company linked to Zimbabwean businessman Wicknell Chivayo was awarded a contract to expand Nairobi's Jomo Kenyatta International Airport (JKIA). Zimbabwean media reports had claimed that IMC Construction, a company associated with Chivayo, was...
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania CECAFA U-17 Women’s Championship 2026 | Tanzania vs Kenya | 17 June 2026 | 04:00 PM | KMC Dar es Salaam!

    Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Team za Wanawake umri chini ya Miaka 17, Africa ya Mashariki na Kati kwa mwaka 2026 yanaendelea. Leo Tanzania inakipiga na jirani Kenya. Tanzania ilicheza ikampiga Sudani 10 kwa bila. Madogo wako vizuri. Mwanadada Bahati anakipiga hatari, akaibuka WOM...
  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania G7 Leaders Pledge Debt Reforms and Greater Support for Developing Nations

    Leaders attending the 2026 G7 Summit in Évian-les-Bains, France, have pledged to strengthen efforts aimed at addressing rising debt burdens facing developing countries. In a joint declaration issued at the summit, the world's leading economies committed to supporting reforms that would improve...
  17. n00b

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chivayo aiweka Kenya mfukoni? Kampuni yake yapewa dili la Dola Bilioni 2.9 kuboresha Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA)

    Kama mnavyojua, linapokuja suala la miradi mikubwa ya miundombinu (mega projects) katika ukanda wetu wa Afrika Mashariki, mambo huwa hayaishi vituko. Baada ya kelele nyingi, migomo ya wafanyakazi, na kesi mahakamani zilizopelekea kufutwa kwa ule mkataba tata wa uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa...
  18. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya politics is at Next level: Gachagua to Ruto: Kama mtu anahara huwezi shona makalio, you have to deal with the real issues in the stomach

    You have to deal with the real issue within the stomach, not kushona makalio. Huwezi kutuzuia kwenda Kakamega kufanya mkutano kwa kuweka GSU, you have deal with the real issue in the stomach, not stitching the anus! Stool Itapenya tu!
  19. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "Tumechoka Kusubiri!" Student Challenges Area MP Over Classrooms Without Windows

    A young student has sparked conversation after boldly calling on the area MP to address poor learning conditions in local schools. Speaking during a public event, the learner highlighted the struggles faced by students who continue to study in classrooms without windows. "Tumechoka kusubiri,"...
Back
Top Bottom