Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Rais Samia akiongea katika Kongamano la Biashara baina ya Tanzania na Kenya, tarehe 04 Mei, 2026, JNICC Dar es Salaam, amesema Gen Z wanaojifanya wa East Africa tusiwavumilie kuharibu demokrasia yetu
Gen-Z wa Kenya wanasema hawampendi Rais kwa sababu hilo sio jukumu lao Kikatiba. Mwenye jukumu la kumpenda Rais ni mke wake.
Soma Pia: Gen Z wa Kenya hawana mbeba maono (kiongozi) hivyo wanakuwa kama kikundi cha wahuni
Walipoulizwa kwanini hawamuheshimu Rais, wakasema heshima inaanzia kwa...
May 2 2026
Kundi la AMSONS kujenga hospitali 10 za akina mama na watoto nchini Kenya chini ya mpango wa afya wa dola milioni 40 za Marekani
Mpango huo, unaoitwa "Ahadi ya Maisha," unaonyesha kujitolea kwa pamoja katika kuhakikisha uzazi salama na kuanza kwa afya kwa watoto wachanga...
Kuna timu imeshaona itaaibika iwapo mechi zote za ddrby zitachezeshwa na waamuzi kutoka nje na kwa hiyo imeanza kampeni kali ya kuonesha mwamuzi wa Kenya aliyechezesha mechi ya derby hafai.
Simba huwa wamezubaa na kuziacha kelele hizi ambazo zinaweza kusababisha kughairishwa kwa utaratibu wa...
Kutoka kwenye KSh48 milioni alizoshinda Sebastian Sawe baada ya kushinda London Marathon, Mamlaka ya Mapato ya Kenya (KRA) inadaiwa kutaka hadi KSh18 milioni kama kodi.
Kuanzia Mei Mosi, 2026, China itaanza kutekeleza sera ya ushuru sifuri kwa bidhaa zinazotoka nchi 53 za Afrika zenye uhusiano wa kidiplomasia na China. Sera hii inachukuliwa kama fursa muhimu kwa nchi za Afrika kuingia katika soko kubwa la China kwa kuleta bidhaa zao za kipekee na za ubora wa...
As of early 2026, Kenya is experiencing a concerning surge in homicide cases and violent crime, with preliminary reports for 2026 already showing an upward trend compared to 2025.
Media reports highlight a surge in killings across the country, prompting urgent public concern.
A total of 398...
Sakata ndani ya soka la Kenya imechukua turn kali baada ya Rais wa FKF, Hussein Mohammed, kusimamishwa kazi kufuatia allegations za financial misconduct zinazohusiana na CHAN 2025. Hii issue sasa imevuka mipaka baada ya FIFA kuingia kati kufuatilia kama due process ilifuatwa.
Kwa mujibu wa...
Kenya’s abortion debate has been thrown back into the national spotlight after the Court of Appeal of Kenya overturned a 2022 High Court decision that had recognized abortion as a constitutional right in certain circumstances.
In a ruling delivered on April 24, a three-judge bench held that...
Kenya’s banking industry is entering a new era where fashion accessories are becoming payment tools. From rings and wristbands to smart wearables, lenders are increasingly blending lifestyle and financial technology to attract younger, tech-savvy customers while accelerating the shift toward a...
Kenya imechukua hatua kubwa baada ya William Ruto kutangaza kuwa nchi itawekeza kwenye refinery ya mafuta ya Uganda yenye thamani ya zaidi ya Ksh.500 billion. Hii si deal ndogo ni move inayoweza kubadilisha mwelekeo wa energy sector Afrika Mashariki.
Akiongea katika Africa We Build Summit 2026...
Nimeona Dangote anawashawishi kina Museveni na Ruto kwamba Yuko tayari kujenga Kiwanda Cha Mafuta chenye Ukubwa kama kile Cha Nigeria kwenye Bandari ya Tanga ikiwa atapata ushirikiano kutoka Uganda na Kenya japo haijawekwa wazi ni ushirikiano wa kupata soko au wa fedha au source ya Mafuta.
Kwa...
Hii ni ajabu. Kenya wametoa wapi nyambizi?
Kama wana Nyambizi, basi Tanzania tujitafakari.. Samia acha kupamba na CHADEMA. kama una uwezo ondoa njaa Nchini Tanzania
Major General Bernard Waliaula, Commander of the Kenya Air Force, has been inducted into the International Honour Roll at Air University in Montgomery, one of the United States Air Force’s most prestigious recognitions for distinguished international graduates.
The International Honor Roll...
Coffee farmers in Gichugu, Kirinyaga County, have taken matters into their own hands, repairing a dilapidated road that has long hindered access to markets and cut into their earnings.
The farmers say the key road connecting Mururi to the Mwea–Embu highway has become nearly impassable...
Kenya has formally applied for an emergency loan from the World Bank as it seeks to cushion its economy from the ripple effects of the ongoing Middle East conflict. The war, particularly tensions involving Iran, has disrupted global oil supply chains, triggering a sharp rise in fuel prices...
Kenya has requested rapid financial support from the World Bank to help it manage the shocks from the war in Iran, its central bank governor told Reuters on Thursday.
Like other nations that are heavily reliant on energy imports, the East African country is scrambling to stave off shortages of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.