kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania DODOMA: Hotuba Ya Dkt. William Samoei Ruto, Rais Wa Jamhuri Ya Kenya, Mei 5, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=WEGofJlMUxU
  2. O

    JamiiForums Tanzania Fikiria, Rais wa Kenya anaongelea uwekezaji katika nchi yetu, Rais wa Tanzania anamhamasisha waue vijana

  3. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu watovu wa adabu, wakija kwako chapa mikwaju, wakija kwangu nachapa mikwaju

    Rais Samia akiongea katika Kongamano la Biashara baina ya Tanzania na Kenya, tarehe 04 Mei, 2026, JNICC Dar es Salaam, amesema Gen Z wanaojifanya wa East Africa tusiwavumilie kuharibu demokrasia yetu
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gen-Z wa Kenya wanasema hawampendi Rais kwa sababu hilo sio jukumu lao Kikatiba

    Gen-Z wa Kenya wanasema hawampendi Rais kwa sababu hilo sio jukumu lao Kikatiba. Mwenye jukumu la kumpenda Rais ni mke wake. Soma Pia: Gen Z wa Kenya hawana mbeba maono (kiongozi) hivyo wanakuwa kama kikundi cha wahuni Walipoulizwa kwanini hawamuheshimu Rais, wakasema heshima inaanzia kwa...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kundi la makampuni la AMSONS la Tanzania kujenga hospitali 10 nchini Kenya kwa dola milioni 40 za Marekani

    May 2 2026 Kundi la AMSONS kujenga hospitali 10 za akina mama na watoto nchini Kenya chini ya mpango wa afya wa dola milioni 40 za Marekani Mpango huo, unaoitwa "Ahadi ya Maisha," unaonyesha kujitolea kwa pamoja katika kuhakikisha uzazi salama na kuanza kwa afya kwa watoto wachanga...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Mwamuzi wa Kenya alikuwa sawa kwa sababu "HAKUPENDELEA"HIyo inatosha kuliko hawa wetu Wanaopendelea

    Kuna timu imeshaona itaaibika iwapo mechi zote za ddrby zitachezeshwa na waamuzi kutoka nje na kwa hiyo imeanza kampeni kali ya kuonesha mwamuzi wa Kenya aliyechezesha mechi ya derby hafai. Simba huwa wamezubaa na kuziacha kelele hizi ambazo zinaweza kusababisha kughairishwa kwa utaratibu wa...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mapato ya Kenya inadai KSh18 milioni kama kodi kutoka kwa Sebastian Sawe baada ya kushinda London Marathon

    Kutoka kwenye KSh48 milioni alizoshinda Sebastian Sawe baada ya kushinda London Marathon, Mamlaka ya Mapato ya Kenya (KRA) inadaiwa kutaka hadi KSh18 milioni kama kodi.
  8. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sera ya ushuru sifuri ya China yafungua fursa kwa sekta ya kahawa ya nchini Kenya

    Kuanzia Mei Mosi, 2026, China itaanza kutekeleza sera ya ushuru sifuri kwa bidhaa zinazotoka nchi 53 za Afrika zenye uhusiano wa kidiplomasia na China. Sera hii inachukuliwa kama fursa muhimu kwa nchi za Afrika kuingia katika soko kubwa la China kwa kuleta bidhaa zao za kipekee na za ubora wa...
  9. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania A Spike In Violent Crimes In Kenya

    As of early 2026, Kenya is experiencing a concerning surge in homicide cases and violent crime, with preliminary reports for 2026 already showing an upward trend compared to 2025. Media reports highlight a surge in killings across the country, prompting urgent public concern. A total of 398...
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Football Kenya Federation Yatikiswa! FIFA Wafuatilia Sakata ya Kusimamishwa kwa Hussein Mohammed

    Sakata ndani ya soka la Kenya imechukua turn kali baada ya Rais wa FKF, Hussein Mohammed, kusimamishwa kazi kufuatia allegations za financial misconduct zinazohusiana na CHAN 2025. Hii issue sasa imevuka mipaka baada ya FIFA kuingia kati kufuatilia kama due process ilifuatwa. Kwa mujibu wa...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Court of Appeal Rules Abortion Illegal in Kenya, Reigniting National Debate After Landmark Reversal

    Kenya’s abortion debate has been thrown back into the national spotlight after the Court of Appeal of Kenya overturned a 2022 High Court decision that had recognized abortion as a constitutional right in certain circumstances. In a ruling delivered on April 24, a three-judge bench held that...
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Style Meets Banking: How Kenyan Banks Are Turning Rings, Watches & Wristbands Into Wallets

    Kenya’s banking industry is entering a new era where fashion accessories are becoming payment tools. From rings and wristbands to smart wearables, lenders are increasingly blending lifestyle and financial technology to attract younger, tech-savvy customers while accelerating the shift toward a...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya kuingia deal ya mafuta na Uganda Game changer ama risk kwa uchumi?

    Kenya imechukua hatua kubwa baada ya William Ruto kutangaza kuwa nchi itawekeza kwenye refinery ya mafuta ya Uganda yenye thamani ya zaidi ya Ksh.500 billion. Hii si deal ndogo ni move inayoweza kubadilisha mwelekeo wa energy sector Afrika Mashariki. Akiongea katika Africa We Build Summit 2026...
  14. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Tanzania Iingize Pesa za Kujenga Kiwanda Cha kusafisha Mafuta Kwa Kushirikiana na Dangote Kenya na Uganda Zinaona Italeta Ushindani Kwa Mafuta Yao.

    Nimeona Dangote anawashawishi kina Museveni na Ruto kwamba Yuko tayari kujenga Kiwanda Cha Mafuta chenye Ukubwa kama kile Cha Nigeria kwenye Bandari ya Tanga ikiwa atapata ushirikiano kutoka Uganda na Kenya japo haijawekwa wazi ni ushirikiano wa kupata soko au wa fedha au source ya Mafuta. Kwa...
  15. figganigga

    JamiiForums Tanzania Eti Kenya wana Nyambizi 150 wakati Tanzania kuna nyambizi 0?

    Hii ni ajabu. Kenya wametoa wapi nyambizi? Kama wana Nyambizi, basi Tanzania tujitafakari.. Samia acha kupamba na CHADEMA. kama una uwezo ondoa njaa Nchini Tanzania
  16. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Commander Kenya Air Force Major General Bernard Waliaula Inducted Into International Honor Roll

    Major General Bernard Waliaula, Commander of the Kenya Air Force, has been inducted into the International Honour Roll at Air University in Montgomery, one of the United States Air Force’s most prestigious recognitions for distinguished international graduates. The International Honor Roll...
  17. M

    JamiiForums Tanzania MWIJAKU LAWANI NCHINI KENYA

    https://youtube.com/shorts/mtMrVj0S8O0?si=ytV4I13fhDCwaHYq
  18. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Frustrated Coffee Farmers in Gichugu Fix Roads Themselves as Poor Access Forces Sales to Brokers

    Coffee farmers in Gichugu, Kirinyaga County, have taken matters into their own hands, repairing a dilapidated road that has long hindered access to markets and cut into their earnings. The farmers say the key road connecting Mururi to the Mwea–Embu highway has become nearly impassable...
  19. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Seeks Urgent World Bank Loan as Middle East War Sends Fuel Prices Soaring

    Kenya has formally applied for an emergency loan from the World Bank as it seeks to cushion its economy from the ripple effects of the ongoing Middle East conflict. The war, particularly tensions involving Iran, has disrupted global oil supply chains, triggering a sharp rise in fuel prices...
  20. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Requests World Bank Funds To Cushion Iran War Shock

    Kenya has requested rapid financial support from the World Bank to help it manage the shocks from the war in Iran, its central bank governor ‌told Reuters on Thursday. Like other nations that are heavily reliant on energy imports, the East African country is scrambling to stave off shortages of...
Back
Top Bottom