Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
March 20, 2026
NAIROBI — With only ten days remaining, Kenya is on the brink of a major sporting disaster. The country faces a strict March 30 deadline to submit around Ksh 3.9 billion ($30 million) in hosting fees to the Confederation of African Football (CAF), or risk losing its right to host...
Kenya ipo katika hatari kubwa ya kupoteza haki yake ya kuwa mwenyeji wa pamoja wa Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Hali hii inatokana na ucheleweshaji wa malipo ya lazima ya ada ya uandaaji (hosting fee) kiasi cha Ksh3.9 bilioni ($30 milioni) kwa Shirikisho la Mpira...
PricewaterhouseCoopers (PwC) firms in Kenya, Rwanda, and Mauritius were found guilty of collussion and fraudulent conduct, and the World Bank banned them from taking part in bank-funded projects for 21 months.
The World Bank accused PwC Associates in Mauritius, PwC Kenya, and PwC Rwanda in a...
Kenya will on Thursday restart a multi-billion-dollar railway extension that was financed through revenue securitization , reviving a project that has been stalled for over six years after initial lending from Beijing dried up.
2017 saw the completion of the railway's first segment, which...
On Tuesday night, the second group of Kenyan officers sent to Haiti as part of the Multinational Security Support (MSS) program touched down in Kenya. Kenyan police deployment to bring peace to the war-torn Caribbean nation came to an end with the repatriation.
Following UN Security Council...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhishwa na kazi ya uimarishaji wa mpaka wa Kimataifa kati ya Tanzania na Kenya ambapo Km 564 sawa asilimia 75 tayari zimewekewa alama kati ya km 758 za mpaka mzima wa nchi kavu.
Akizungumza wakati wa ziara ya kamati hiyo eneo la...
On 13 March 2026, the Chief of the Defence Forces, General (Gen) Charles Kahariri, was conferred with the prestigious Legion of Honour during a ceremony held on board the French amphibious assault ship DIXMUDE. Also honoured was Major General (Maj Gen) Joyce Sitienei, the Deputy Vice-Chancellor...
While the army section of the Kenyan military struggled to fast-track indigenous commissioned officers as independence approached, the emerging air arm faced an even more complicated challenge. Unlike the army, there were virtually no trained African pilots in the early 1960s, and producing one...
Hii ni hadithi ya maumivu ya ndugu Samuel Mawato, mkazi wa Mtwapa, Kaunti ya Kilifi, nchini Kenya.
Samuel hakuwahi kufikiria kwamba siku moja angekuwa muokota makopo. Kwa miaka 15 aliyoshi Marekani, ambako alisomea urubani na baadaye kufanya kazi kwa muda mfupi katika shirika kubwa la ndege la...
Serikali, through NTSA, imeanza digital traffic enforcement system mpya inayotumia smart cameras kukamata makosa barabarani. Kama umeenda kasi, hukufunga seatbelt, au umevuka lane ovyo, system itakurekodi instantly na kukutumia SMS notification ikiwa na details za offence na fine unayotakiwa...
Mashindano maarufu ya Safari Rally Kenya 2026 yameanza rasmi leo, tarehe 12 Machi, na yanatarajiwa kuendelea hadi tarehe 15 Machi kama raundi ya tatu ya msimu wa World Rally Championship (WRC).
Mashindano haya yanawaleta pamoja madereva bora wa magari ya mashindano kutoka kote duniani, huku...
Kenya has called on African nations to place human dignity and public health at the heart of continental efforts to combat drug abuse as the global community gathers for the 69th session of the Commission on Narcotic Drugs in Vienna.
Speaking during the high-level meeting, Kenyan...
The government of Uganda has declared that citizens of 40 countries and territories, including the neighbouring country, Kenya, will no longer need to seek a visa before visiting the country.
The visa waiver programme is included in the moves by the Ugandan government to ease the travel...
The death toll from heavy rains and flooding in Kenya has risen to 42, nearly doubling from earlier reports, the government said in a statement issued late on Sunday.
Authorities say the flooding has severely affected Nairobi, the capital, and several other parts of the country following days...
Mmoja wa watuhumiwa wa utekaji huko nchini Kenya ana asili kama Mzanzibari au Mwaraba kama sio Msomali kulingana na picha zao na sio mtanganyika kwa asili
Je, wenzangu mnahisi huyo mtu asili yake ni wapi kwa kumtazama.
Najaribu kuweka picha zao hapa.
Kenya is taking a major step toward a fully modernized, cashless public transport network through the Kenya Integrated Automated Fare Collection System (KIAFCS), a new initiative funded by the World Bank and supported by the national government. The project, designed to overhaul fare management...
KDF families have started moving into the 500 new modern housing units at Roysambu Military Camp after President William Ruto officially commissioned them on February 26, 2026.
The Roysambu development is part of a 3,069-unit Phase One, which also covers Nanyuki, Gilgil, Lanet, and Mariakani...
Mahakama Kuu ya Mombasa imemhukumu Murad Awadh Mbarak (40) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumuua mke wake, Nuru Ibrahim, katika eneo la Kanamai, Kaunti ya Kilifi.
Mahakama ilisikia kuwa mnamo Juni 19, 2022, Mbarak alimchoma kisu mke wake huyo mwenye umri wa miaka 28 mara kadhaa kufuatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.