kazini

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kuthibitishwa kazini kwa utumishi wa umma

    Habari wana JF. Naomba kuuliza kwa wale watumishi walioajiriwa kwenye taasis ya umma, baada ya mwaka unatakiwa kuthibishwa kazini, swali, je kuna taratibu zipi zinapitiwa ili uthibishwe? Je, unaweza kukatariwa usithibitishwe? Kwa sababu zipi?
  2. dubu

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

    Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) ilianzishwa kwa Sheria ya Bunge na 11 ya mwaka 1995, na ilianza kufanya kazi tarehe 1 Julai 1996. TRA ndio wahusika wa mambo yote yanayohusisha kodi mbalimbali za Serikali Kuu na Ushuru mbalimbali. Uzi huu ni maalum kwa ajili ya matatizo mbalimbali...
  3. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Barick kazini, hili la kuwawekea watu wa karibu na Rais wasisafiri kwenda Marekani ni kuficha ukweli wa biashara zao Makinikia yatakuwa undervalued

    Baada ya kutiliana mkataba wa Barick vs Serikalikali haya yote yameanza kuibuka hawa watu wamekasirika inabidi mheshimiwa asirudi nyuma.
  4. babu M

    JamiiForums Tanzania Afisa wa Polisi aliyempa mtu asiye na makazi sandwich yenye kinyesi amerudishwa kazini

    Polisi ofisa katika jimbo la Texas aliyempa mtu asiye na makazi sanduwichi yenye kinyesi cha mbwa. Mahakama imeharisha arudishwe kazini kutokana na mapungufu ya sheria! ===== Police officer gets away with ‘giving homeless man poop sandwich’ A police officer who was fired after he allegedly...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Slogan ya CCM 2020 Kuelekea uchaguzi"Kazi ipo Kazini"

    Hongereni sana CCM kwa slogan yenu hii kuelekea uchaguzi 2020 "Kazi Ipo Kazini" Mtu anaweza kuchukua siku 40 kuchambua maana ya slogan hii. Ni bonge la Slogan. Nimeiona sehemu akiwa ameandika Kgogo2014.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kenya Mahakama ya mafisadi ipo kazini, Tanzania tunafeli wapi?

    Niko naangalia mubashara mwenendo wa kesi ya ufisadi inayomkabili Gavana Sonko wa jiji la Nairobi na wenzake wanaotuhumiwa kufisadi fedha za serikali kwenye manunuzi ya umma. Tukio hili linarushwa live kupitia Citizen Tv. Hapa Tanzania tunayo mahakama ya mafisadi lakini sijaisikia ikiendesha...
  7. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania IGP Sirro hana kitambi, kwanini askari wake matumbo makubwa kama wamepakia mafurushi ya nguo

    Nimevutiwa na huyu askari mahiri, shupavu akiwa kazini. Nipashe pg 10 leo 29 Nov 2019
  8. mathsjery

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kutupia fonts unazopendelea ukiwa kazini

    Kama kawaida unapokuwa unaandika au unadesign kitu chochote kama vile website au graphics za aina nyingine kama wallpaper, brochure, poster, logo, vitabu au newsletter nk. basi utakuwa na fonts unazopenda kuzitumia na zinavutia kweli kulingana na kazi unayofanya. Sasa uzi huu ni wa kutupia...
  9. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Kurusha matangazo ya moja kwa moja ya Vikao vya Bunge au Kamati za Bunge zikiwa kazini hakufai

    Mtu ukiwa unalima shamba huhitaji press. Vikao vya Kamati za Bunge na vikao vya Bunge ni vikao serious vya kikazi. Wananchi wanachohitaji kujua ni matokeo ya kile walichojadili sio zile porojo za sijui mbunge huyu akachekesha, huyu akatukana. Wananchi wanachohitaji ni final result za kikao...
  10. 20PROFF

    JamiiForums Tanzania Wanaume kazini

    Hapa lazima uwe na utimamu wa mwili. Yanafanyika mengi magumu ili askari wawe fit waweze kulinda raia na mipaka ya nchi. Hebu tupende na kuheshimu askari wote wanafanya na kupitia mengi kwa ajili yenu, mengine ni makosa ya kibinadamu
Back
Top Bottom