Naiona hatari huko mbele uteuzi wa wanajeshi walio kazini kushika nyadhifa za kisiasa

dosama

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
912
957
Japo sina muda wa kutoa orodha ya teuzi kama hizi na athari zake kwa historia ya dunia.

1. Katiba inakataza majeshi yetu kujihusisha na siasa kwa maana nyingine majeshi wao huwa pale kulinda katiba na sheria hawatakiwi kuwa na chama, na kwa ufupi wanatakiwa kutii kwanza katiba then wanakuja kwenye sheria , then rais kama amiri jeshi mkuu.

2. Ila bahati mbaya kwetu imegeuzwa anatangulia rais then sheria na ya mwisho katiba.

3. Liko wazi awamu ya tano kama wewe huna kadi ya CCM huwezi kuteuliwa nyadhifa yoyoyte ya kisiasa inayoambatana na uteuzi.

4. Toka enzi ya mwalimu wakuu wa mikoa hasa wa mipakani aliteuwa wastaafu kushika nyadhifa hizo alijua kuwa walishaondoka jeshini na nafsi zao zinawatu wengine.

Cha ajabu awamu hii inawatoa askati jeshini inawapa nafasi za kisiasa hii ni hatari sana kuchanganya jeshi na utawala wa kiraia hasa kwa baadae hii tabia ikiendelea.

5. Hawa wanajeshi wakizoea hili na ili wajihakikishie kupata uteuzi na wao kwa kiasi kikubwa ndio wamepewa mamlaka ya haki na usalama nchini watafanya yote kumfurahusha mteuzi sio kufata sheria na katiba.

Mwisho wa siku watataka wakae wao na hakuna wa kuwazuia naiyona nchi inaelekea kutawaliwa na jeshi na sio kuongozwa na raia.

Screenshot_20200707-095058_Adobe Acrobat.jpg

Nawasilisha kwa ufupi
Screenshot_20200707-102838_Adobe Acrobat.jpg
 
Wewe ni mpinzani wa aina gani usiyetaka CCM iondolewe madarakani?

Hujasikia wapinzani wakisema, wao wako tayari hata kuungana na shetani ili tu CCM iondolewe madarakani!
 
Kutoka jeshini na kua kiongozi ni jambo la uzalendo tu kua Rais anateua na haifanyi hao wanajeshi kua ni wanasiasa ndo mana unaona hawajagombea chochote kisiasa, unapowaacha tu na ninyi kupiga suti ndo kunaweza kutoke yale ya Sudan na kwingineko,kwanza jeshi letu sisi wananchi wa Tanzania lina watu wenye weredi mkubwa kwa mtazamo tu na sioni kama kuna shida mbeleni kama usemavyo.

Acha wivu, acha uchu wa madaraka,acha hasira kwa kutumbuliwa kwako,vyeti feki vyako,kuzibiwa mianya ya wizi na mengineyo,maana yamkininuna hasira na makosa yako mwenyewe

Mimk kama mwananchi wa Tanzania nailewa sana serikali hii kua ni ya kuoiga kazi na kutatua matatizo yetu

Ktk kipindi cha nyuma tuliwahi kuona kutafita hati ya nyumba yako ni sawa na kutafuta mtu akugawie figo,lakini si sasa. Kila kitu kinakwenda vzr, Rais wetu huyu huyu akiwa waziri wa mabarabara tumeona mchangobwake akiunganisha mikoa na wilaya na hata vijiji kufikika kwa haraka,tunapata maji na umeme kidogo kidogo, hawatamaliza yote lakini miaka mingine 50 baadae tutakua mbali.

So kama una hasira ndugu punguza hasira acha Rais na jeshi letu wafanye kazi kwa kushirikiana,maana pia ktk maeneo mengi hasa ya ujenzi raia wakishindwa likashushwa jeshi tunaona kila mala hua linafanya kwa uwezo mkubwa na haraka,sasa kwa nini Rais asiwape mamlaka ya kusongesha maendeleo mbele?

Kua mzarendo ndugu.
 
Kwa taarifa fupi tu ni kwamba wakuu wa mikoa na wilaya ni sehemu ya kamati kuu ya siasa ya ccm ya mkoa/wilaya kwa hiyo hao. Askari wanaenda kufanya kazi za chama.

Katiba ya CCM iko wazi imeeleza kila kitu,usifikiri magu anawaweka bila kufikiria anajua ni wake,na ndo maana akikupa hizo nafasi mpinzani lazima utahama chama tu kwenda ccm, rejea mkuu wa mkoa kilimanjaro alihama ACT Wazarendo baada ya kuteuliwa, maana ingekuwa ngumu kufanya kwenye kamati ya siasa ya chama akiwa bado act wazarendo
Tupo kwa ajili ya kutafuta kula ya familia na maendeleo ya familia pia☺
 
Kutoka jeshini na kua kiongozi ni jambo la uzalendo tu kua Rais anateua na haifanyi hao wanajeshi kua ni wanasiasa ndo mana unaona hawajagombea chochote kisiasa,unapowaacha tu na ninyi kupiga suti ndo kunaweza kutoke yale ya Sudan na kwingineko,kwanza jeshi letu sisi wananchi wa Tanzania lina watu wenye weredi mkubwa kwa mtazamo tu na sioni kama kuna shida mbeleni kama usemavyo.

Acha wivu,acha uchu wa madaraka,acha hasira kwa kutumbuliwa kwako,vyeti feki vyako,kuzibiwa mianya ya wizi na mengineyo,maana yamkininuna hasira na makosa yako mwenyewe

Mimk kama mwananchi wa Tanzania nailewa sana serikali hii kua ni ya kuoiga kazi na kutatua matatizo yetu

Ktk kipindi cha nyuma tuliwahi kuona kutafita hati ya nyumba yako ni sawa na kutafuta mtu akugawie figo,lakini si sasa...kila kitu kinakwenda vzr, Rais wetu huyu huyu akiwa waziri wa mabarabara tumeona mchangobwake akiunganisha mikoa na wilaya na hata vijiji kufikika kwa haraka,tunapata maji na umeme kidogo kidogo, hawatamaliza yote lakini miaka mingine 50 baadae tutakua mbali

So kama una hasira ndugu punguza hasira acha Rais na jeshi letu wafanye kazi kwa kushirikiana,maana pia ktk maeneo mengi hasa ya ujenzi raia wakishindwa likashushwa jeshi tunaona kila mala hua linafanya kwa uwezo mkubwa na haraka,sasa kwa nini Rais asiwape mamlaka ya kusongesha maendeleo mbele?

Kua mzarendo ndugu.
"mzarendo" unajua maana ya neno uzalendo? Mbona kila kitu awamu hii kinachukuliwa kwa masihala na urahisi ivi?
 
Kutoka jeshini na kua kiongozi ni jambo la uzalendo tu kua Rais anateua na haifanyi hao wanajeshi kua ni wanasiasa ndo mana unaona hawajagombea chochote kisiasa,unapowaacha tu na ninyi kupiga suti ndo kunaweza kutoke yale ya Sudan na kwingineko,kwanza jeshi letu sisi wananchi wa Tanzania lina watu wenye weredi mkubwa kwa mtazamo tu na sioni kama kuna shida mbeleni kama usemavyo.

Acha wivu,acha uchu wa madaraka,acha hasira kwa kutumbuliwa kwako,vyeti feki vyako,kuzibiwa mianya ya wizi na mengineyo,maana yamkininuna hasira na makosa yako mwenyewe

Mimk kama mwananchi wa Tanzania nailewa sana serikali hii kua ni ya kuoiga kazi na kutatua matatizo yetu

Ktk kipindi cha nyuma tuliwahi kuona kutafita hati ya nyumba yako ni sawa na kutafuta mtu akugawie figo,lakini si sasa...kila kitu kinakwenda vzr, Rais wetu huyu huyu akiwa waziri wa mabarabara tumeona mchangobwake akiunganisha mikoa na wilaya na hata vijiji kufikika kwa haraka,tunapata maji na umeme kidogo kidogo, hawatamaliza yote lakini miaka mingine 50 baadae tutakua mbali

So kama una hasira ndugu punguza hasira acha Rais na jeshi letu wafanye kazi kwa kushirikiana,maana pia ktk maeneo mengi hasa ya ujenzi raia wakishindwa likashushwa jeshi tunaona kila mala hua linafanya kwa uwezo mkubwa na haraka,sasa kwa nini Rais asiwape mamlaka ya kusongesha maendeleo mbele?

Kua mzarendo ndugu.

Kuhusu kupindua nakubaliana nawe
Ila kwenye kuliingiza kwenye siasa nakupinga unapotetea maana teuzi za ukuu wa mikoa ma wilaya zinawapeleka kwenye siasa hiyo nafasi ni ya kisiasa kama ulikuwa hujui pitia katiba ya ccm.

Utajua mkuu wa wilaya na mkoa ni nani Ndo maana paulo makonda unaona anazunguka kukagua miradi na jezi za ccm na wana ccm,hapa ndo utajua kuwatoa ikulu ccm ni swwa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano☺☺
 
Kutoka jeshini na kua kiongozi ni jambo la uzalendo tu kua Rais anateua na haifanyi hao wanajeshi kua ni wanasiasa ndo mana unaona hawajagombea chochote kisiasa,unapowaacha tu na ninyi kupiga suti ndo kunaweza kutoke yale ya Sudan na kwingineko,kwanza jeshi letu sisi wananchi wa Tanzania lina watu wenye weredi mkubwa kwa mtazamo tu na sioni kama kuna shida mbeleni kama usemavyo.

Acha wivu,acha uchu wa madaraka,acha hasira kwa kutumbuliwa kwako,vyeti feki vyako,kuzibiwa mianya ya wizi na mengineyo,maana yamkininuna hasira na makosa yako mwenyewe

Mimk kama mwananchi wa Tanzania nailewa sana serikali hii kua ni ya kuoiga kazi na kutatua matatizo yetu

Ktk kipindi cha nyuma tuliwahi kuona kutafita hati ya nyumba yako ni sawa na kutafuta mtu akugawie figo,lakini si sasa...kila kitu kinakwenda vzr, Rais wetu huyu huyu akiwa waziri wa mabarabara tumeona mchangobwake akiunganisha mikoa na wilaya na hata vijiji kufikika kwa haraka,tunapata maji na umeme kidogo kidogo, hawatamaliza yote lakini miaka mingine 50 baadae tutakua mbali

So kama una hasira ndugu punguza hasira acha Rais na jeshi letu wafanye kazi kwa kushirikiana,maana pia ktk maeneo mengi hasa ya ujenzi raia wakishindwa likashushwa jeshi tunaona kila mala hua linafanya kwa uwezo mkubwa na haraka,sasa kwa nini Rais asiwape mamlaka ya kusongesha maendeleo mbele?

Kua mzarendo ndugu.
Ikitokea wakashindwa kusongesha maendeleo mbele nani alaumiwe?

Mwenyewe umesema hapo lilitumika pale palipohitaji msaada zaidi.

Si umesikia huko mbeya RC Chalamila amewatimua kwenye ujenzi wa Busokelo?

Jeshi linapaswa kuwepo kwa ajili ya "intervention" ya jambo ambalo kirai limekuwa changamoto tena ni kwa muda tu unless liwe kwa usalama zaidi ndiyo lichukue muda.
 
Kweni hao CCM mnaowasema siyo waTanzania? mnadhani kuna atakaye kwenda Ikulu akawa malaika?hakuna mtu atakubaliwa na watu wote isipokua mwenye kujitahidi kupambania wananchi anaonekana,mitume wenyewe walikataliwa leo binadamu.
Kuhusu kupindua nakubaliana nawe
Ila kwenye kuliingiza kwenye siasa nakupinga unapotetea maana teuzi za ukuu wa mikoa ma wilaya zinawapeleka kwenye siasa hiyo nafasi ni ya kisiasa kama ulikuwa hujui pitia katiba ya ccm, utajua mkuu wa wilaya na mkoa ni nani
Ndo maana paulo makonda unaona anazunguka kukagua miradi na jezi za ccm na wana ccm,hapa ndo utajua kuwatoa ikulu ccm ni swwa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
 
Sa what? ulitaka upewe wewe ndo ungeweza? Mnasema watu ilihali hapo mlipo yamkini hata ubalozi wa nyumba 10 hamuwezi...kila mtu na talanta yake na muache wivu
Ikitokea wakashindwa kusongesha maendeleo mbele nani alaumiwe?

Mwenyewe umesema hapo lilitumika pale palipohitaji msaada zaidi.

Si umesikia huko mbeya RC Chalamila amewatimua kwenye ujenzi wa Busokelo?

Jeshi linapaswa kuwepo kwa ajili ya "intervention" ya jambo ambalo kirai limekuwa changamoto tena ni kwa muda tu unless liwe kwa usalama zaidi ndiyo lichukue muda.
 
Kiongozi mteuzi si mtu mwema kabisa kama anavyowaaminisha watu. Anatumia njia nyingi kwa ajili ya nafasi yake
Anajishokiza kwa kila namna maeneo ya kisheria na kiusalama ili walipe fadhila.

Anashindwaje kuona raia waliopo kwa ajili ya hzo nafasi, na kuona wenye utiifu ni vyombo vya usalama?
Mwisho wa siku utaona kuna kikundi cha watu kimejipa ufalme.

Kuna hali mbaya sana unapopungukiwa hekima na busara.

IMG-20200603-WA0048.jpeg
 
Hama nchi uondoke kama una hasira, hulazimishwi kuwepo,kuna wenzio wako huko nje wananyenyekea kwa washenzi..ondoka na wewe

Aina hii ya upumbavu imezidi sana humu nchini! Hivi mtu akiwa na wazo au hoja tofauti tu ndio sio mzalendo au aondoke akaishi pengine? Ipo siku mtataka watu walio na watoto shule za binafsi wahame nchi kwa kuwa hawana uzalendo na elimu bure!

Mleta mada anasema ukweli. Wanajeshi hawatakiwi kuwa wanasiasa kwa mujibu wa sheria! Kama ni hivo wakaingiaje kwenye vikao vya CCM? Unakuwaje na Jaji Mkuu mwanachama wa chama cha siasa huku ukitarajiwa kutoa haki kwa vyama vingine? Unakuwaje na askari wanaotoa salamu za “CCM Oyee”?

Unasema wananyenyekea kwa washenzi, ndio hao wahisani au mabeberu? Kwanini hamkujitangaza wenyewe kuingia uchumi wa kati mpaka mmesubiri wawatangaze?? Sidhani una ufahamu wa kutosha kuhusu hasira. Kwa post yako, wewe ndio umeonesha hasira.

Hii ni nchi yetu sote, tuvumiliane hata kama yanayosemwa hatutaki kuyasikia.
 
Hao jamaa huteuliwa kimkakati, hata kabla ya uteuzi ni makada wazuri tu wa chama kubwa.
 
Back
Top Bottom