dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Japo sina muda wa kutoa orodha ya teuzi kama hizi na athari zake kwa historia ya dunia.
1. Katiba inakataza majeshi yetu kujihusisha na siasa kwa maana nyingine majeshi wao huwa pale kulinda katiba na sheria hawatakiwi kuwa na chama, na kwa ufupi wanatakiwa kutii kwanza katiba then wanakuja kwenye sheria , then rais kama amiri jeshi mkuu.
2. Ila bahati mbaya kwetu imegeuzwa anatangulia rais then sheria na ya mwisho katiba.
3. Liko wazi awamu ya tano kama wewe huna kadi ya CCM huwezi kuteuliwa nyadhifa yoyoyte ya kisiasa inayoambatana na uteuzi.
4. Toka enzi ya mwalimu wakuu wa mikoa hasa wa mipakani aliteuwa wastaafu kushika nyadhifa hizo alijua kuwa walishaondoka jeshini na nafsi zao zinawatu wengine.
Cha ajabu awamu hii inawatoa askati jeshini inawapa nafasi za kisiasa hii ni hatari sana kuchanganya jeshi na utawala wa kiraia hasa kwa baadae hii tabia ikiendelea.
5. Hawa wanajeshi wakizoea hili na ili wajihakikishie kupata uteuzi na wao kwa kiasi kikubwa ndio wamepewa mamlaka ya haki na usalama nchini watafanya yote kumfurahusha mteuzi sio kufata sheria na katiba.
Mwisho wa siku watataka wakae wao na hakuna wa kuwazuia naiyona nchi inaelekea kutawaliwa na jeshi na sio kuongozwa na raia.
Nawasilisha kwa ufupi
1. Katiba inakataza majeshi yetu kujihusisha na siasa kwa maana nyingine majeshi wao huwa pale kulinda katiba na sheria hawatakiwi kuwa na chama, na kwa ufupi wanatakiwa kutii kwanza katiba then wanakuja kwenye sheria , then rais kama amiri jeshi mkuu.
2. Ila bahati mbaya kwetu imegeuzwa anatangulia rais then sheria na ya mwisho katiba.
3. Liko wazi awamu ya tano kama wewe huna kadi ya CCM huwezi kuteuliwa nyadhifa yoyoyte ya kisiasa inayoambatana na uteuzi.
4. Toka enzi ya mwalimu wakuu wa mikoa hasa wa mipakani aliteuwa wastaafu kushika nyadhifa hizo alijua kuwa walishaondoka jeshini na nafsi zao zinawatu wengine.
Cha ajabu awamu hii inawatoa askati jeshini inawapa nafasi za kisiasa hii ni hatari sana kuchanganya jeshi na utawala wa kiraia hasa kwa baadae hii tabia ikiendelea.
5. Hawa wanajeshi wakizoea hili na ili wajihakikishie kupata uteuzi na wao kwa kiasi kikubwa ndio wamepewa mamlaka ya haki na usalama nchini watafanya yote kumfurahusha mteuzi sio kufata sheria na katiba.
Mwisho wa siku watataka wakae wao na hakuna wa kuwazuia naiyona nchi inaelekea kutawaliwa na jeshi na sio kuongozwa na raia.
Nawasilisha kwa ufupi