the kind
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 773
- 571
Amani ya Mwenyezi Mungu iwe nanyi
Kuna mtumishi mwenzetu ambaye amekopa benki kiasi cha Tsh. milioni 15 na baada ya wiki akatoweka hakuonekana tena kazini ni mwezi wa pili sasa tangia atoweke na wala hapatikani kwa mawasiliano yoyote yale
Je, nini hatma ya pesa aliyokopa benki, namaanisha marejesho?
Nini hatma yake kama siku anapatikana?
Ipi inaweza kuwa hukumu yake endapo atapatikana?
Kuna mtumishi mwenzetu ambaye amekopa benki kiasi cha Tsh. milioni 15 na baada ya wiki akatoweka hakuonekana tena kazini ni mwezi wa pili sasa tangia atoweke na wala hapatikani kwa mawasiliano yoyote yale
Je, nini hatma ya pesa aliyokopa benki, namaanisha marejesho?
Nini hatma yake kama siku anapatikana?
Ipi inaweza kuwa hukumu yake endapo atapatikana?