kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Tusker Bariiiidi

    JamiiForums Tanzania Mwandishi wa Habari wa The Citizen afukuzwa kazi. Kaponzwa na Maoni yake katika mitandao ya kijamii?

    Mwandishi wa Habari wa The Citizen amesimamishwa kazi. Taarifa zaidi zinabainisha kuwa ni kwa kukiuka Aidha, mwandishi mwingine Neville Meena naye amesitishiwa mkataba kwa sababu hizo hizo: Neville Meena avunjiwa Mkataba na Mwananchi Communications - JamiiForums
  2. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote iliyo halali.

    Nina elimu katika shahada ya kwanza katika uhandisi kilimo ( bsc Agricultural engineering/Agro-mechanical). Natafuta kazi yoyote iliyo halali inayohusiana na hii fani yangu ama kazi yoyote inayofundishika. Mfano katika haya maeneo ninauwezo nayo. -Water supply. -Environmental impact...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Natafta mzungu wa kufanya nae kazi

    Elimu yangu form 6 natafta mzungu wa kufanya nae kazi yan ye awe mkuu wangu aniajiri kazi yoyote npo mwanza. Nina uzoefu wa computer, customer care, shopselling, usafi na kazi zingine za kawaida pia, ata mzungu asipopatikana ata mtu yeyote nipo tayari anipatie kazi.0762739590
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi EGPAF

    The Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation is a global leader in the fight against pediatric HIV and AIDS, working in 16 countries and at over 5,000 sites around the world to prevent the transmission of HIV to children, and to help those already infected.Today, because of the highly...
  5. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi FQF Capital

    Job Title: Tracking Supervisor – Transport Job location: Dar es Salaam Company Name: FQF Capital Salary: Negotiable Job Description: * To work as Supervisor a team in the tracking call center and function as a vehicle tracking operator. * Responsible for monitoring and recording truck...
  6. Anti-Corona

    JamiiForums Tanzania Kipi kinaendelea kwa nafasi za kazi zilozotangazwa na TRA kupitia utumishi

    Habari wanajamvi, kuna Nafasi takribani 18 zilitangazwa na UTUMISHI za mamlaka ya mapato TRA katikati ya mwezi wa pili mpaka sasa ni kama mwezi mmoja na wiki moja kuna hali ya ukimyaa ambapo sio kawaida ikachukua muda mrefu kiasi hiki bila watu angarau kuwa shortlist. Swali langu la msingi je...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi au kibarua cha muda mimi ni fundi sanifu umeme (Electrical Technician)

    Habari wana jamvi nimatumaini yangu nyote mu wazima. Mimi nikijana umri miaka 25 natafuta kazi au kibarua cha muda katika kada ya umeme au nje ya umeme naweza kufanya kazi sehemu yoyote lakini kwa sasa niko Dar es salaam. Nina ordinary diploma katika umeme (OD in electrical engineering )...
  8. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa kufanyia kazi Nyumbani wakati huu wa Mlipuko wa Corona

    Kutokana na mlipuko wa virusi vya Corona unaoendelea, moja ya njia kuu za kuzuia maambukizi ni watu kujitenga. Hivyo mataifa mbalimbali yanawataka watu wake kukaa nyumbani wakati huu wa mlipuko, ili kuepuka kuambikiwa au kuwaambukiza wengine. Kwa kuwa watu wengi wanakaa majumbani, kazi inabidi...
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

    Tanzania imethibitisha kisa kimoja cha virusi vya corona. Mgonjwa ni mwanamke wa miaka 46 raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji kwa ndege ya shirika la ndege la Rwanda Air. Kwa mujibu wa Waziri Ummy Mwalimu, Mwanamke huyo alitoka Ubelgiji na alikuwa anaishi kwenye nyumba ambapo kuna...
  10. dvj nasmiletz

    JamiiForums Tanzania F2 haifanyi kazi katika dell laptop japo button haina shida yoyote

    Nataka niingie katika boot setup ya laptop yangu..lakini kila niikiwasha na ku press F2 au del ili niingie setup option hairespond chochote.nimejaribu kutumia keyboard ya nje napo holaa..nifanyaje wakuu ili niingie kwenye bios setup? Lengo langu ni kuselect boot option iwe kwenye usb drive...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi, walimu Agha Khan Mzizima Secondary School

    Aga Khan Education Service, Tanzania (AKES.T), is a private, not for profit, service company registered under the Companies Act and operates three schools in Tanzania offering the International Baccalaureate PYP / Diploma Programme, Pre IGCSE at grades 7 -9, IGCSE at Grades 10 and 11 and the...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi Sokowatch

    Sokowatch is transforming communities across Africa by revolutionizing access to essential goods and services. By connecting small shops to the digital economy, we fix inefficient supply chains and provide services that were previously unavailable. Sokowatch aims to provide everything a retailer...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi UNICEF

    Position: Chief Nutrition, (P-4), Dar es salaam, Tanzania #00007053 Job Number: 530550 | Vacancy Link Locations: Africa: Tanzania,Uni.Re Work Type : Fixed Term Appointment UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

    Mahakama ya Kisutu leo Machi10, inatarajia kutoa hukumu kwa Viongozi wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi Mahakamani hapo, Viongozi hao ni pamoja na Mwenyekiti CHADEMA, Freeman Mbowe, pia John Mnyika, Halima Mdee, Ester Bulaya, Ester Matiko, Heche, Msigwa na Mashinji. Katika kesi hiyo...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi INADES Formation Tanzania

    Job Title: Conservation Agriculture Coordinator Company: INADES Formation Tanzania Location: Tanzania State: Dodoma Jobs Job type: Full-Time Job category: Agricultural Jobs in Tanzania Main Purpose: Responsible for co-ordination and execution of socio-economic training activities in the fields...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi TPC Ltd

    Overview TPC Ltd is one of the fast growing sugar producing companies in Tanzania. The company is situated at the foot of Mount Kilimanjaro, 22kms south of Moshi Municipality. Applications are invited from energetic, proactive and dynamic Tanzanians to fill vacant positions at the Factory...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi TPHS

    1. Position: National Registries Lead - Health Information System Development, Project Management and Coordinated Job Summary The National Registries Lead will play a key role in leading enhancements and integration of national registries with other systems. They will be responsible for...
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi The 2030 Water Resources Group (2030 WRG)

    Position: Country Coordinator Local Term Appointment (One Hunched and Fifty (150) days, Renewable) Location: Dar Es Salaam, Tanzania Hosted by the World Bank, the 2030 Water Resources Group (2030 WRG – www.2030wrg.org) is a public-private- civil society partnership that supports governments and...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi ICAP

    Job no: 492769 Work type: Regular Full-Time Location: Tanzania – Kagera Categories: Program Management/Implementation/Support The Field Assistant supports day-to-day field implementation of a community-based HIV testing and prevention program targeting key and vulnerable populations (KVP). S/he...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi Halmashauri ya wiliya ya Ulanga

    MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III - NAFASI MOJA (I) SIFA ZA MWOMBAJI Awe na elimu ya kidato cha nne (IV) au sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamazi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii, Hombolo Dodoma au Chuo chochote...
Back
Top Bottom