dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,157
Nataka niingie katika boot setup ya laptop yangu..lakini kila niikiwasha na ku press F2 au del ili niingie setup option hairespond chochote.nimejaribu kutumia keyboard ya nje napo holaa..nifanyaje wakuu ili niingie kwenye bios setup?
Lengo langu ni kuselect boot option iwe kwenye usb drive badala ya kwenye internal disk au cd/dvd rom.
Pia nataka kubadili kutoka uefi kwenda legacy au legacy kwenda uefi
Lengo langu ni kuselect boot option iwe kwenye usb drive badala ya kwenye internal disk au cd/dvd rom.
Pia nataka kubadili kutoka uefi kwenda legacy au legacy kwenda uefi