Nina elimu katika shahada ya kwanza katika uhandisi kilimo ( bsc Agricultural engineering/Agro-mechanical).
Natafuta kazi yoyote iliyo halali inayohusiana na hii fani yangu ama kazi yoyote inayofundishika.
Mfano katika haya maeneo ninauwezo nayo.
-Water supply.
-Environmental impact assessment (EIA).
- Agricultural machines management.
etc
Nina uzoefu wa mwaka 1 katika Kuinstall na kusimamia mifumo ya umwagiliaji .
Naweza kutumia AutoCAD, Archcad
Nipo tayari kufanya kazi sehem yoyote hapa nchini.
Natanguliza shukurani.
Natafuta kazi yoyote iliyo halali inayohusiana na hii fani yangu ama kazi yoyote inayofundishika.
Mfano katika haya maeneo ninauwezo nayo.
-Water supply.
-Environmental impact assessment (EIA).
- Agricultural machines management.
etc
Nina uzoefu wa mwaka 1 katika Kuinstall na kusimamia mifumo ya umwagiliaji .
Naweza kutumia AutoCAD, Archcad
Nipo tayari kufanya kazi sehem yoyote hapa nchini.
Natanguliza shukurani.