Hivi position ya planning officer (afisa mipango) huwa wanafanya kazi zipi hasa? na je qualification zake za kuajiriwa zikoje?

BWANA MISOSI

Member
Feb 11, 2020
39
24
Jamani naomba kujua kwa wale wazoefu wa kazi, kazi za afisa mipango ikoje? anafanya kazi gani hasa? je kuajiriwa ni lazima uwe na vigezo gani (qualification) na je ni serikalini tu au hadi private institution nafasi zake zipo? NAOMBA MWENYE UELEWA ANIJIBIE PLEASE.
 
Hata sekta binafsi km inanihusisha na mipango inaweza kuajili. Elimu zamani kulikua na chuo mahususi cha mipango irdp dodoma.
Sasa kuna mzumbe pia..hivyo vyuo ambavyo vina heshma ya kutoa maafisa mipango Ni hivyo ila kuna vyuo vingine nadhani vinatoa kozi za mipango kwa ujumla.

Nasikia hata ardhi japo sina uhakika nao wana kozi ya mipango inayohusiana. Vyuo nilivyovitaja wanatoa shahada ila dodoma mpaka shahada ya uzamili na astashahada ya juu.

Mipango ni suala mtambuka hivyo kwenye kozi nyingi za sanaa na elimu mwanachuo anafundishwa mipango..kozi ambayo moja kwa moja mipango ni core stream ni maendeleo ya jamii. Pia kwenye shahada za kisayansi km jeshi pia mipango ni kozi muhimu.

Pia kwenye uchumi na fedha mipango ndio malengo. Kazi zao kubwa ni kupanga kulingana na mahitaji ,muda na rasilimali zilizo idhinishwa kushauri kuelimisha jamii na taasisi nyingine kutathimini na kufuatilia mfumo na muundo wa utekelezaji. Wa shughuli kwa thamani halisi Usisahau unapokuwa afisa mipango unapaswa kujua matumizi mahususi na matumizi ya jumla kwehye kila eneo la upangaji.
Nimejaribu kuchangia kiasi ninachojua kati ya mengi yalipo.
 
Hata sekta binafsi km inanihusisha na mipango inaweza kuajili. Elimu zamani kulikua na chuo mahususi cha mipango irdp dodoma.
Sasa kuna mzumbe pia..hivyo vyuo ambavyo vina heshma ya kutoa maafisa mipango Ni hivyo ila kuna vyuo vingine nadhani vinatoa kozi za mipango kwa ujumla.

Nasikia hata ardhi japo sina uhakika nao wana kozi ya mipango inayohusiana. Vyuo nilivyovitaja wanatoa shahada ila dodoma mpaka shahada ya uzamili na astashahada ya juu.

Mipango ni suala mtambuka hivyo kwenye kozi nyingi za sanaa na elimu mwanachuo anafundishwa mipango..kozi ambayo moja kwa moja mipango ni core stream ni maendeleo ya jamii. Pia kwenye shahada za kisayansi km jeshi pia mipango ni kozi muhimu.

Pia kwenye uchumi na fedha mipango ndio malengo. Kazi zao kubwa ni kupanga kulingana na mahitaji ,muda na rasilimali zilizo idhinishwa kushauri kuelimisha jamii na taasisi nyingine kutathimini na kufuatilia mfumo na muundo wa utekelezaji. Wa shughuli kwa thamani halisi Usisahau unapokuwa afisa mipango unapaswa kujua matumizi mahususi na matumizi ya jumla kwehye kila eneo la upangaji.
Nimejaribu kuchangia kiasi ninachojua kati ya mengi yalipo.
Ndicho ninachosomea. Umeelezea vizuri Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata sekta binafsi km inanihusisha na mipango inaweza kuajili. Elimu zamani kulikua na chuo mahususi cha mipango irdp dodoma.
Sasa kuna mzumbe pia..hivyo vyuo ambavyo vina heshma ya kutoa maafisa mipango Ni hivyo ila kuna vyuo vingine nadhani vinatoa kozi za mipango kwa ujumla.

Nasikia hata ardhi japo sina uhakika nao wana kozi ya mipango inayohusiana. Vyuo nilivyovitaja wanatoa shahada ila dodoma mpaka shahada ya uzamili na astashahada ya juu.

Mipango ni suala mtambuka hivyo kwenye kozi nyingi za sanaa na elimu mwanachuo anafundishwa mipango..kozi ambayo moja kwa moja mipango ni core stream ni maendeleo ya jamii. Pia kwenye shahada za kisayansi km jeshi pia mipango ni kozi muhimu.

Pia kwenye uchumi na fedha mipango ndio malengo. Kazi zao kubwa ni kupanga kulingana na mahitaji ,muda na rasilimali zilizo idhinishwa kushauri kuelimisha jamii na taasisi nyingine kutathimini na kufuatilia mfumo na muundo wa utekelezaji. Wa shughuli kwa thamani halisi Usisahau unapokuwa afisa mipango unapaswa kujua matumizi mahususi na matumizi ya jumla kwehye kila eneo la upangaji.
Nimejaribu kuchangia kiasi ninachojua kati ya mengi yalipo.
nashukuru sana kwa maelezo. naomba kuuliza, nimeona kazi nyingi za mipango zinataka mtu aliyesoma statistics au uchumi, ns interview zao za written huwa wanauliza maswali ya research, sasa hivyo vyuo vya mipango vinatoa kozi tofauti na hizo? au ndio hizo za uchumi na statistics? na kuna uhusiano gani kati ya research na planning mpaka wanauliza kwenye interview?
 
nashukuru sana kwa maelezo. naomba kuuliza, nimeona kazi nyingi za mipango zinataka mtu aliyesoma statistics au uchumi, ns interview zao za written huwa wanauliza maswali ya research, sasa hivyo vyuo vya mipango vinatoa kozi tofauti na hizo? au ndio hizo za uchumi na statistics? na kuna uhusiano gani kati ya research na planning mpaka wanauliza kwenye interview?
Planning is not speculative it factual and analytical so core skills za bwana mipango ni kuelewa statistics,research na resource constraints
 
Jamani naomba kujua kwa wale wazoefu wa kazi, kazi za afisa mipango ikoje? anafanya kazi gani hasa? je kuajiriwa ni lazima uwe na vigezo gani (qualification) na je ni serikalini tu au hadi private institution nafasi zake zipo? NAOMBA MWENYE UELEWA ANIJIBIE PLEASE.
Mkuu naomba kukuuliza umesoma kozi gani???

Kuhusu qualifications wanachukua watu wa statistics, economics, planning ,mathematics

Upande wa ajira private sectors inadepend wanataka mtu aliyesomea nini, kati ya hizo kozi hapo juu

Government ajira karibia zote zinatoka wizara ya fedha na mipango

Kuhusu kazi za kufanya wanadili sana na utekelezaji wa budget iliyosomwa na bunge. Fedha zote za idara zote za serikali (mikoa ,wilaya,halmadhauri)) lazima zipite kwa hao jamaa , (nimeeleza juu sana)

Sasa ukiangalia hizo kazi hapo lazima mtu uwe na knowledge kubwa ya research, hesabu , na uchumi maana katika utekelezaji lazima utumie hivyo vitu.

Mwisho huwezi fanya planning bila research kwenye interview maswali karibia yote yanatoka humo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba kukuuliza umesoma kozi gani???

Kuhusu qualifications wanachukua watu wa statistics, economics, planning ,mathematics

Upande wa ajira private sectors inadepend wanataka mtu aliyesomea nini, kati ya hizo kozi hapo juu

Government ajira karibia zote zinatoka wizara ya fedha na mipango

Kuhusu kazi za kufanya wanadili sana na utekelezaji wa budget iliyosomwa na bunge. Fedha zote za idara zote za serikali (mikoa ,wilaya,halmadhauri)) lazima zipite kwa hao jamaa , (nimeeleza juu sana)

Sasa ukiangalia hizo kazi hapo lazima mtu uwe na knowledge kubwa ya research, hesabu , na uchumi maana katika utekelezaji lazima utumie hivyo vitu.

Mwisho huwezi fanya planning bila research kwenye interview maswali karibia yote yanatoka humo.


Sent using Jamii Forums mobile app
nimesoma project planning management inayotolewa mzumbe.
 
nashukuru sana kwa maelezo. naomba kuuliza, nimeona kazi nyingi za mipango zinataka mtu aliyesoma statistics au uchumi, ns interview zao za written huwa wanauliza maswali ya research, sasa hivyo vyuo vya mipango vinatoa kozi tofauti na hizo? au ndio hizo za uchumi na statistics? na kuna uhusiano gani kati ya research na planning mpaka wanauliza kwenye interview?
Kwenye.kozi ya mipango hizo ndio core subject.
Km hujui takwimu kuprojeki mikakati itakuwa ngumu
Km hujui utafiti huwezi kutofautisha fact na reality on the ground.
Km hujui uchumi masuala ya thaman za pesa demand and suply mambo ya mnyororo wa thamani ni ngumu kuvimudu
 
Hata sekta binafsi km inanihusisha na mipango inaweza kuajili. Elimu zamani kulikua na chuo mahususi cha mipango irdp dodoma.
Sasa kuna mzumbe pia..hivyo vyuo ambavyo vina heshma ya kutoa maafisa mipango Ni hivyo ila kuna vyuo vingine nadhani vinatoa kozi za mipango kwa ujumla.

Nasikia hata ardhi japo sina uhakika nao wana kozi ya mipango inayohusiana. Vyuo nilivyovitaja wanatoa shahada ila dodoma mpaka shahada ya uzamili na astashahada ya juu.

Mipango ni suala mtambuka hivyo kwenye kozi nyingi za sanaa na elimu mwanachuo anafundishwa mipango..kozi ambayo moja kwa moja mipango ni core stream ni maendeleo ya jamii. Pia kwenye shahada za kisayansi km jeshi pia mipango ni kozi muhimu.

Pia kwenye uchumi na fedha mipango ndio malengo. Kazi zao kubwa ni kupanga kulingana na mahitaji ,muda na rasilimali zilizo idhinishwa kushauri kuelimisha jamii na taasisi nyingine kutathimini na kufuatilia mfumo na muundo wa utekelezaji. Wa shughuli kwa thamani halisi Usisahau unapokuwa afisa mipango unapaswa kujua matumizi mahususi na matumizi ya jumla kwehye kila eneo la upangaji.
Nimejaribu kuchangia kiasi ninachojua kati ya mengi yalipo.
ENdeleza kutoa shule
 
Jamani naomba kujua kwa wale wazoefu wa kazi, kazi za afisa mipango ikoje? anafanya kazi gani hasa? je kuajiriwa ni lazima uwe na vigezo gani (qualification) na je ni serikalini tu au hadi private institution nafasi zake zipo? NAOMBA MWENYE UELEWA ANIJIBIE PLEASE.
Vipi ulifanikiwa kupata ulichokuwa unahitaji
 
Back
Top Bottom