kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Tanzania Printers Limited

    Overview Tanzania Printers Limited is looking to recruit a qualified and experienced individual to occupy the positions stated below: 1. Position: Sales and Marketing Officer Working Station: Dar es Salaam Qualifications: Holder of Bachelor degree in sales & marketing, not less than 5 years...
  2. M

    Barua ya wazi kwa Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi: Manung'uniko ya Waislamu lazima yafanyiwe kazi

    Ndugu Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Mimi ni mwananchi, raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nimeamua kuchukua wasaa huu kukuandikia haya yafuatayo, kwani kwa haya niyaandikayo naamini ni ya msingi sana katika kukuza umoja na mshikamano wa Taifa letu vitu ambavyo ni...
  3. DLuga

    Natafuta kazi

    Habarini WAna Jf. Mimi ni kijana wa miaka 25, elimu kidato cha 4 plus certificate/ Nna uzoefu wa miaka 5 kufanya kazi sehem mbalimbali (mostly kwenye kampuni za betting) Natafuta ajira mwezenu nina nilikuwa kwenye kampuni hizi za betting ila korona ikasababisha watu wapunguzwe Kwa mwenye...
  4. Jidu La Mabambasi

    TCRA kazi ya kudhibiti muingiliano wa masafa imewashinda?

    Kazi moja kubwa ya TCRA toka wakiwa kitengo cha kudhibiti masafa ya kurusha mawimbi ya redio wakiwa Posta na Simu(TP &TC), ilikuwa kuangalia ni nani anarusha mawimbi yake katika masafa yepi. Sasa hivi tuna TCRA ambao siyo siri wana mitambo mikubwa na makini zaidi lakini wasomi hapo na mainjinia...
  5. Derickdeo21

    Natafuta kazi, nina elimu ya kidato cha Sita

    Habari za muda huu wana jamvi, Nimekuja mbele yenu kuomba nafasi ya kazi au fursa kwa majina naitwa Aderick Deogratias. Nina umri wa miaka 23, naishi mkoa wa Dar es Salaam, Mbagala nina elimu ya kidato cha sita nimesoma masomo ya uchumi. Nina uzoefu katika kazi zifuatazo, Supervisor, Sales &...
  6. sky soldier

    Kuna wimbi kubwa la vijana wanofanya kazi online

    Blogging Forex Affiliate marketing Freelancers, n.k Hata saa iliyoganda inaweza kuwa na msaada kama muda unaendana na pale ilipogandia lakini zaidi ya hapo ni hasara kubwa. Kumekuwa na wimbi la vijana kujifungia ndani muda wote wakiwa wanatafuta pesa mtandaoni kwa niia nlizozitaja hapo juu...
  7. Rebeca 83

    Kuwe na website maalumu kwa ajili ya wahitimu wanaotafuta kazi

    Hello JF... Nimeijibu hii katika one of the topics but nimeona tudiscuss. Kuna changamoto kubwa sasa hivi kupata ajira kwa wanaohitimu vyuoni. Hata humu tukiona graduates wakitafuta kazi yoyote itakayowafanya waishi. MImi leo ningependa kupendekeza kuwe na Facilitator/ Agency katika...
  8. H

    Usichague kazi, soma hapa nikutie moyo

    Naomba niwatie moyo wote wanaotafuta kazi bila mafanikio . Wakati nimemaliza degree yangu miaka ya nyuma kidogo, nilikaa kwa muda wa miaka miwili bila kupata kazi, Kila ninapopeleka application siitwi, ila nakumbuka niliitwa katika shirika moja kubwa tu lisilo la kiserikali kwa ajili ya...
  9. Chagu wa Malunde

    GE2020 Wapinzani mnatambua kabisa Rais Magufuli ni mtendaji, mchapa kazi na mtekelezaji mzuri. Bado hamuoni aibu kuchukua fomu za urais!

    Kuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli? Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara na thabiti ambayo kimekuwa kikiisimamia tokea kuanzishwa kwake...
  10. Analogia Malenga

    Askari saba wa wanyamapori wafukuzwa kazi Namtumbo

    Askari saba wa wanyamapori wa vijiji (VGS) wa jumuiya ya maliasili ya Mbarang’andu iliyoko Namtumbo mkoani Ruvuma wamefukuzwa kazi kwa tuhuma za kupokea rushwa na kuwaruhusu watu kulima kwenye hifadhi hiyo yenye wanyama mbalimbali wakiwemo Tembo. Tamko la kufukuzwa kazi kwa askari hao...
  11. Analogia Malenga

    Arusha: Watendaji wa kata, kijiji wasimamishwa kazi, kupisha uchunguzi

    MKUU wa Mkoa wa Arusha, Idd Hassan Kimanta amewasimamisha kazi Mtendaji Kijiji na kata ya Mwandeti na Afisa Tarafa ya Mukrati kuwa chini ya ungalizi ili kupisha uchunguzi zaidi na hatua kali zitachukuliwa baada ya uchunguzi kukamilika. Maamuzi hayo yamefanyika katika kikao kazi kati ya Mkuu wa...
  12. Liverpool_Jr

    Hivi kama vijana wanaambiwa wafanye kazi yoyote kwanini wanaenda chuo?

    Ni siku nyengine tuseme asante Mungu kwa kutuamsha tena. Naomba niende kwenye mada. Leo alfajiri nimepigiwa simu na mshakaji wangu wa kipindi Fulani hivi tuliendana sanaa ila ndio harakati za maisha zilitutenga. Yeye kwasasa ni muuza mayai na alisoma engineering. Jamaa anasema biashara...
  13. neema shamuhenya

    Tuamke tuamke jamani ndugu zanguni kumpongeza Rais mchapa kazi

    Vijana tuamke katika kuona Mambo aliyoyafanya Rais wetu Mpendwa MAGUFULI. Kila janga lililotokea Kipindi cha huyu Rais Magufuli halikudumu alipambana kuliondoa mapema sana. Kuna waliokuwa wanahujumu juhudi za Rais lakini walikuwa wanagonga mwamba kwa kufanya mambo kijinga. Walihujumu Sukari...
  14. Mwanamayu

    Je, kwa mujibu wa Bernard Membe, vyombo vya usalama na ulinzi havifanyi kazi kwa mujibu wa sheria?

    Katika mahojiano kati ya Mhe. B. C. Membe na Sammy Awami wa BBC Swahili, alisikika akijibu swali linalohusu vyombo vya usalama na ulinzi vya dola kuingilia masuala ya uchaguzi wa kisiasa; mfano, Urais, Wabunge na Madiwani na kuharibu usawa katika uwanja huo. Akiwa kama 'kachero mbobezi na...
  15. Mema Tanzania

    Una vigezo vya kazi, kwanini unakosa kazi?

    Na Abby Msangi Tanzania ni moja ya mataifa yenye idadi kubwa ya vijana ikikadiriwa kufikia zaidi ya milioni 25. Kwa wastani zaidi ya vijana laki nane (800,000) huingia katika soko la ajira kila mwaka huku uwezo wa uzalishaji wa kazi zenye tija (ajira rasmi) ni kati ya 50,000 mpaka 60,000 kwa...
  16. J

    GE2020 Askofu Gwajima: Naweza kufanya kazi yoyote ambayo haijakatazwa kibiblia, Mungu alijitambulisha kwa majina tofauti!

    Askofu Gwajima amesema Mungu anayemtumikia alijitambulisha kwa majina tofauti tofauti kulingana na nyakati na jukumu husika. Alijiita Jehova, Niko ambaye Niko, Mungu Mwenyezi, Bwana wa Majeshi nk. Hivyo mtumishi wa Mungu unaweza kufanya kazi yoyote ilimradi tu kazi hiyo siyo katazo la...
  17. PAZIA 3

    Kazi zenye pesa zisizojadiliwa na vijana hizi hapa

    Natumai hamjambo, kichwa Cha habari kinajieleza, Kuna kazi vijana wengi hawazijadili ila ukizizingatia unaweza ukatengeneza kampuni kubwa Tena yenye kuheshimika 1; Shoe care, hi inajumuisha kushona viatu vilivyochanika, mikoba, begi, nk, kung'arisha viatu na kufua viatu, Hakika, kwa mtaji wa...
  18. F

    Natafuta kazi ya udereva, nina akaunti active Uber, Bolt nk

    ....
  19. J

    GE2020 Wananchi wa vijijini hawamjui Tundu Lissu, Chadema mtapata kazi ya ziada kumnadi

    Huku vijijini Tundu Lissu ambaye anatarajia kuwa Mgombea Urais wa Chadema hajulikani kabisa. Hapa Usser Rombo kwa mfano Wananchi bado wamekariri kuwa Mgombea urais wa Chadema ni mzee Lowassa. Niwape tu angalizo Chadema kwamba muda si rafiki sana kama vipi apitishwe Mbowe tu kugombea urais kwa...
  20. Idd Ninga

    GE2020 Nalitamani jimbo la Arusha mjini,ni wakati wa vijana wachapa kazi

    Haja yangu ni kuliona jimbo la Arusha mjini likiwa Geneva ya kweli ya Afrika,kuigeuza na kuifanya Arusha kuwa makao makuu ya utalii Afrika ya mashariki na kati na kuweka mikakati na mipango na wadau wa utalii katika jimbo hili kuhakikisha utalii unatangazwa na vijana wanapata ajira ya uhakika...
Back
Top Bottom