kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. STUKA M1

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu barua ya kazi

    Hivi wadau kuna uhusiano wowote wa lugha kwa Tangazo la kazi lililoandikwa kwa kiswahili au kingereza na barua ya maombi ya kazi, inatakiwa iendane na lugha iliyotumika kwenye tangazo..?
  2. J

    JamiiForums Tanzania Je, madiwani wa Chadema wanaapishwa na kuendelea na kazi kama alivyosema Halima Mdee?

    Miongoni mwa hoja za msingi za Halima James Mdee ni kwamba haoni mantinki ya wabunge wa viti maalumu kukatazwa kula kiapo cha kuwatumikia wananchi ilhali madiwani wa chama hicho hicho cha Chadema wanakula kiapo kuitumikia serikali hiyo hiyo ya Rais Magufuli. Ndiposa nauliza, madiwani wa Chadema...
  3. mandingo 94

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za viwandani

    Habar za majukumu wadau kama nilivyo eleza apo juu mim ni mkazi wa dar kitunda natafuta za viwandani hata kibarua mim na fanya msaada wenu 0716527686
  4. C

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina degree ya procurement na uzoefu wa mwaka 1 kwenye banking and finance natafuta kazi

    Salamu nyingi kwenu wakuu, Mimi ni kijana mwenye elimu ngazi ya degree na pia Nina uzoefu wa Mwaka 1 kwenye banking and finance. Naomba msaada wenu ili nipate kazi iwe kwenye taasisi, shirika au kampuni au mahali pengine popote iwe kwenye stores, marketing, customer services department au...
  5. JOESKY

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni connection za kazi au kibarua ndugu zangu

    Habari za majukumu ndugu zangu wa jf? Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 mzaliwa wa wilaya ya kyela. ninaishi (mbeya mjini) Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu ngazi ya shahada ya kwanza ya elimu (BAEd) kutoka chuo kikuu cha Tumaini Makumira Arusha mwaka 2016. Nimetafuta kazi kwa bidii sana...
  6. ryan riz

    JamiiForums Tanzania 2020-2025, Ni muda sasa wa Mamlaka Kuu kuziachia Mamlaka ndogo kupitia Maafisa wake kufanya kazi zao huru kuepusha Mikanganyiko isiyo ya lazima

    Ili hizo Mamlaka ndogo ziheshimike muda huu hata baada ya 2025, inabidi zianze kutekeleza majukumu yake kwa kufuata katiba ya nchi, sheria na kanuni na taratibu zilizojiwekea. Ni marufuku sasa kuendelea kuingiliwa na Wanasiasa au vyama vyovyote vya siasa. Kumbuka hizi mamlaka ndogo ni Watumishi...
  7. dvj nasmiletz

    JamiiForums Tanzania Kazi yangu imenifanya niwe 'Domo Zege'

    Yaan kazi yangu imenifanya nipate pisi kali kibao. Sijawahi kutongoza dem ile kisiriazi. Sijawahi kukosa/kunyimwa namba ya simu na demu. Musiniulize kwanini Sasa hali hiyo imenifanya nimesahau kabisa kutongoza ile kawaida (yaani ile kutumiana vocha, picha, kusubiliana maeneo flan, kuambiana...
  8. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Tulioshuhudia Walimu na Watumishi wa Serikali waliopangiwa vijijini wakaacha kazi au kuhama kwasababu ya ushirikina uliokothiri mwaga hapa ushuhuda

    Sina namna yoyote ya kukatisha watu tamaa lakini kiukweli kuna maeneo bila kuwa mtu wa dini au kuwa na kinga ni ngumu sana kuvumilia mikiki mikiki ya Sayansi ya Kitamaduni. Nakumbuka huku Mbeya wilaya ya Songwe kuna dada alipangiwa huko, sasa alivyokuwa anaadhibu wanafunzi kwa viboko kuna...
  9. LOTH HEMA

    JamiiForums Tanzania Kazi ya ualimu na changamoto zake vijijini

    Kazi ni nzuri hasa kama uliisomea na kupata cheti. Unaomba ajira na unapata kisha unapangiwa shule iliyoko katika halmashauri ambayo hujawahi kufika. Unaenda kuishi maisha kulingana na eneo hilo. Jamii ya pale itategemea mapya kutoka kwako. Changamoto ziko nyingi ikiwepo kumezwa na mazingira...
  10. lup

    JamiiForums Tanzania Hakuna swali ambalo sipendi kama unafanya kazi gani, pale tu unapoanza kumfatilia Mwanamke

    Happy new December 2020 month, Niende kwenye mada moja kwa moja, unakuta mwanaume umekuatana na mwanamke mahali popote hata kama ni Jamii Forums, pale tu unapoanza kuwasiliana nae na kuonesha nia tayari tegemea swali taja hapo juu. Kuwa unafanaya kazi gani naikitokea ukataja wewe ni mzibua...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Uwajibikaji wa kidemokrasia unafanyaje kazi katika utoaji wa Huduma za Umma?

    Tunaweza kusema kuwa kuna uwajibikaji wa kidemokrasia katika utoaji huduma pale ambapo wananchi au wawakilishi wao wanahoji au kutoa mrejesho kuhusu huduma za umma halafu watendaji wa kisiasa na watoa Huduma ama wayafanyie kazi maoni hayo au wawajibishwe. Kutokana na dhana hiyo ya msingi...
  12. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Nchi kukaa muda mrefu bila Baraza la Mawaziri siyo Sifa, tafadhali teua Majembe ya Kazi Ufanisi uimarike Serikalini

    Sidhani kama ni afya sana/ ni sifa mno kwa Baraza la Mawaziri (Cabinet) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
  13. Paspii0

    JamiiForums Tanzania Natamani umri wa kustaafu kazi hasa kwenye taasisi za umma ungepunguzwa toka 60 mpaka 55

    Kama maada inavyojieleza ,hii ingesaidia kuwapa fursa zaidi vijana na kuchochea ari ya nguvu kazi na maendeleo zaidi,watu wangejiandaa mapema na kuwaachia vijana Nafasi ,pasi na kuwa na vijana wengi mtaani wasio na ajira rasmi ilhali wana taaluma mbalimbali na kuwa wategemezi zaidi. Natamani...
  14. msovero

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI yatangaza ajira za walimu shule za msingi na sekondari. Walimu waliopata ajira watakiwa kuripoti kuanzia Desemba mosi, 2020

    Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Eng. Joseph Nyamhanga atazungumza na waandishi wa habari Kuanzia Saa nane mchana kuhusu Ajira Mpya za Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari pamoja na mafundi Sanifu wa Maabara. Tukio hili litarushwa Mbashara kupitia Tamisemi Tv. Updates MAJINA YA WALIMU WAPYA
  15. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Malipo ya usafiri wakati wa kuanza kazi na kumaliza mkataba

    Niliajiriwa kwa mkataba wa mwaka mmoja na kampuni moja ya fedha . Hata hivyo nililipwa pesa ya mafunzo na nauli pekee nikitarajia kulipwa malipo ya kusafirisha mizigo na kujikimu lakini hawakufanya hivyo japo mkataba ulionesha naajiriwa kutoka Moshi kwenda Lindi, ingwa wakati wa kumaliza...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Nitawalinda wabunge wa Viti Maalumu CHADEMA kwa nguvu zote, Mnyika akajifunze kwa Dkt. Bashiru kazi za Katibu Mkuu

    Spika Ndugai amesema kanuni za bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao naye atafanya hivyo kwa nguvu zake zote. Ndugai amesema wabunge 19 wa CHADEMA wameteuliwa kihalali na kama CHADEMA wana matatizo nao walipaswa kuwaita kwa heshima na kuwasikiliza badala ya kuwahukumu...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Azam yamfuta kazi kocha wake

    diramakini.co.tz Goli la Yanga SC lamng'oa kocha Azam FC Diramakini 3 minutes Baada ya ushindi wa Novemba 25, 2020 ambao Yanga SC iliuchukua nyumbani kwa Azam FC katika uwanja wao wa Azam Complex uliopo nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, wachambuzi wa soka...
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Je, inawezekana ubongo kutolewa kichwani na kufungwa tumboni, kisha ukafanya kazi yake kwa ufanisi kama upo kichwani?

    Nasukumwa kuuliza swali hili baada ya kuona hii video ya huyu jamaa anayesema ubongo wake uko tumboni na unafanya kazi kama kawaida. Tumsikilize Kisha wataalam watupe elimu.
  19. Sirai

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote nimesoma nursing midwife degree post intern Ila sijapa leseni

    Naitwa Paul s peter nimesoma bsc.nursing midwife intern nimefanya muhimbili sijapata lesen bado. Nina ujuzi wa computer kiasi Nmefundisha tuition Nimechoma chips Nahitaji kazi yoyote naomba Wana jamii mnisaidie Tel 0689052541
  20. Kibale Katwenge

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba connection ya kazi

    Mimi ni kijana wa Kiume na nimesoma kozi ya Bachelor of Technology in Laboratory Science kutoka DIT. Ninaweza kufanya kazi kwenye kiwanda chochote kinachozalisha bidhaa au kusindika bidhaa kama mhakiki wa bidhaa hizo. Lakini pia ninaweza kufanya kazi kwenye taasisi zozote za utafiti wa...
Back
Top Bottom