johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,947
- 141,923
Miongoni mwa hoja za msingi za Halima James Mdee ni kwamba haoni mantinki ya wabunge wa viti maalumu kukatazwa kula kiapo cha kuwatumikia wananchi ilhali madiwani wa chama hicho hicho cha Chadema wanakula kiapo kuitumikia serikali hiyo hiyo ya Rais Magufuli.
Ndiposa nauliza, madiwani wa Chadema wamekula viapo vya uaminifu huko kwenye halmashauri?
Maendeleo hayana vyama!
Ndiposa nauliza, madiwani wa Chadema wamekula viapo vya uaminifu huko kwenye halmashauri?
Maendeleo hayana vyama!