Hello wana JF,
Jamani kiukweli soko la ajira kwa sasa ni gumu kilichobaki vijana tujiajiri lakini tutajiajiri vipi wakati hatuna mitaji,Mtu unakuta uko mtaani mwaka wa 7 huu na cheti chako cha Business Administration au Uhasibu n.k.
Sasa rasilimali pekee ambayo nafikiri ni kutumia tu akili...