kampuni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Fanya Hivi Ukitaka Kuuza Kampuni Yako

    Wiki ya mwisho wa mwezi wa Saba nilikua namsaidia mteja wangu kufanya process za kuuza Kampuni yake, haya ni mambo ya kuzingatia ukitaka Kuuza Kampuni; 1. Elewa unauza Nini Kuna mambo kadhaa yanawezwa kuuzwa kwenye Kampuni 1.1 hisa za Kampuni 1.2 Assets au Mali za Kampuni 1.3 Kampuni yote...
  2. Jerry Farms

    Kero: Ufuatiliaji mdogo wa kampuni za Ujasiliamali( zenye mlengo wa kiMotivotional Speaker) unavyowaliza wakulima & wafugaji

    Habari mdau wa kilimo! Je, umewahi kuskia semi maarufu ya "ukiitiwa fursa basi wewe ndio fursa" ama " dili limekua dirisha"? Semi hizi na zinginezo zimekua maarufu kutokana na tapeli mbalimbali walizo/wanazofanyiwa wakulima na wafugaji. Hapa chini tutakupa mifano hai kwa uzoefu toka mkoani...
  3. Karangwa T

    Kampuni ya MI CASA yaamriwa kulipa Tzs milioni 20 kwa kuvunja faragha ya mtu

    Katika hatua ya kusimamia Haki ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi za watu nchini, Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imeiamuru Kampuni ya MI CASA kumlipa Wakili Abdul Naumanga Milioni 20 kama fidia kwa kutumia picha na ‘video’ zake katika akaunti yao ya mtandao wa kijamii wa Instagram...
  4. Fursakibao

    Msaada Kuhusu kampuni ya Prestige Auto Export

    Habari za mda huu wadau. Naomba kama kuna mtu humu aliewahi kununua Gari Prestige Auto Export anisaidie kuhakiki kama hizi taarifa na account ni sahihi. Nauliza kwa Niagara ya jirani anaogopa kupigwa.
  5. L

    "Fungua Kampuni Badala ya Jina la Biashara"

    Huu ulikua ni ushauri wangu wa mwisho kumpa AISHA juzi mchana. Kwenye thread hii nitakuonesha faida za kufungua Kampuni badala ya Jina la Biashara kama nilivyomwambia AISHA. 1. Limited liability Kampuni ni legal person na inajitegemea kutoka kwa Mmiliki wake, hivyo kwenye event kama ya kulipa...
  6. Liverpool VPN

    Wanasheria na Wataalamu wa Miliki (mali) Njooni mnipe ushauri Kuhusu hii Kampuni yangu na Warithi wangu.

    INTRODUCTION:- Salam sanaaa? HUU NI UKWELI WA MAISHA YANGU, KUHUSU MAHUSIANO NA MALI. Naitwa Mr. Liverpool ni kijana wa kiume mwenye Diploma, Degree, Masters, na PhD Candidate dropout (Nilipata Scholarship ila biashara ikanipenda zaidi kuliko shule..!!) Ni mtumishi wa umma mwenye miaka 35...
  7. M

    Naomba ushauri wa Kampuni inayotoa huduma ya mortgage hapa nchini

    Naomba kujua huduma ya mortgage hapa nchini Hali ikoje,ni wapi watoa huduma wazuri kwa mtu mwenye uzoefu. Najua JF ni kisima cha Taarifa. Nawasilisha!
  8. Meja Jenerali Isamuhyo

    Je kampuni ya mabasi ya Katarama itashughulikiwa?

    Dada wa Taifa amepost abiria wakiwa katika basi la Katarama wakiangalia hotuba ya Balozi mstaafu Polepole. Uzi huu umekuja na swali la angalizo, je kupitia video ile, kampuni ya Katarama inaweza kushughulikiwa na mamlaka? Muda ni mwalimu mzuri…
  9. L

    Jinsi ya Kubadili Jina la Kampuni au Biashara ambalo lilisajiliwa BRELA tayari

    Kuna wakati unafika kwa sababu fulani unaona ubadili Jina la Biashara Yako au Kampuni yako, kwa sababu zozote zile hizi ni hatua za kufuata; 1. Sababu za kubadili Jina la Biashara Either unafanya -Rebranding -unataka jina linaloendana na huduma zako za sasa Etc 2. Angalia kama jina...
  10. Waufukweni

    Kampuni kubwa zaidi ya Madini Duniani yaachana na mradi wa Nickel wa dola bilioni 2.5 nchini Tanzania

    Kampuni kubwa zaidi ya uchimbaji madini duniani, BHP Group (BHP.AX), imeamua kuuza hisa zake kwenye mradi wa nikeli wa Kabanga uliopo nchini Tanzania kwa mshirika wake, Lifezone Metals (LZM.N). Mradi huo una thamani ya takribani dola bilioni 2.5, na Lifezone imethibitisha kuwa itanunua hisa hizo...
  11. iCode

    Nanunua Kampuni yenye leseni ya usafiri wa Anga.

    Umofia kwenu wanajamvi. Ninatafuta kampuni inayouzwa na inayojihusisha na maswala ya usafiri wa Anga (Abiria na Mizigo). Sharti iwe na usajili na iwe na umri wa at least miaka mitano (5). Kampuni hiyo iwe au isiwe na vyombo hivyo vya usafiri sio hoja kubwa, ni kuwa na leseni (5 years on...
  12. A

    DOKEZO ZSSF iamke usingizini, Kampuni nyingi Zanzibar zinawakata Wafanyakazi lakini fedha hazifiki

    Uongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) haifuatilii michango ya wanayokatwa Wafanyakazi kwenye kampuni, wanafanya kazi kwa mazoea au wanaziogopa baadhi ya taasisi. Hali hiyo inatukuta Wafanyakazi wa Kampuni ya IRIS inayohusika na masuala ya ujenzi wa barabara mbalimbali Zanzibar na...
  13. Camo

    Utii Ulikuwa Njia ya Kuishi, Mpaka Pale Alipokua C.E.O Kisha Kuua Kampuni - Biograph ya Tedi

    Alizaliwa kwenye familia ambayo haikuamini katika mazungumzo, haikuamini katika kuelewana, haikuamini katika maoni mbadala. Bali heshima ni utii usiohoji, na upendo ni zawadi inayotolewa tu kwa wale wanaofuata mstari. Baba alikuwa mwepesi wa hasira, mzito wa kusikiliza. Kosa dogo lilimaanisha...
  14. youngkato

    Kwanini Watu Wengi Hushindwa Kumiliki Kampuni Zao?

    Mambo ya Kuzingatia Kabla ya Kuanza Kusajili Kampuni Kabla hujaanza mchakato wa usajili, ni muhimu kuwa na maandalizi ya kutosha. Kwanza, hakikisha unaelewa sheria na kanuni zinazoongoza usajili wa kampuni. Ikiwa hauna uelewa wa kutosha, wasiliana na mtaalamu mwenye uzoefu. Pili, fahamu gharama...
  15. Liu Yun

    Nani wa kumuajiri Kwenye kampuni au Kazi yako?

    Kwa mtazamo mkubwa watu wengi wenye Makampuni, au watengeneza ajira hasa zinazo hitaji ubunifu kwasasa hawaajiri watu wenye alama kubwa za kiakademiki/darasani 85-100%. Bali Hupenda kuwaajiri watu wenye 60-80%. Hii ni kwanini?
  16. Fbn

    Kuna ukweli fulani ila watu wa Iringa tunawasingizia kwa kupenda kitoweo cha mbwa ila watakaokuwa wanasingizia ni mikoa hii

    Tuhuma kuhusu nyama ya mbwa zinaonekana zipo mikoa fulani tukifika huku tunajua tunapata mbuzi kumbe mbwa tena kisiri. Mkoa kama tabora na kigoma baadhi ya wanyamwezi na wasukuma huamini nyama ya mbwa inatoa nguvu au huweza kutibu magonjwa fulani ya kienyeji. Mkoa wa Shinyanga na simiyu baadhi...
  17. S

    law graduate

    Anahitajika kijana aliyemaliza degree ya SHERIA. Umri usiwe zaidi ya miaka 30 awe mkazi wa Arusha.
  18. K

    Msaada kwa mwenye uzoefu na kuendesha kampuni ya usafi

    Nitangulize shukrani kwa yeyote atakaechangia mawazo yake. naomba kwa yule mwenye uzoefu na biashara ya kuendesha kampuni ya usafi anisaidie kunipa muongozo wa uendeshaji na changamoto zake. Ahsante
  19. Ramjane OG

    Natafuta Kampuni (Contractor au Consultant Firm) ya Kufanyia Internship ya Quantity Surveyor

    Mimi ni Graduate in Quantity Surveying and Construction Economics at Ardhi University natafuta kampuni (contractor au consultant) ya kufanyia internship/ hata ajira itakua vizuri popote Tanzania. Msaada Plz wakuu🙏🙏
  20. Yoda

    Hili ni jambo la mafanikio kwa nchi pia au kwa kampuni binafsi tu?

    Meli kubwa ya mizigo, MV Santa Teresa, imetia nanga katika Bandari ya Dar es Salaam ikiwa na shehena ya tani 60,500 za ngano bora kutoka Australia kwa ajili ya kampuni ya Said Salim Bakhresa, chini ya Meli hiyo inaandika historia nchini kwa kuwa ya kwanza kuwasili na shehena kubwa zaidi ya...
Back
Top Bottom