Hylarana kampeni is a species of true frog in the genus Hylarana. It is native to Sumatra, Indonesia. It lives in primary rainforest along streams above 700 m (2,300 ft).
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni kwa swala la msimamo TAL nampongeza.
Akiwa Zanzibar huku pembeni yake amesimama mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chadema ni yeye akampigia kampeni maalimu Seif.
Leo akiwa Kigoma manispaa katika viwanja vya Mwanga CC huku pembeni yake akiwa amesimama mgombea...
Wanabodi,
Kwanza sikiliza hii
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongela, ni moja wa Ma RC very bold katika kuusema ukweli bayana!, leo amevunja mwiko wa ukimya kwa viongozi wa serikali kutompigia kampeni zozote za kisiasa kwa mgombea yoyote, kwasababu hawa ni viongozi wa kiutendaji, lakini RC John...
Watu kama hawa ni haki yao kutafuna Ruzuku ya chama hapo badae wamefanya kazi kubwa sana wapewe heshima yao.
Note: ni burudani na vituko tu vya kampeni.
Mwanachama nguli wa CCM ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa nilitegemea awe kwenye timu ya kampeni ya CCM wakati huu jahazi linapoelekea kuzama.
Au yeye ni kati ya Askari wa Akiba tunaoambiwa wataingia rasmi kipindi cha lala salama.
Kwa masikitiko makubwa naomba kulaani vikali kitendo cha Mgombea mwenza wa CHADEMA cha kuwafokea Askari Polisi walipomkumbusha kuwa muda wake wa kampeni kwa siku ya jana umekwisha. Yaani saa 12 jioni.
Kupitia hilo nimeamini hawa watu ustaarabu, hekima, unyenyekevu na ustahimilivu unawashinda...
Wakuu nawasalimu kwa salamu ya Ukombozi , leo tena Mh Lissu anaendelea kuwatembelea Watanzania wenzake kwa lengo la kuwaomba ridhaa ya kupewa kura ili awe Rais wa Tanzania , mikutano ya leo itapigwa Mkoani Katavi na Kigoma .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa habari za uhakika.
----
Napenda...
Mwenyekiti wa CUF pia ni Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Prof. Ibrahim Haruna Lipumba , kesho septemba 20 ataongoza uzinduzi wa kampeni za CUF, visiwani Zanzibar.
CUF: KUNA MAISHA BAADA YA UCHAGUZI
Katika mkutano wa Kampeni uliofanyika Chakechake Pemba, Mwenyekiti wa CUF...
ORODHA KAMILI YA VITI MAALUM UBUNGE NA UDIWANI KUTOLEWA BAADA YA USHIRIKI WA KAMPENI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, ametoa msimamo wa Chama katika kuteua wabunge wa viti maalum, ambapo ameeleza kuwa, kwa upande wa Udiwani aliyeshinda kura za maoni ndio...
“Tumepata taarifa kwamba zipo Taasisi za Umma zinaratibu na kugharamia Kampeni za Mgombea wa CCM Ndugu Magufuli, tunakamilisha uchunguzi na ushahidi tutaweka hadharani”. @salummwalimtz Viwanja vya Mnadani Igunga,Tabora.
17 September 2020
Mbeya Vijijini
Tanzania
Kamanda China wa China Joseph Mwasote
Mgombea wa ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA kamanda Joseph Mwasote hatimaye azindua kampeni yake ya 2020 baada ya Tume ya Uchaguzi kurudisha jina lake liliokuwa limeenguliwa kufuatia pingamizi alilowekewa...
Habarini wapiga kura wenzangu.
Jana nilipata fursa ya kuhudhuria mkutano wa Kampeni wa mgombea wa CHADEMA ndugu Tundu Lissu, kiukweli watu walijitokeza wengi sana kumlaki na walionesha ushirikiano kwa kumsindikiza kwa maandamano hadi hotelini kwake hiyo ni mida ya saa mbili usiku, polisi...
Mpaka sasa sijasikia siasa za majitaka wala kuongelea maisha binafsi ya wagombea.
Nakumbuka uchaguzi wa mwaka 2010 mgombea mmoja aliambiwa eti kaiba mke wa mtu.
Uchaguzi wa 2015 mwingine aliambiwa eti ni mgonjwa.
Hongereni vyama vyote kwa kufanya kampeni za kisayansi.
Tunatumaini hii hali...
Mgombea Urais wa JMT, Dkt. John Magufuli yupo Kigoma leo Septemba 18, 2020.
Updates zote zitawekwa hapa:
Video: Ngoma ya kinamama wa kabila la Wabembe wa kata ya Kitongani Kigoma mjini wakitumbuiza katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani humo katika kunogesha mkutano wa kampeni wa JPM leo...
Mambo yamegeuka ghafla!! Muller ametoa ripoti yake iliyomsafisha Trump kuwa hakukuwa na njama zozote kati ya Trump na Urusi ili kuingilia uchaguzi wa Marekati hapo 2016. Kuna uwezekano mkubwa wa Obama na Mama Clinton kuundiwa tume ya kuwachunguza kuona kama walikula njama za kutaka kumtoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.