Samedi Amba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 227
- 178
Juzi nilikuwa mtandaoni, nikastumble upon uzi unaolinganisha Alibaba na Amazon. Nikaona jinsi ambavyo wanaendana bega kwa bega kwa vitu vingi tu.
Tukizingatia pia kuwa watanzania wengi wanaelekea Mashariki china dubai nk kununua vitu.
Lakini swali linabaki, kati ya hawa magwiji wawili, nani mkali zaidi?
Tukizingatia pia kuwa watanzania wengi wanaelekea Mashariki china dubai nk kununua vitu.
Lakini swali linabaki, kati ya hawa magwiji wawili, nani mkali zaidi?