kali

  1. UVCCM Wilaya ya Iramba wamvaaa Membe, wampa onyo kali

    Jumuiya ya umoja wa vijana WA CCM Wilaya ya Iramba mkoani singida Imemtumia salamu aliyekuwa mwanachama wa CCM Bernard Membe na baadae kufukukuzwa uanachama na Kamati Kuu. Jumuiya hii kupitia kwa mwenyekiti wake comrade Joseph Mnemba imesema kuwa haitamvumilia mtu yeyote anaepingana na...
  2. Tunaposema Watanzania tumeshindikana tuwe Tunaelewa

    Koment ya huyo sasa apo imeniacha hoi! Mtu unakaa unavuta taswira ya kuwaza vitu vingine tofauti, unajishauri ukaombe urafiki au yeye mwenyewe kwenye profile picture, huamini?
  3. Ni kwanini Nyoka yoyote mwenye Sumu Kali akikutana na Mtoto Mchanga au Mdogo hawezi kumdhuru na atakuwa anacheza naye tu?

    Nasikia kuwa kuna Siri Moja kubwa sana ya Kimungu na Kimaajabu katika hili hivyo nataka Kulithibitisha hili kutoka kwenu Wajuzi hapa Jamvini JF.
  4. Kati ya hawa wasanii nani ni mkali wa kuandika ngoma kali?

    Ibraa kutoka konde music world wide Au! Mboso kutoka wasafi baby 👇👇
  5. Kimenuka: UVCCM Zanzibar warejesha kadi Kisiwandui, kumbe walitapeliwa kwamba watapewa ajira, imebainika ni uongo!

    Chama cha Mapinduzi Zanzibar kimepata pigo kubwa baada ya mamia ya Vijana wa uvccm waliotumikishwa kwa miaka mingi kwenye sekta ya Mazombie na Janjaweed kuzinduka na kuanza kukumbushia ahadi walizopewa na viongozi wao , kwamba watapatiwa ajira . Leo baada ya danadana za kipindi kirefu...
  6. Chonde Chonde Serikali tupieni upesi ' Jicho lake Kali ' katika huu ' Usanii ' wa uwekezaji wa GSM, Sevilla na la Liga kwa Klabu ya Yanga

    Nikiwa kama Mwanachama wa Klabu ya Yanga mwenye Kadi ambayo Namba yake haina ulazima wowote ule kwa Wewe Kuijua naomba niwe wa Kwanza kuiomba Serikali makini inayoongozwa na ' Jemedari ' Rais Dkt. Magufuli kupitia Vyombo vyake ' Nyeti ' kabisa vitupie Macho katika hiki kinachoitwa ni ' Mchakato...
  7. Wataalamu wa simu ipi kali kati ya One Plus 8 Pro na Oppo Find X2 Pro

    Natamani ku-test the difference kwenye hizi simu za kichina. Mimi ni mpenzi wa hizi display za Samsung za curved na amoled au oled screen. Sasa hizi brand za kichina zina-offer the same screen design and displays. Na pia zinatoa premium specifications kwa bei ya chini ya hizi za Samsung au...
  8. Diamond atuzwa ufalme wa kuwa Mtumbuizaji Bora Afrika

    Wiki iliyopita kuibuka mzozo wa Burnaboy na Diamond nani mkali Jana kwenye show ya MTV Base Afrika kijana wetu kagongelea msumari hakuna wa kumzidi kwenye perfomance stejini au kokote akifanya show Hadi B Dozen kakubali mzigo aliopiga Diamond, leo akiwa live kwenye kipindi cha XXL japo...
  9. Y

    Movies: Nimeamua kukesha leo nipakue movie, wakuu naomba movie zile latest kali nianze nazo kwa usiku wa leo

    Wakuu habarini .. Kwa wapenzi wa movie naombeni mnitajie movie kali latest zinazohit kwa kipindi hiki ,,ili usiku nianze nazo maana sina info. Juu ya movie yoyote kali zilizo be released.. Msaada wakuu.. Category za movie ziwe ; 1. Action 2. Romance 3. Thriller 4. War 5. Crime Kuhusu...
  10. J

    Habari Njema na Mbaya: Takribani 80% ya visa vya COVID19 haviambatani na dalili kali au za kutishia maisha

    Katika visa vilivyobainika duniani vya #CoronaVirus, asilimia 15 tu huambatana na dalili ya ugonjwa hatari wa mapafu “pneumonia”, kushindwa kupumua, oksijeni kupungua kwenye damu na matatizo mengine ya mapafu Asilimia takribani 5 huambatana na dalili hatarishi zaidi zinazoweza pelekea kifo kama...
  11. Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

    Habari zenu wandugu? Ni kitambo kidogo sasa hatujakutana kwenye hiki kijiwe chetu cha movies kutokana na mambo ya hapa na pale lakini natumai kila kitu kipo poa! Pasipo kupoteza muda, leo tutazamia ‘session ya 04’ kwenye huu mfululizo wetu wa kuhamasishana kutazama filamu mbalimbali kwa...
  12. VIDEO: Fumanizi na kipigo kikali sana

    NEWS UPDATE: Mwanaharakati wa Haki za Wanawake hapa nchini Joyce Kiria the super woman pamoja na Juma Raibu diwani wa boma Mbuzi Manispaa Moshi wamsaidia mwanamke aliye daiwa kufumaniwa na mume wa mtu kupata matibabu Akizungumza Mara baada kutembelewa nyumbani kwake Msaranga wilani Moshi Mkoani...
  13. Hii Movie kali sana !! Ntapata wapi mwendelezo wake?

    Hii movie imenifurahisha sana... Natamani kuona mwendelezo wake... Plz plz mwenyenayo jamani
  14. Nimeugua homa kali na mafua juu, mdomoni pachungu. Nifanyeje?

    Wakuu toka juzi nimepatwa na homa kali iliyoambatana na mafua na kikohozi kwa mbali. Nimeogopa kwenda hospitali nisijekuambiwa nina corona nikafa kwa presha. Nilichokifanya nimeenda duka la madawa nikajichukulia zangu dose ya mseto mpaka sasa ndio natumia na hali yangu inaendelea kuimarika Japo...
  15. Nataka kufungua kiwanda kidogo cha pombe kali. Utaratibu ukoje?

    Kama title inavyojieleza nina idea ya kuanzisha kiwanda kidogo cha pombe ila bado sijui costs za kufinance projects na kwa mwenye madini naomba anipatie. Pia, kama kuna mwenye uzoefu na biashara ya pombe kali kama K-Vant na Konyagi anakaribishwa kumwaga madini, shida yangu nahitaji kujua...
  16. Juma Nature : Club wisk maji na Bia Ukizubaa wanakuchanganyia, ilikuwa Track moja kali sana

    Hapo sasa
  17. Naomba tupate maelezo ya kina ya kisayansi, hivi inakuwaje mtu anashangilia na kupata furaha kali pale nchi yake au wenzake wanapopata matatizo?

    Mfano hai kabisa ambao nimeshuhudia kwa macho yangu mitaani na pia katika mitandao, ni ile hamu na shauku waliyokuwa nayo baadhi ya waTz kuona ugonjwa wa Corona ukiingia Tz, na unamuona kabisa mtu huyo anaumia kila walipoambiwa kuwa ugonjwa bado haujafika. Ile siku yule dada wa huko Kaskazini...
  18. Ummy Mwalimu: Watoa huduma za afya wasikimbie wagonjwa, sio kila homa kali ni Corona

    Waziri wa Afya wa Tanzania, Ummy Mwalimu amesema watoa huduma wa sekta ya afya hawatakiwi kuwakimbia wagonjwa na badala yake, wanatakiwa kuzingatia Kanuni za Udhibiti wa Maambukizi katika kutoa Huduma (IPC). Ummy amesema sio kila homa kali au kikohozi ni CoronaVirus hivyo watoa huduma...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…