Raia mpya
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 937
- 2,592
Tanga sio jiji , bajeti ya mwaka 2025/2026 katika miundombinu ya majiji haikuhusishwa hasa barabara kubwa ,na bajeti ya juzi ya mwaka 2026/2027 napo pia haipo kwenye list yaani mpaka Njombe ndani ikiungajishwa na Mbeya ila Tanga hola.
Kwenye bajeti za flyover waziri wa ulega alitaja watajenga flyover kwenye majiji ma 4 Tanga haikutajwa, pia nakumbuka alitaja mradi wa mwendo kasi katika majiji alitaka yote ila Tanga kaiacha, na kwenye mambo mengi tu,
Je, Tanga imeondolewa kwenye orodha ya majiji ila serikali haitaki kusema?
Kwenye bajeti za flyover waziri wa ulega alitaja watajenga flyover kwenye majiji ma 4 Tanga haikutajwa, pia nakumbuka alitaja mradi wa mwendo kasi katika majiji alitaka yote ila Tanga kaiacha, na kwenye mambo mengi tu,
Je, Tanga imeondolewa kwenye orodha ya majiji ila serikali haitaki kusema?