jeshi la polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. AbaMukulu

    Iringa: Polisi wadaiwa kuwaamuru watuhumiwa wa wizi kulawitiana

    Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha hong way interntional ltd kilichopo Mafinga wanalalamika kwa kulazimishwa kulawitiana. Wanasema amri hiyo ilitolewa na askari baada ya kupelekwa kituoni kama watuhumiwa kwenye kiwanda hicho. ==== Vijana 5 Waliokua Wafanyakazi Wa Kiwanda Cha Hongway...
  2. BAK

    Free Erick Kabendera

    No end in sight as Tanzania’s ruling party CCM goes for ‘dissenters’ Saturday July 27 2019 Tanzania's President John Magufuli delivers a speech during a political rally on July 14, 2015 in Dar es Salaam. Ruling party CCM typically supports a sitting president’s bid for a second term. PHOTO |...
  3. Zitto

    Mmoja wa Mawakili wa Erick Kabendera aeleza kinachoendelea

    TAARIFA KUHUSU KUKAMATWA, KUWEKWA MAHABUSU NA KUHOJIWA KWA MWANDISHI WA HABARI ZA UCHUNGUZI ERICK KABENDERA Tarehe 29 Julai 2019, majira ya saa 11 jioni, watu wasiojulikana na waliovaa kiraia, walifika nyumbani kwa Erick Kabendera eneo la Mbweni Mpigi Dar, wakitaka kumkamata. Hata hivyo...
  4. D

    Polisi wakagua nyumbani kwa Erick Kabendera, waondoka na hati yake ya kusafiria na nyingine za ndugu zake

    Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania imefanya ukaguzi katika makazi ya mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera na kuchukua vitu mbalimbali ikiwamo paspoti saba za kusafiria. Ukaguzi huo ulifanyika jana Jumatano Julai 31, 2019 nyumbani kwa Kabendera, Mbweni jijini Dar es Salaam nchini...
  5. Informer

    Kamanda Mambosasa: Mwandishi Erick Kabendera anahojiwa uraia wake

    Kamanda Mambosasa anasema: Erick Kabandera alikamatwa nyumbani kwake baada ya kukataa wito halali wa Jeshi la Polisi Awali aliandikiwa barua ya wito ajili ya mahojiano lakini alikaidi kutii wito halali wa Polisi Jeshi la Polisi likimwita mtu kwa hiari akikaidi, sisi tunamwezesha atii Baada...
  6. Roving Journalist

    Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

    Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera anadaiwa kuvamiwa na 'watu wasiojulikana' nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam baada ya watu kadhaa wakiwa na magari kuvamia na kuzingira nyumba na kuzuia watu kuingia. Namba ya gari lililomchukua imetajwa ni T746DFS. Erick Kabendera, a...
  7. Mystery

    Rais Magufuli ndiyo ameuona sasa utendaji kazi mbovu wa Jeshi letu la Polisi?

    Tumemsikia wenyewe kwa masikio yetu, Rais Magufuli akitoa lawama kwa watendaji wa Jeshi letu la Polisi kuwa baadhi ya utendaji wao wa kazi kwa kweli hauridhishi. Akitolea mfano utekwaji nyara wa mfanyibiashara maarufu nchini, Mohamed Dewji, ambaye anafahamika zaidi kwa jina la Mo, ambaye tokea...
  8. impongo

    Jeshi la Polisi, ujambazi unavyoshamiri Chato raia wanakosa msaada

    Siku ya tarehe 2, August, 2016 nilikiwa katika mji wa Mganza wilaya ya Chato nilishuhudia mfanya Biashara akitekwa na kuibiwa pesa million nane 8 Tshs. Mfanya biashara huyo bwana Kamba Tassian alipigwa na kutekwa na kunyanganywa pesa baadae alienda kituo cha Police kutoa taarifa lakini hakuna...
  9. BAK

    Tanzania's Police Force is rotten

    Where do the drugs police cease go? By Elisha Magolanga The Citizen Correspondent Dar es Salaam. In the wake of the suspension of senior law keepers over their alleged involvement in stealing exhibits under their custody, concern is mounting over where the hundreds of kilogrammes of...
  10. S

    TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

    Mwwenyekiti na Chama cha Waandishi wa habari mkoa wa Iringa na mwandishi wa habari wa Channel 10 amepigwa risasi na polisi kwenye mkutano wa CHADEMA Mufindi. --- Mwandishi wa habari wa Channel Ten mkoa wa Iringa na Mwenyekiti wa chama chama cha waandishi wa habari mkoa wa Iringa Daud Mwangosi...
  11. Zak Malang

    Absalom Kibanda akamatwa!

    Jeshi la polisi linamshikilia mhariri wa gazeti la Tanzania Daima, A. Kibanda kwa tuhuma za uchochezi. Kibanda anashikiliwa kwenye makao makuu ya polisi jijini Dar es Salaam. =============== UPDATES Habari zilizonaswa sasa hivi kutoka makao makuu ya polisi Dar zinasema Mhariri wa Tz Daima...
Back
Top Bottom