SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
Kufuatia kauli hizi za aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Ndg. Paul Makonda Jeshi la Polisi linapaswa kumuita na kumhoji ni kwa namna gani yeye raia wa kawaida awe na uwezo zaidi kuliko vyombo vya ulinzi na usalama wa Nchi kuweza kumlinda Rais. Ambapo akaliomba Jeshi la polisi kutosita kumuomba kufanya hivyo iwapo watahitaji msaada huo.
"Ningekuwa ni Jeshini ninazo medali za kivita ni Askari mmoja aliyepo back bencher mwenye uwezo mkubwa wa kupigana vita yoyote, RC, Mambosasa mkihitaji uzoefu wangu ktk mapambano ya kumlinda MagufuliJP hata kama saa 9 usiku nitanyanyuka" -
@makonda_paul MakondaKukabidhiOfisi
"Ningekuwa ni Jeshini ninazo medali za kivita ni Askari mmoja aliyepo back bencher mwenye uwezo mkubwa wa kupigana vita yoyote, RC, Mambosasa mkihitaji uzoefu wangu ktk mapambano ya kumlinda MagufuliJP hata kama saa 9 usiku nitanyanyuka" -
@makonda_paul MakondaKukabidhiOfisi