Kwa sababu shambulio moja tu la droni kwenye kitu muhimu kama kituo cha kuondoa chumvi kwenye maji ya bahari (desalination plant) au bandari ya biashara linaweza kuleta madhara makubwa kuliko maelfu ya hotuba za kisiasa.
Nchi za Ghuba kama UAE zinategemea sana vituo vya desalination kwa maji ya...
Kutokana na hali inayoendelea ya hawa Makafir kujipigia kila sehemu watakayo ndani ya Iran na ndege zao kuranda randa nchini.
Je mheshimiwa Spika. Huu si wakati mzuri sasa wa kuanza kutumia mabomu ya Nyuklia ambayo tumekuwa nayo mengi sana yanayoweza teketeza dunia nzima na akhera?
Lakini je...
Kiongozi Mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei huenda yuko katika hali ya kukosa fahamu, Marekani yasema ameharibika maumbile.
Kiongozi mpya wa Irani aliyeteuliwa, Mojtaba Khamenei, yuko katika hali ya kukosa fahamu na amepoteza angalau mguu mmoja baada ya kujeruhiwa vibaya wakati wa shambulio la anga...
Wanaukumbi.
Trump anataka mataifa yaungane washirikiane na Marekani kupeleka majeshi Iran wakapigane kupita mlango wa Homuz
Japan imekuwa ya kwanza kukutaaa.
Trump alianzisha vita ambavyo sehemu kubwa ya dunia ilikuwa dhidi yake, na sasa anaomba China, Uingereza, Ufaransa, Japan na Korea...
Ukisoma Waamuzi 7 kuanzia 22, Wamidiani walidhamiria kuifuta Israel, wakaja wengi mno yaani kwa silaha na kwa walivyokua wamejiandaa, wangeifuta Israel isahaulike, ila Gidioni kwa idadi ya wapiganaji 300 walishtukiza na kupiga tarumbeta usiku, hao Wamidiani wakachanganyikiwa na kuanza kuchinjana...
Vita yoyote iliyofanikiwa duniani hutokana kwa kiasi kikubwa na upangaji wa mashambulizi unaofanywa na makamanda kimedani. Marekani iliingia vita ya Vitenama ikiwa haina plani za kivita ikitegemea kupiga mabomu tu, njia ambayo pia imetumiwa na Urusi kuivamia Ukraine; mbinu hiyo huwa haifanikiwi...
https://youtu.be/zHhj_gxjcY8
Operation Rooster 53 was a bold Israeli special forces mission on December 26–27, 1969, during the War of Attrition, where commandos stole an advanced Soviet-made P-12 radar system from Ras Ghareb, Egypt. Using CH-53 helicopters, they airlifted the 7-ton radar to...
Tunaweza kuwa na tofauti zetu lakini kuna mstari ukivukwa lazima utauona umoja wa watanzania hata wanaotofautiana
Trump akithubutu kutuletea mambo yake aliyofanya Vendezuela na sasa Iran, atajutia uamuzi huo maana sio kwa aibu atayopata.
Tanzania, Tanzania!
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu...
The Wall Street Journal
Ndege tano za Jeshi la Anga la Marekani zinazotumika kujaza mafuta angani zilipigwa na kuharibika zikiwa chini katika Kituo cha Anga cha Prince Sultan Air Base nchini Saudi Arabia, kwa mujibu wa maafisa wawili wa Marekani.
Maafisa hao walisema ndege hizo zilipigwa...
Shirika la la habari la Kimataifa Al Jazeera imetoa ripoti inayoonyesha kiasi gani Iran imeathirika katika mashambulizi yanayoendelea dhidi yake katika mashambulizi yaliyoanzishwa na Israel pamoja na mshirika wake Marekanin yaliyoanza February 28, 2026 na mpaka sasa yanaendelea
Ripoti hiyo...
Iran ilikuwa ikijivunia kuficha na ku hifadhi Mabomu na Makombola yao chini ya ardhi mpango wao huo umebuma baada ya tecknolojia ya Israel kuyagundua yalipo na kuwaangamiza.
Hili ni pigo kubwa sana kwa utawala wa magaidi wa Iran 🇮🇷
https://x.com/imtiazmadmood/status/2032400792808739018?s=61
Uajemi na umedi ni Dola kubwa lilotawala ulimwengu miaka mingi kabla ya Kristo
Baada ya hapo ndipo warumi wakatawala Dunia Kwa muda mrefu sana Hadi Leo alama zake tunaziona
Baada ya Rumi kuanguka Marekani kama Pembe mojawapo kati ya mataifa ya ulaya ndo superpower wa dunia ingawa hawezi kuwa...
Kiongozi mpya wa Irani "amejeruhiwa na kuna uwezekano kulemazwa," Hegseth amesema katika mkutano wa hivi punde wa Pentagon.
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Bw. Pete Hegseth alianza mkutano wake na Pentagon Ijumaa akisema kiongozi mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei "amejeruhiwa na kuna uwezekano wa...
Watanzania ni watu hatari na hamstahili kusikilizwa na sitahili yenu ni kulaaniwa kabisa
Wakati wa tetesi za vita kabla ya vita inayoendelea
Watanzania wengi hasa kutoka Misikitini, walikuwa wanaipamba Iran kwa mapambio ya kuogofya
Eti Iran viwango vyake kimedani za vita, imevuka viwango vya...
Sri Lanka kurejesha mabaki ya wanamaji 84 wa Iran waliouawa katika shambulio la Marekani.
Sri Lanka inarejesha mabaki ya wanamaji 84 wa Iran waliokufa wakati frigate yao ilizamishwa siku tisa zilizopita na shambulio la manowari ya Marekani ya torpedo, ilipokuwa ikisafiri katika maji ya...
Kumekuwepo na propaganda nyingi sana Jamii forums
1. Serikali ya Iran haipendwi
2. Viongozi wamejificha kwa kuogopa USA.
3. Hakuna air defense wala chochote cha kulinda nchi dhidi ya mashambulizi.
4. Uongozi sio tu umeparaganyika bali haupo kabisa na wachache waliobaki wamekimbia nchi au...
HAPA KATI MH TRUMP ALISEMA BAADA YA IRAN KITUO KINACHOFWATA
CUBA
SASA RAIS MIGUEL KAONA ISIWE TABUU
HERI...NUSI SHARI KULIKO SHARI ZIMA
KITUO KINACHOFWATA KIMEGOMA
UNAHISI NANI ANAFWATA ??CUBA KACHOMOA BETRI
"""
Rais wa Cuba, Miguel Díaz-Canel, ametoa tangazo la kushtua kupitia televisheni ya...
Walijikusanya wote pamoja na kuanza kuandamana huku wakilaani Marekani na Israel na kule kubwatuka kwao akbar akbar, ghafla kukalipuka mlipuko wakapoteana.... hawa hawajifunzi kwamba Myahudi ni mtu alianza mavita vita hata kabla hizi dini hazijabuniwa.
Na mnapotishia kumfuta kwenye uso wa dunia...
Hotuba yake imesomwa kwenye vyombo vya habari na haya ndiyo yaliyojiri:-
Kiongozi Mkuu mpya wa Iran amezungumza sasa hivi, na ni mbaya zaidi kuliko nilivyotarajia. Kauli kuu:
1.“Vituo vyote vya Marekani vinapaswa kufungwa mara moja katika eneo hilo, vituo hivyo vitashambuliwa”
2.“Tutapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.