iran

  1. britanicca

    JamiiForums Tanzania Graham Aitaka Udhibiti Kamili wa Hormuz, Akataa Mkataba Wowote na Iran

    Seneta Lindsey Graham alisifu vizuizi hivyo kwa kuidhoofisha uchumi wa Iran na akataja mashambulizi ya IRGC dhidi ya meli kuwa ishara ya kukata tamaa. Alimtaka Rais Trump achukue udhibiti wa Mlango-Bahari wa Hormuz na kuendeleza vizuizi hivyo, huku akikataa mkataba wowote unaoruhusu Iran...
  2. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Iran viongozi wameuliwa, miundombinu imelipuliwa na kupata hasara ya 700Trilion, ila hawajasusia maridhiano na US. CHADEMA tusigomee maridhiano

    Mimi ni Chadema pure kabisa, katika watu top 5 waliohamasisha MO29, hapa jamii forum na Mimi nimo. Nimekaa nkatafakari je tutasongaje bila kukaa meza moja?? je tukisusia maridhiano ajenda zetu tutazipataje? Mbona Raila aliridhiana na Kibaki Akaridhiana na Kenyatta,the same to Ruto. Je Raila...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Msala wetu na Iran bado haujaisha-Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu!!

    Jitihada za Marekani na Israeli dhidi ya Iran "hazijaisha bado," anasema Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu katika hotuba yake pamoja na Rais wa Argentina Javier Milei. "Wakati wowote unaweza kutuletea maendeleo mapya," anasema Netanyahu. "Nani anajua kesho au keshokutwa italeta nini." Netanyahu...
  4. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Iran war, the most powerful business empire in the world was built under sanctions

    IRAN WAR - THE MOST POWERFUL BUSINESS EMPIRE IN THE WORLD WAS BUILT UNDER SANCTIONS (You'll love reading this, don't miss it.) In 1979, a revolution happened in Iran. The new government needed a military force it could trust completely. Not the existing army, those soldiers had sworn loyalty...
  5. britanicca

    JamiiForums Tanzania Trump: Iran Imevunja masharti ya Vita kwa Shambulio Hormuz, Yaonya Kuhusu Kuongezeka kwa Mapigano

    Rais Donald Trump amesema hatua za Iran katika Mlango-Bahari wa Hormuz ni 'ukiukaji kamili' wa usitishaji vita, akiongeza kuwa wajumbe wa Marekani wanaelekea Pakistan kwa mazungumzo na kuonya kwamba ikiwa Iran itakataa makubaliano, Marekani itaongeza mashambulizi kwenye miundombinu muhimu."...
  6. britanicca

    JamiiForums Tanzania Vita Vipya Mbele? Ishara Zaonyesha Kuongezeka Kwa Mapigano, IRAN WALALAMIKA

    Ndege ya Wing of Zion iliondoka Nevatim, na kuzua uvumi wa mapigano mapya. Ripoti za Iran zinadai Tehran imepokea taarifa za kijasusi kuhusu shambulio la kushtukiza la Marekani na Israel baada ya Siku ya Uhuru. Rais wa Iran asema nchi hiyo haitaachana na haki zake za nyuklia licha ya shinikizo...
  7. R

    JamiiForums Tanzania NIULIZE SWALI: Hii vita ya USA, Israel vs Iran, nani mshindi?

    Mbabe ni nani? Naona kama vile Iran anawapelekesha puta hawa magwiji wa kila kitu duniani! WHO IS THE WINNER Echolima1
  8. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Iran kuanza ishambulia Marekani hasa katika majiji yake ya New York na Las Vegas?

    Naona haijaanza kutumia yale makombora yake ya masafa marefu mpaka sasa. Inasubiri nini? Marekani imeharibu sana Iran. Iran ya sasa inatembea kwa magongo, inachechemea. Siyo Iran ya miezi 10 iliyopita. Mambo yameharibika sana kijeshi. Sasa nawaza je huu si wakati muafaka wa kuishambulia...
  9. britanicca

    JamiiForums Tanzania Iran wanaweza juta kwa hili maana mapato yao yanategemea meli kutoka na kuingia kupitia hormuz, Marekani wataufunga tena

    kuna ripoti mpya leo kuhusu matukio ya risasi katika Mlango-Bahari wa Hormuz yakihusisha meli za kibiashara. kinachoripotiwa – Aprili 18, 2026: 1. Risasi zilizopigwa kwenye meli ya mafuta karibu na Oman Shirika la UK Maritime Trade Operations (UKMTO) lilisema meli ya mafuta ilikaribiwa maili...
  10. 5

    JamiiForums Tanzania BBC: Meli zashambuliwa Hormuz, nyengine zageuza baada ya onyo la Iran

    Inaonekana US hawako tayari kwa maridhiano, mlango ulifunguliwa rasmi lakin US wakaendelea kupaki meli zao huko bahari kuu sasa umefungwa tena rasmi.
  11. Ritz

    JamiiForums Tanzania Iran Yamkemea Trump Vikali

    Wanaukumbi. 🇮🇷 IRAN IMEMKEMEA TRUMP KWA UKALI "Tangu vita hivi vianze, dunia imezama katika uvumi na kauli za kipuuzi. Viongozi huzungumza kwa uhuru, wengine kwa ukweli, wengine bila. Tuweke sawa hili, uranium ya Iran ni mali ya Iran. Ni jukumu letu, nishati yetu, haki yetu ya uhuru. Sababu...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa Iran atoa statement nzito kwa dunia

    Wanatuita magaidi, lakini wao ndio magaidi halisi. Wanachinja mtu yeyote, popote, wakati wowote wanapotaka, na kisha wanazungumzia haki za binadamu. Aibu kwao." Rais wa Iran
  13. M

    JamiiForums Tanzania Iran imetufunza jambo kama taifa

    Kwamba umoja, mshikamano na kujipanga kiteknojia na kijeshi ni jambo muhimu sana. Wananchi kukataa Propaganda za wanaharakati na nchi za magharibi ndio msingi wa uzalendo. Tujifunze kwamba sote ni binaadam, hakuna mwenye nguvu wala mdogo, umoja na mshikamano hakuna lisilowezekana
  14. MALCOM LUMUMBA

    JamiiForums Tanzania Hakuna jipya chini ya jua: Kinachomkuta Maekani nchini Iran kiliwahi wakuta watangulizi wake

    Huwa nalipenda sana somo la historia. 1. Ukisoma historia kwa kina utafahamu ukweli kwamba hakuna jipya chini ya jua. 2. Yote unayoyafanya yalishafanywa na wenzako huko nyuma. 3. Wewe unachofanya ni kujenga juu ya msingi wa mwingine tu. 4. Wanaoamini kwamba historia ina vitu vipya ni...
  15. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Requests World Bank Funds To Cushion Iran War Shock

    Kenya has requested rapid financial support from the World Bank to help it manage the shocks from the war in Iran, its central bank governor ‌told Reuters on Thursday. Like other nations that are heavily reliant on energy imports, the East African country is scrambling to stave off shortages of...
  16. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu atoa neno kuhusu Iran na Lebanon

    Kauli ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuhusu Lebanon na Iran. "Tuna fursa ya kuunda makubaliano ya kihistoria ya amani na Lebanon. Rais Trump anakusudia kunialika mimi na Rais wa Lebanon ili kujaribu kuendeleza makubaliano haya. Fursa hii ipo kwa sababu, tangu 'Vita vya Ukombozi,'...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Netanyahu anaendelea kutambea mitaani lakini viongozi wa Iran wanajificha sana tofauti na wanavyoongea mbele ya maiki hawaogopi kufa ?

    Hadi sasa kumuona kiongozi wa Iran, Mojtaba Khamenei, Imekuwa ni ngumu sana, yupo mafichoni. Baada ya baba yake kuuawa kwenye mashambulizi ya Marekani na Israel, Amekuwa kama ninja wa gizani, hajaonekana hadharani tangu achukue madaraka, Mahali alipo hata haijulikani wazi Netanyahu anaendelea...
  18. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE Viral video claiming missile strike on Iranian leader’s residence

  19. M

    JamiiForums Tanzania Baadaya Trump kuwasaidia Iran kufunga njia, Marekani ndie msambazaji mkubwa wa mafuta duniani, Hakuna tozo ya kuingia wala hofu ya kulipuliwa na Iran

    https://truthsocial.com/@realDonaldTrump/posts/116384077225474834 Trump ameichapisha mwenyewe. Ramani inaonyesha wazi. Meli kubwa za mafuta Supertanker tupu (VLCC), kila moja ikiwa na uwezo wa kubeba mapipa milioni 2 ya mafuta, sasa hivi zinakimbilia Pwani ya Ghuba ya Marekani. Hormuz...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Trump alazimisha mazungumzo na Iran

    Kwa mara ya kwanza tangu ktk historia Rais wa Marekani amekuwa akiongea kila dakika. Leo anazungumza hivi kesho hivi. Leo ameomba mazungumzo tena na Iran
Back
Top Bottom