iran

  1. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Korea Kaskazini na Israel Vita ya Iran na Marekani

    https://youtu.be/wu3ckYK_5Lo?si=A_gsYUQXj2EmpFdT
  2. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania The islamic republic of Iran is completely collapsing!

    inflation au mfumuko wa bei 300% vs tanzagiza 4.2%, fedha ya iran rial totally collapsed ...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Rais wa Iran Kaanza kudoda ataka vita visimame!!!

    Rais wa Iran: Ni wakati wa kukomesha vita na Marekani huku Tehran ‘ikiwa katika nafasi ya kushinda vita!!’ Mwanamke anapita kwenye bango la kukaribisha lenye Rais wa Iran Masoud Pezeshkian kando ya barabara huko Islamabad, Pakistan, Jumanne, Juni 23, 2026. (Picha ya AP/Anjum Naveed) Rais wa Iran...
  4. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Iran Ikipigwa Nuclear Israel Nayo Haitabakia Salama

    https://youtu.be/4YyvrbX5M2E?si=vnZtckww3BwohwpF
  5. I

    JamiiForums Tanzania Iran ngoma inazidi kuwa nzito wakati vikwazo vikianza kuuma.

    Mauzo ya mafuta ya Iran kwenda China yaporomoka kutokana na shinikizo la Marekani. Wakati shinikizo la kiuchumi la Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran likiendelea kuongezeka, usambazaji wa mafuta ghafi ya Iran kwa wanunuzi wa China umepungua kwa kiasi kikubwa huku bei zikipanda; hali...
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Serikali na Lissu ni kama vita vya Marekani na Iran

    Hii kesi ya Serikali na Lissu inafanana sana na vita vya Marekani vilivyovianzishwa na Trump dhidi ya Iran. Marekani ni superpower kijeshi na anatumia silaha kubwa sana na assets za kila aina kumpiga Iran ila Iran bado imekeza tu japo inaumia haswa kweli. Marekani ina uwezo mkubwa wa kijeshi na...
  7. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Trump: We're winning big with Iran

    Trump: "Tunashinda sana dhidi ya Iran." Lakini ndani ya saa 24 — Marekani yapoteza 25% ya ndege zake za Reaper, meli ya Lincoln yarudi baada ya siku 266, Iran yasisitiza Hormuz ni yake. Ushindi si sawa na kumaliza vita. Audio2_Hasara
  8. I

    JamiiForums Tanzania Israel ilivyomuokoa Trump mikononi mwa mahasimu wao wa Iran ambapo Trump alikuwa auwawe

    Israel iliionya Marekani kuhusu mipango ya Iran ya kumuua Trump kwenye Air Force One, ilisaidia kutoroka kwake. Kulingana na ripoti hiyo, kufuatia tishio hilo, Trump awali alipanda, mbele ya vyombo vya habari, ndege ambayo hapo awali ilikuwa Air Force One...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Iran yatumia video ya zamani ya Kiongoozi Mkuu Mojtaba Khamenei kuaminisha umma yuko hai

    Iran imetoa video ya zamani ya Kiongozi Mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei akiwa hai, baada ya taarifa zinazodai kuwa alijeruhiwa vibaya katika shambulio la Marekani na Israel. Iran imeripoti siku ya Jumapili kwamba Mojtaba amekutana na rais wa Iran Masoud Pezeshkian, ambae anaanza mwaka wake wa...
  10. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Iran imeshambulia nchi zote isipokuwa Israel je wajua kwa nini?- Benjamin Netanyahu

    Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu alitoa maoni katika ufunguzi wa mkutano wa serikali leo. Maelezo Muhimu: Hakika umegundua jambo la kuvutia: Iran inashambulia nchi zote katika eneo hilo, na hata nje ya eneo hilo, lakini kuna nchi moja ambayo haishambulii - Nchi ya Israeli Kwa sababu...
  11. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wanyonge wa Iran( Waarabu ) hatimaye wapatiwa silaha za kujilinda dhidi ya Iran

    Marekani imeidhinisha uuzaji wa makombora 5,250 ya Patriot na THAAD kwa Bahrain, Kuwait, Qatar na Falme za Kiarabu kama sehemu ya juhudi kubwa ya kujaza akiba ya ulinzi wa anga wa Ghuba. Hatua hii inafuatia matumizi makubwa ya vizuizi vya makombora ili kukabiliana na mashambulizi ya makombora...
  12. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel iko tayari kuishambulia Iran kivyake bila msaada wa yeyote!!!

    Inaripotiwa kwamba Israeli imeifahamisha Marekani kwamba iko tayari kuishambulia Iran yenyewe ikiwa ni lazima maana nia wanayo,Uwezo pia wanao wa kuitia adabu Iran Taifa la Israel lina haki na uwezo wa kujilinda kutokana na uchokozi wa Iran. Wakati wowote Magaidi wa Iran wataanza kupigika...
  13. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Kipindi Maalum IBN TV

    Mzee Mohamed Said anaielezea Marekani kama taifa lililopoteza nguvu zake na kushindwa vibaya katika mzozo wa sasa: "Irani imedhibitishia dunia kuwa hawa Marekani ni chui wa karatasi". "Marekani ameishiwa nguvu huwa ameishiwa silaha kipigo alichopata katika zile vituo vyake vemweka katika hali...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ofisa wa CIA apendekeza Marekani ishirikiane na Al Qaeda na ISIS kuiangusha Iran

    Sina maelezo mengi, video yenyewe inajitosheleza
  15. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Mungu Apitishie Mbali Vita Vya Nuclear

    Kuhusu Kudhoofika kwa Nguvu za Marekani na Israel Mohamed Said anaeleza kuwa Marekani imepoteza nguvu zake za kijeshi dhidi ya Iran kiasi cha kulinganishwa na "chui wa karatasi": "...tunavyodhani kuwa ni nguvu za Israeli ni nguvu za Marekani umekija kujulikana kuwa hawa wakitumia sana...
  16. zitto junior

    JamiiForums Tanzania Baada ya MOSSAD kufeli huko Iran, viongozi waandamizi wafukuzwa kazi

    Mkurugenzi wa Mossad, Roman Gofman, amewaondoa maafisa wawili waandamizi wa shirika la ujasusi ambao walihusika kwa karibu katika kutengeneza mpango usiofanikiwa wa kuangusha utawala wa Iran, televisheni ya Israeli iliripoti Alhamisi. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Israel, mmoja wa maafisa...
  17. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa kigaidi wa Iran huko Mashariki ya kati!!

    Iran haikujenga himaya yake ya uwakilishi usiku kucha. Ilitumia miongo kadhaa ikifanya hivyo huku sehemu kubwa ya nchi za Magharibi zikiangalia upande mwingine. Huku serikali za Magharibi zikizingatia mijadala ya kisiasa na kitamaduni ya ndani, Iran iliwapa silaha Hezbollah, Hamas, Houthi...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Trump: Tunaendelea na Mazungumzo mazuri na Iran

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema utawala wake umefanya mazungumzo "mazuri sana" na Iran katika mazungumzo ya siku nzima yaliyofanyika Jana Agosti 2,2026, jambo lililoongeza matumaini kwamba mzozo uliodumu kwa miezi mitano unaweza kufikia mwisho hivi karibuni. Trump amekuwa akitoa vitisho...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Hatimae makubaliano kati ya Iran na Oman kuhusu mlango wa bahari wa Hormuz yafanyika

    Iran na Oman zinaripotiwa kukaribia kufikia makubaliano mapya ya kuruhusu usafiri wa meli kurejea katika Mlango-Bahari wa Hormuz, huku nchi hizo mbili zikitarajiwa kugawana udhibiti wa njia za kupita pamoja na mapato yatakayokusanywa kupitia kile kinachoelezwa kuwa “ada za huduma.” Kwa mujibu...
  20. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Iran Taifa la Mashahidi na Mashujaa

    https://youtu.be/2AJc0jjjz9k?si=IBOQqohMS8pQIGn9
Back
Top Bottom