iran

  1. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kuna kila dalili za mataifa ya ulaya, Korea ya kusini na Japan kuingilia mzozo wa Iran

    Kulingana na duru mbalimbali za kisiasa na mizozo ya kimataifa kuna kila namna ya mataifa ya ulaya na Asia hasa Japan na Korea ya kusini kuingilia mzozo wa mashariki ya kati kuhusu usafiri wa mfereji wa Homuiz. Leo Korea imetoa taarifa inayoashiria kuwepo kwa mipango hiyo. Soon or never
  2. MALCOM LUMUMBA

    JamiiForums Tanzania Marekani yashambuliwa na Jeshi la Wanamaji la Iran ambalo inadaiwa liliangamizwa

    Salaaam! Itachukua muda mrefu mno kuwaelewesha MADUNYA na MABAZAZI huu msemo wa kiingereza usemao kwamba "The First Victim of War is the Truth". Mhanga wa kwanza wa vita siyo mtu, bali ukweli. Vita hutawaliwa na hisia, propaganda, vitisho na woga wa kila namna. Usipokuwa makini unaweza ukabebwa...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania United Arab Emirates imesema kuwa inaendelea kukamata makombora na ndege zisizo na rubani kutoka Iran

    United Arab Emirates imesema mifumo yake ya ulinzi wa anga ilikabiliana na makombora 12 ya balistiki, makombora 3 ya cruise na ndege 4 zisizo na rubani zilizorushwa kutoka Iran siku ya Jumatatu. Mashambulizi hayo yalisababisha watu watatu kupata majeraha ya wastani, kwa mujibu wa Wizara ya...
  4. U

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Marekani yazamisha boti sita za Iran

    US Central Command imethibitisha Jumatatu kuwa majeshi ya Marekani yamezamisha boti za Iran na kukamata makombora pamoja na ndege zisizo na rubani wakati wa operesheni za “Project Freedom” katika Strait of Hormuz. Hii inaashiria tukio la kwanza lililothibitishwa la mapambano ya moja kwa moja...
  5. U

    JamiiForums Tanzania Iran YAISHAMBULIA kwa makombora Umoja wa Falme za Kiarabu muda huu

    Yanayojiri yanatisha. Iran launches four cruise missiles at the UAE. The United Arab Emirates reported that four cruise missiles were launched from Iran toward its territory-three were intercepted and one fell into the sea.
  6. Ritz

    JamiiForums Tanzania Trump lazima achague vita 'visivyowezekana' au 'mpango mbaya' na Iran, yasema IRGC

    Wanaukumbi. Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Iran (IRGC) kilisema Jumapili kwamba Rais wa Marekani Donald Trump lazima achague kati ya vita "visivyowezekana" au "mkataba mbaya" na Iran. Katika chapisho kwenye kampuni ya mitandao ya kijamii ya Marekani X, idara ya ujasusi ya IRGC...
  7. Ritz

    JamiiForums Tanzania Iran: Nchi 6 za Kiarabu zinatakiwa kutulipa fidia

    Wanaukumbi. 🇮🇷🇺🇳 Iran kwa Umoja wa Mataifa: Nchi 6 za Kiarabu Zinadaiwa Kutulipa Nchi SITA za Kiarabu: Bahrain 🇧🇭 Jordan 🇯🇴 Kuwait 🇰🇼 Qatar 🇶🇦 Saudi Arabia 🇸🇦 UAE 🇦🇪 Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa wa Iran Saeed Iravani amejibu rasmi barua kutoka kwa mataifa sita ya Kiarabu, akidai kuchukua...
  8. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Vita tutakayoianza na Iran itakuwa kubwa kuliko iliyoisha-Maafisa wa IDF

    Vita vya hivi karibuni vitakuwa 'shida moja kubwa' ikiwa uranium iliyosafishwa ya Iran haitaondolewa kwenye mikono ya magaidi hao— afisa wa IDF alisema. Afisa wa jeshi la Israeli anasema kwamba ikiwa akiba ya zaidi ya kilo 400 za uranium iliyosafishwa hadi 60% haitaondolewa kutoka Jamhuri ya...
  9. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Iran yaumizwa na Total-Blockade ya Marekani yaomba mazungumzo!!

    Shirika la habari la serikali IRNA latangaza jana kwamba Iran ilituma pendekezo lake la hivi karibuni la mazungumzo na Marekani kupitia wapatanishi wa Pakistani. Hii inakuja baaba ya mzingiro wa mlango bahari wa Hormuz kuanza kuumiza uchumi wa Iran!!
  10. Sheffer95

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumejifunza nini kwenye vita ya Iran na Israel

    Mvua inaweza ibwa kwa njia ya teknolojia
  11. 5

    JamiiForums Tanzania Marekani kujenga upya hifadhi yake ya Silaha Mashariki ya Kati baada vita na Iran

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegsett ametangaza katika mkutano na wajumbe wa Congress kwamba kujenga upya hifadhi za silaha za Marekani, ambazo zimepungua kufuatia vita na Iran na migogoro mingine ya kijeshi katika miaka ya hivi karibuni, inaweza kuchukua "miezi hadi miaka," kulingana na...
  12. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa Israel wazidi kupaa licha ya Vita vyake na Iran

    Habari mbaya kwa mashabiki wa Magaidi duniani kote hasa kwa Waarabu-Koko wa Bonyokwa akiwema zitto junior na Mzee wa UHARO Ritz. Licha ya vita na Iran vilivyoanza Februari 2026 na mgogoro unaoendelea tangu Oktoba 2023, uchumi wa Israeli na masoko ya fedha yanastawi na kuonyesha ustahimilivu wa...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Hakuwepo jambo la kifahari na ni aibu kubwa kwa mataifa makubwa ya Marekani na Israel kumuua kiongozi mkuu wa kidini wa Iran akiwa na miaka 86

    Mnamo FEBRUARI 28,2026 Mzee wetu mwenye hekima Ayatollah Ali Khamenei akiwa na umri wa miaka 86 tayari akiwa ameshiba siku akisubiri muda wake kwa amri ya Mungu wake aliuawa. Uamuzi wa kumuua katika umri huo haukuwa ushujaa bali ni ukatili na aibu kubwa kwa majeshi yenye nguvu kama...
  14. Ritz

    JamiiForums Tanzania Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anasema Iran inaidhalilisha Marekani

    Wanaukumbi. ⚡️Germany's Merz on Iran: The U.S. and Israel assumed at the very beginning that this problem could be solved within a few days. But today we must acknowledge: it has not been solved. That is why we, from the European side, are also seeking a diplomatic solution. I hope that we...
  15. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Iran Abbas Araghchi akutana na Putin.

    Leo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi alikutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin huko St. Petersburg kujadili kuongeza uratibu kati ya nchi hizo mbili, kwani mataifa yote mawili sasa yamepeana ndege zisizo na rubani, hasa ndege zisizo na rubani za Shahed-pattern, na ujasusi katika...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Chancellor wa Ujerumani awalipua USA,asema Taifa la USA limedhalilishwa na Iran kwenye vita na Trump na uongozi wake wamekosa mipango

    Taifa zima la marekani limedhalilishwa na uongozi wa Iran tena haswa hao wanaoitwa Irgcc.:-Chancellor Merz -Wa Iran wananguvu ambayo haikutarajiwa na waMarekani hawana mipango ya kweli ya kushawishi hata kwenye negotiations. -Kwahali ya sasa sioni marekani kama wana mipango au maono ya...
  17. Ritz

    JamiiForums Tanzania Iran wamesema hawataruhusu tena usafirishaji wa bure kupita katika Mlango-Bahari wa Hormuz

    Wanaukumbi. 🇮🇷🇺🇸 Iran yakataa kuruhusu usafirishaji wa bure katika Mlango wa Hormuz, EVER Naibu Spika wa Bunge la Iran: "Hatutarudisha Mlango wa Hormuz katika hali yake ya awali kwa hali yoyote ile kwa sababu huu ndio uamuzi wa Kiongozi wa Mapinduzi." Chanzo: Habari za Tasnim ===============...
  18. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Iran imejichokea kupitiliza

    Heshima sana wanajamvi. Si kawaida yangu kuchangia jukwaa hili lakini leo imenibidi nishiriki japo kwa uchache. Iran ya Ayatollah ya mwaka 1979 hadi mwaka 2025 imeharibiwa vibaya mno. Iran iliyoweza kumudu kuishi na vikwazo kwa muda mrefu sana kiasi miaka 47 sasa imefikia tamati. Vita ya Iran...
  19. figganigga

    JamiiForums Tanzania John Heche: Huyu Mama alitoa ndege iendea Dubai kuwaokoa ndugu zake dhidi ya Mabomu ya Iran si Watanzania

    Salaam, Leo Makamu Mwenyekiti akiwa kwenye Mkutano wa Ndani ya chama huko Kibamba Shule Dar Es Salaam, amesema Huyu mama anayeongoza Nchi, alitoa ndege ifuate ndugu zake na Familia yake huko Dubai kwa gia ya kwamba wanawafuata Watanzania Wasidhuriwe na Mabomu ya Iran. Kama alitoa ndege...
  20. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa Matokeo Ubaoni Vita ya Iran Vs Israel

    Kwa hali ya sasa ya vita kati ya Iran na Israel (na pia kuhusisha Marekani), ukweli ni huu: 1. Iran ndiyo imeathirika zaidi (kwa kiwango kikubwa) Vifo na majeruhi ni wengi zaidi Iran Miundombinu muhimu (kama mafuta, gesi, na kijeshi) imeharibiwa vibaya Uchumi umeanguka: Sarafu kushuka Ajira...
Back
Top Bottom