iran

  1. X

    JamiiForums Tanzania Marekani imechapika hapo M.E mpaka Maafisa wa Marekani wanashuku kuwa China au Urusi huenda wanasaidia Iran

    Iran yazidi kuimarisha uwezo wa makombora, ikiweka changamoto mpya kwa mifumo ya ulinzi ya Marekani. Iran imeboresha makombora yake ya ballastic missiles kwa kuongeza uwezo wa mambo mawili muhimu: Kasi kubwa (High Speed) Makombora yanapokaribia shabaha yanaweza kufikia kasi kubwa sana...
  2. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania THE ASSOCIATED PRESS: US military says 2 troops are dead and 1 is missing after Iran attacks a base in Jordan

    DUBAI, United Arab Emirates (AP) — The U.S. military on Saturday announced its first troop deaths due to direct Iranian fire since the opening days of the war, with two killed and another missing in an attack on a base in Jordan after days of intensifying exchanges of fire. Friday’s drone and...
  3. dronedrake

    JamiiForums Tanzania CENTCOM imekiri kuuliwa kwa baadhi ya wanajeshi wa kimarekani kadhaa nchini Jordan baada ya mashambulizi ya makombora balistiki ya Iran usiku wa Jana

    Wanajeshi wawili waliokuwa wanatumikia jeshi la Marekani chini Jordan, wameuwawa kwa makombora ya balistiki ya Iran yaliyovurumishwa usiku wa jana kwenye kambi kadhaa za Marekani Mmoja wa wanajeshi hao haonekani alipo mpaka muda huu Ikumbukwe, jeshi la ulinzi la Jordan ilisema lilifanikiwa...
  4. bless on

    JamiiForums Tanzania Kashfa ya Mafuta Iran: Mossadegh na CIA

    Zamani, mafuta yote ya Iran yalikuwa mikononi mwa kampuni ya Waingereza Leo inaitwa BP. Waingereza walikuwa wanachukua faida kubwa, huku Wairani wenyewe wakiambulia patashika na umaskini. Mwaka 1951, akatokea mshua mmoja anaitwa Mohammad Mossadegh, akachaguliwa kuwa Waziri Mkuu. Huyu mzee...
  5. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania Israel Inatisha, Inaogopesha. Wairan Watoa Ya Moyoni Kwa Nini Israel Inaogopwa Sana na Iran

    Baada ya Watu wengi kuhoji uoga wa Iran kuigusa Israel, wairan walipo ndani ya Iran wale ambao hawataki tawala ya Hawa mamullah wametoa ya moyoni. Wanasema Marekani hata ashambulie vipi bado hawaoni kama vita imerudi, wanaamini na wanatamani Israel iingie kati sababu Israel huwa hawana utani...
  6. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mlango Bahari wa Hormuz ukiwa chini ya Majeshi ya Marekani. Iran mabaki kubwabwaja tu.!!

    Wakati Magaidi wa Iran wakibwabwaja Mlango wa Bahari wa Hormuz uko mikononi mwa majeshi ya Marekani
  7. A

    JamiiForums Tanzania Iran intercontinental ballistic missile kupiga USA

    Iran itaishambulia America kwenye ardhi yake very soon kwa kutumia ICBM vitu vinasubiri amri mpaa USA aseme maji uji
  8. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limedai kufanya mashambulizi ya pamoja kwa kutumia makombora na ndege zisizo na rubani (drones) dhidi ya rada ya mfumo wa ulinzi wa C-RAM katika Kambi ya Ali Al Salem nchini Kuwait, pamoja na eneo lililodaiwa kuwa mahali pa mkusanyiko wa...
  9. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Iran: Kwa Ukubwa wa Nchi Yetu Tunaweza Kuhimili shambulio La Nyuklia na Kusimama Tena, Israel Ndogo Itasambaratika. Waamue Wasuke au Wanyoe

    Iran imesema endapo itashambuliwa na silaha za Nyuklia watajibu Kwa Ukubwa sana na hawataangalia fatwa inayowakataza kutumia silaha za maangamizi ya binadamu Kwa kushambulia vinu vya Nyuklia vya Israel ambavyo vitaleta maafa kwenye Nchi hiyo ndogo tofauti na wao ambapo wataathirika lakini Ukubwa...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Iran Kwanini Hapigi Israel

    Kuna wajinga wengi wanauliza kwanini Iran haipigi Israel anapiga Gulf states na nchi kama Jordan na Syria pamoja na Iraq. Ukweli Iran target yake ni kuitwanga Israel lakini kumbukeni hizo nchi ndio walinzi wa kwanza wa Israel kuna nchi zilikuwa zinangusha drones, Missiles za Iran zinawapa...
  11. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Kumekucha, Netanyahu threatens to nuke Iran this time!

    Msikilize mwenyewe Netanyahu, anasema this time there will be no next time ... Benjamin Netanyahu has now publicly threatened to use nuclear weapons against Iran while speaking in Dimona, near Israel's main nuclear research facility, where the country maintains an undeclared nuclear weapons...
  12. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Iran sasa hivi anapigwa Kama Ngoma na Majeshi ya Marekani!!

    Majeshi ya Marekani sasa hivi yanajipigia tu pale yanapotaka huko Iran. Safari hii ni zamu ya Miundombinu ya madaraja na minara ya Mawasiliano!!! Iran nayo hawa hiki kubwabwaja ovyo na vitisho visivyo na tija!!! Sambamba na kauli za Rais wa Marekani Donald Trump mapema wiki hii, Jeshi la Anga...
  13. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania Marekani Waleta Maafa Iran, Waanza Kuvunja Madaraja na Miundombinu Mingine. Iran Hali Ni Mbaya Sana

    Marekani wameanza kushambulia Miundombinu ndani ya Iran. Hali ni mbaya sana, Iran imeshindwa kutoa upinzani wowote. Marekani wanajipiga popote wanapotaka bila presha. Kwa muda mrefu Trump alikua akitishia kuvunja Miundombinu, hatimaye ameanza na baadhi tu kama mfano kiwaonyesha Iran kuwa ana...
  14. upupu255

    JamiiForums Tanzania FALSE U.S. forces struck the main headquarters of the IRGC-affiliated Safar Allah forces in Tehran

  15. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Marekani Yamnyanyasa Mwandishi wa Habari Raia wa USA Aliyekuwa anaripoti Habari za Matukio ya Vita Iran

    My Take Tulikubaliana kwamba Nchi Zenye Demokrasia na Katiba Mpya Huwa hazinyanyasi watu wakiwemo waandishi wa habari na kwamba huko mambo ni saaaafi kabisa ,hii vipi tena wajameni? 😂😂😂😂 Chadomo mpo? Mkileta ukibaraka mshughulikiwe bila huruma...
  16. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Marekani: Tunaomba Nchi Zingine Tuungane Kuivunjilia mbali Mahakama ya ICC Kisa Wanataka Kuficha Uhalifu waliyofanya Gaza na Sasa Iran.

    My Take Chadomo wakiona hii watalia sana 😂😂😂👇👇 https://www.instagram.com/p/DaxHrfqjpeU/?igsh=NWJ5N2JkY256ajlq
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Inaonyesha mivutano ya iran na USA tunaweza kuwa laumu ila wote wanatumiwa na watu ambao kila nchi kujiweka kama sio yeye

    Ukiangalia migogoro ya iran na USA ni kama hawa watu wamekuwa mwana seserere wa nchi zilizopo karibu na iran. Na mpaka sasa unaweza kujiuliza wao kama wanafanya biashara kwa nini watumie nchi nyengine mfano iran anavyo fanya na nchi za nyengine kumtumia USA kuwapiga.
  18. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Video ya moto kuhusu makao makuu ya IRGC nchini Iran

  19. I

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kiongozi mkuu mpya Alireza Arafi wa Iran ameuawa

    Kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa zinazosema kiongozi mkuu mpya wa Iran Bwana Alireza Arafi ameuwawa. Ngoja tusubiri tuone kama itakuwa ni kweli.
  20. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Rais wa zamani wa Iran Mahmoud Ahmadinejad ana Mawasiliano na Mossad ya Israel!!

    HABARI MPYA: Mossad ilijaribu kumgeuza mmoja wa maadui wakubwa wa Israeli kuwa mali yake kubwa zaidi. Kulingana na New York Times, Israeli ilitumia miaka mingi kujaribu kumsajili Rais wa zamani wa Iran Mahmoud Ahmadinejad kama mali ya kijasusi, ikiwa na mpango wa kusaidia kuangusha utawala wa...
Back
Top Bottom