iran

  1. Ritz

    JamiiForums Tanzania Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anasema Iran inaidhalilisha Marekani

    Wanaukumbi. ⚡️Germany's Merz on Iran: The U.S. and Israel assumed at the very beginning that this problem could be solved within a few days. But today we must acknowledge: it has not been solved. That is why we, from the European side, are also seeking a diplomatic solution. I hope that we...
  2. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Iran Abbas Araghchi akutana na Putin.

    Leo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi alikutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin huko St. Petersburg kujadili kuongeza uratibu kati ya nchi hizo mbili, kwani mataifa yote mawili sasa yamepeana ndege zisizo na rubani, hasa ndege zisizo na rubani za Shahed-pattern, na ujasusi katika...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Chancellor wa Ujerumani awalipua USA,asema Taifa la USA limedhalilishwa na Iran kwenye vita na Trump na uongozi wake wamekosa mipango

    Taifa zima la marekani limedhalilishwa na uongozi wa Iran tena haswa hao wanaoitwa Irgcc.:-Chancellor Merz -Wa Iran wananguvu ambayo haikutarajiwa na waMarekani hawana mipango ya kweli ya kushawishi hata kwenye negotiations. -Kwahali ya sasa sioni marekani kama wana mipango au maono ya...
  4. Ritz

    JamiiForums Tanzania Iran wamesema hawataruhusu tena usafirishaji wa bure kupita katika Mlango-Bahari wa Hormuz

    Wanaukumbi. 🇮🇷🇺🇸 Iran yakataa kuruhusu usafirishaji wa bure katika Mlango wa Hormuz, EVER Naibu Spika wa Bunge la Iran: "Hatutarudisha Mlango wa Hormuz katika hali yake ya awali kwa hali yoyote ile kwa sababu huu ndio uamuzi wa Kiongozi wa Mapinduzi." Chanzo: Habari za Tasnim ===============...
  5. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Iran imejichokea kupitiliza

    Heshima sana wanajamvi. Si kawaida yangu kuchangia jukwaa hili lakini leo imenibidi nishiriki japo kwa uchache. Iran ya Ayatollah ya mwaka 1979 hadi mwaka 2025 imeharibiwa vibaya mno. Iran iliyoweza kumudu kuishi na vikwazo kwa muda mrefu sana kiasi miaka 47 sasa imefikia tamati. Vita ya Iran...
  6. figganigga

    JamiiForums Tanzania John Heche: Huyu Mama alitoa ndege iendea Dubai kuwaokoa ndugu zake dhidi ya Mabomu ya Iran si Watanzania

    Salaam, Leo Makamu Mwenyekiti akiwa kwenye Mkutano wa Ndani ya chama huko Kibamba Shule Dar Es Salaam, amesema Huyu mama anayeongoza Nchi, alitoa ndege ifuate ndugu zake na Familia yake huko Dubai kwa gia ya kwamba wanawafuata Watanzania Wasidhuriwe na Mabomu ya Iran. Kama alitoa ndege...
  7. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa Matokeo Ubaoni Vita ya Iran Vs Israel

    Kwa hali ya sasa ya vita kati ya Iran na Israel (na pia kuhusisha Marekani), ukweli ni huu: 1. Iran ndiyo imeathirika zaidi (kwa kiwango kikubwa) Vifo na majeruhi ni wengi zaidi Iran Miundombinu muhimu (kama mafuta, gesi, na kijeshi) imeharibiwa vibaya Uchumi umeanguka: Sarafu kushuka Ajira...
  8. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Ahadi ya Iran haijaweza timizwa mpaka sasa. Nini kinawachelewesha?

    Iran hoiiiiiiiii..... Ritz alikuwa anakuja na vinyuzi vyake uchwara... Mara imepandisha bendeera nyekundu, mara imesema itaifuta Israel. Israel bado ipo mpaka leo na inaendelea kusambaza kichapo kwa magaidi wa Kipalestina. Iran haijatimiza ahadi yake... Imejichokea kiasi Rais anaomba wananchi...
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Iran inataka Vita viishe, Rais ataka wananchi wajibane

  10. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Rais wa Marekani Donald Trump afuta Mazungumzo ya Amani na Iran!

    ‼️ MPYA: Trump afuta mazungumzo yaliyopangwa ya Islamabad na Iran, akisema muda unapotea safarini na kutaja "machafuko makubwa ya ndani" ndani ya uongozi wa Iran. "Ikiwa wanataka kuzungumza, wanachotakiwa kufanya ni kupiga simu." "Tuna kadi zote, hawana hata moja!" Endelea kuwasiliana...
  11. 5

    JamiiForums Tanzania US Tunawasubiri Iran waje kwenye mazungumzo

  12. Ritz

    JamiiForums Tanzania Shirika la habari la Iran Tasnim linaripoti kwamba Iran haijawahi kuomba mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani,

    Wanaukumbi. Chombo cha habari cha Iran Tasnim kinaripoti kwamba Iran haijawahi kuomba mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani, ikipinga moja kwa moja madai yaliyotolewa na katibu wa habari wa Ikulu ya White House Karoline Leavitt. Kulingana na ripoti kutoka kwa chombo hicho cha habari...
  13. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran: Marekani Mchimba Kisima Kaingia Mwenyewe

    https://youtu.be/f6beN4JdXVA?si=Sbk9dfUl2C4IZ6ek
  14. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Iran wanafikiria sasa kujenga ukuta wa zege utakao ziba kabisa safari za meli.

    Kuna taarifa zinasikika kuhusu Iran kwamba wamewapa muda marekani kuondoka hapo walipoweka wao kizuizi la sivyo wataamua kujenga ukuta wa zege kabisa ili iwe kazi kubwa kuufungua hata kama majadiliano yataisha kwa amani
  15. Le Padrino

    JamiiForums Tanzania How UAE and Israel “stole” rains from Jordan, Iraq and Iran

    In the year 2011, the former Iranian president Mahmoud Ahmadinejad said: "They are stealing our rains." No one believed him. How Were the UAE and Israel Stealing Jordan's, Iran's, and Syria's Rain? The theory circulating to explain the increase in rainfall in Iran, especially after the recent...
  16. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Rais wa Marekani Donald Trump aagiza boat za Iran zilizoko Mlango bahari wa Hormuz zizamishwe!!

    Baada ya boat za Iran kuonekana zinateka meli na zingine kuonekana kutega mabomu kwenye Mlango bahari wa Hormuz, Rais wa Marekani Donald Trump ameliagiza jeshi la majini na la anga kuzizamisha boat zote zinazofanya uhalifu kwenye mlango bahari wa Hormuz!!
  17. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel dhidi ya Iran

    Iran dhidi ya Israel kabla hujasoma maelezo angalia ramani uone ukubwa wa Iran then ulinganishe na nchi Takatifu ya Israel!! Mnamo 1976, Pato la Taifa la Iran lilikuwa dola bilioni 76 na la Israeli lilikuwa dola bilioni 16 — uchumi wa Iran ulikuwa karibu mara 5 zaidi. Mnamo 2026, Pato la Taifa...
  18. L

    JamiiForums Tanzania Donald Trump baada ya kuona Iran hawawezekani akataka kutumia silaha za nyukilia

    Silaha za nyukilia zilitengenezwa kwa ajili ya kutumika TU,pale nchi itakapokua imezidiwa na baada ya kutumia silaha nyingine zote lakini kushindwa kumshinda adui. Inasemekana Trump alitaka kutumia nyukilia katika vita yake na Iran Generali Dan Caine akamkatalia je hii inaashiria kua Marekani...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mwana mfalme wa Iran aliye uhamishoni, Reza Pahlavi, amwagiwa majimaji mekundu mjini Berlin

    Mwana mfalme wa Iran aliye uhamishoni, Reza Pahlavi, amemwagiwa majimaji mekundu Alhamisi wakati akitoka kwenye jengo moja mjini Berlin. Pahlavi alikuwa ndiyo kwanza ametoka kwenye mkutano na waandishi wa habari, ambapo alikosoa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran, wakati...
  20. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Sakata la Iran Wazinzi sasa wataumwa sana UTI

    Vita vya Iran vyachangia kupanda kwa bei ya kondomu Kampuni ya Carix, mojawapo ya kampuni kubwa ambazo hutengeneza mipira ya kondomu, imetangaza kuwa itaongeza bei ya bidhaa hizo kwa 30% au zaidi iwapo vita vitaendelea nchini Iran. Kampuni hiyo iliopo nchini Malaysia, imesema vita...
Back
Top Bottom