Wanaukumbi.
⚡️Germany's Merz on Iran:
The U.S. and Israel assumed at the very beginning that this problem could be solved within a few days.
But today we must acknowledge: it has not been solved.
That is why we, from the European side, are also seeking a diplomatic solution.
I hope that we...
Leo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi alikutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin huko St. Petersburg kujadili kuongeza uratibu kati ya nchi hizo mbili, kwani mataifa yote mawili sasa yamepeana ndege zisizo na rubani, hasa ndege zisizo na rubani za Shahed-pattern, na ujasusi katika...
Taifa zima la marekani limedhalilishwa na uongozi wa Iran tena haswa hao wanaoitwa Irgcc.:-Chancellor Merz
-Wa Iran wananguvu ambayo haikutarajiwa na waMarekani hawana mipango ya kweli ya kushawishi hata kwenye negotiations.
-Kwahali ya sasa sioni marekani kama wana mipango au maono ya...
Wanaukumbi.
🇮🇷🇺🇸 Iran yakataa kuruhusu usafirishaji wa bure katika Mlango wa Hormuz, EVER
Naibu Spika wa Bunge la Iran:
"Hatutarudisha Mlango wa Hormuz katika hali yake ya awali kwa hali yoyote ile kwa sababu huu ndio uamuzi wa Kiongozi wa Mapinduzi."
Chanzo: Habari za Tasnim
===============...
Heshima sana wanajamvi.
Si kawaida yangu kuchangia jukwaa hili lakini leo imenibidi nishiriki japo kwa uchache.
Iran ya Ayatollah ya mwaka 1979 hadi mwaka 2025 imeharibiwa vibaya mno.
Iran iliyoweza kumudu kuishi na vikwazo kwa muda mrefu sana kiasi miaka 47 sasa imefikia tamati.
Vita ya Iran...
Salaam,
Leo Makamu Mwenyekiti akiwa kwenye Mkutano wa Ndani ya chama huko Kibamba Shule Dar Es Salaam, amesema Huyu mama anayeongoza Nchi, alitoa ndege ifuate ndugu zake na Familia yake huko Dubai kwa gia ya kwamba wanawafuata Watanzania Wasidhuriwe na Mabomu ya Iran.
Kama alitoa ndege...
Kwa hali ya sasa ya vita kati ya Iran na Israel (na pia kuhusisha Marekani), ukweli ni huu:
1. Iran ndiyo imeathirika zaidi (kwa kiwango kikubwa)
Vifo na majeruhi ni wengi zaidi Iran
Miundombinu muhimu (kama mafuta, gesi, na kijeshi) imeharibiwa vibaya
Uchumi umeanguka:
Sarafu kushuka
Ajira...
Iran hoiiiiiiiii..... Ritz alikuwa anakuja na vinyuzi vyake uchwara... Mara imepandisha bendeera nyekundu, mara imesema itaifuta Israel. Israel bado ipo mpaka leo na inaendelea kusambaza kichapo kwa magaidi wa Kipalestina.
Iran haijatimiza ahadi yake... Imejichokea kiasi Rais anaomba wananchi...
‼️ MPYA:
Trump afuta mazungumzo yaliyopangwa ya Islamabad na Iran, akisema muda unapotea safarini na kutaja "machafuko makubwa ya ndani" ndani ya uongozi wa Iran.
"Ikiwa wanataka kuzungumza, wanachotakiwa kufanya ni kupiga simu."
"Tuna kadi zote, hawana hata moja!"
Endelea kuwasiliana...
Wanaukumbi.
Chombo cha habari cha Iran Tasnim kinaripoti kwamba Iran haijawahi kuomba mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani, ikipinga moja kwa moja madai yaliyotolewa na katibu wa habari wa Ikulu ya White House Karoline Leavitt. Kulingana na ripoti kutoka kwa chombo hicho cha habari...
Kuna taarifa zinasikika kuhusu Iran kwamba wamewapa muda marekani kuondoka hapo walipoweka wao kizuizi la sivyo wataamua kujenga ukuta wa zege kabisa ili iwe kazi kubwa kuufungua hata kama majadiliano yataisha kwa amani
In the year 2011, the former Iranian president Mahmoud Ahmadinejad said: "They are stealing our rains." No one believed him.
How Were the UAE and Israel Stealing Jordan's, Iran's, and Syria's Rain?
The theory circulating to explain the increase in rainfall in Iran, especially after the recent...
Baada ya boat za Iran kuonekana zinateka meli na zingine kuonekana kutega mabomu kwenye Mlango bahari wa Hormuz, Rais wa Marekani Donald Trump ameliagiza jeshi la majini na la anga kuzizamisha boat zote zinazofanya uhalifu kwenye mlango bahari wa Hormuz!!
Iran dhidi ya Israel kabla hujasoma maelezo angalia ramani uone ukubwa wa Iran then ulinganishe na nchi Takatifu ya Israel!!
Mnamo 1976, Pato la Taifa la Iran lilikuwa dola bilioni 76 na la Israeli lilikuwa dola bilioni 16 — uchumi wa Iran ulikuwa karibu mara 5 zaidi.
Mnamo 2026, Pato la Taifa...
Silaha za nyukilia zilitengenezwa kwa ajili ya kutumika TU,pale nchi itakapokua imezidiwa na baada ya kutumia silaha nyingine zote lakini kushindwa kumshinda adui.
Inasemekana Trump alitaka kutumia nyukilia katika vita yake na Iran Generali Dan Caine akamkatalia je hii inaashiria kua Marekani...
Mwana mfalme wa Iran aliye uhamishoni, Reza Pahlavi, amemwagiwa majimaji mekundu Alhamisi wakati akitoka kwenye jengo moja mjini Berlin.
Pahlavi alikuwa ndiyo kwanza ametoka kwenye mkutano na waandishi wa habari, ambapo alikosoa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran, wakati...
Vita vya Iran vyachangia kupanda kwa bei ya kondomu
Kampuni ya Carix, mojawapo ya kampuni kubwa ambazo hutengeneza mipira ya kondomu, imetangaza kuwa itaongeza bei ya bidhaa hizo kwa 30% au zaidi iwapo vita vitaendelea nchini Iran.
Kampuni hiyo iliopo nchini Malaysia, imesema vita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.