iran

  1. hamis77

    JamiiForums Tanzania Je, U.S.A inapanga kuizingira Iran?

    Rais Donald Trump ameshiriki makala kwenye Truth Social inayoelezea mkakati unaowezekana wa Marekani wa kuizingira Iran kwa jeshi la majini (naval blockade), baada ya mazungumzo kati ya Marekani na Iran mjini Islamabad kumalizika bila kufikiwa makubaliano. Blockade ni Nini Kijeshi? Tofauti na...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Imefikia pabaya sana. Mnakaa mitaani na kuomba viongozi wenu wauliwe kama wale wa Iran!

    Naona mmewachoka na mnawachukia sana. Mnakaa vijiweni na kuomba walipuliwe kama Ayatollah na jopo lake alivyouwawa. Hii ni sababu ya nini? Cake ya taifa?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Washiriki 300 wa USA dhidi ya 2 wa Iran huko Pakistani

    USA Imetuma timu ya washiriki 300 wa USA dhidi ya 2 wa Iran huko Pakistani katika majadiliano ya kuacha vita.
  4. MALCOM LUMUMBA

    JamiiForums Tanzania The New York Times: Vita inaligeuza taifa la Iran kuwa kubwa duniani

    Professor Robert Pape msomi nguli kabisa wa sayansi ya siasa, hasa siasa za kimataifa kutoka chuo kikuu cha Chicago nchini Marekani anaandika. Huyu msomi amefanya tafiti kuhusu mahusiano ya Iran na Marekani kwa miaka zaidi ya 25 na aliwahi kutabiri huko nyuma kwamba endapo Marekani atavamia Iran...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Aibu ya Propaganda: Baada ya kushindwa kudanganya kifo cha Netanyahu, Iran wamekuja na nyingine ya Marekani kuwalipa Dola Bilioni 6.

    Taarifa zinazosambaa kwamba Marekani imekubali kuilipa Iran dola bilioni 6 ni propaganda za zinazorejelea tukio la zamani lililotokea Septemba 2023 kipindi Biden akiwa Rais wa Marekani. Dola Bilioni 6 zilikuwa sehemu ya makubaliano ya kubadilishana na wafungwa, ambapo Marekani ilitoa ruhusa...
  6. upupu255

    JamiiForums Tanzania FALSE Iran destroyed Israel's largest phosphate factory

  7. Ritz

    JamiiForums Tanzania Marekani imekubali kuachilia mali za Iran zilizozuiliwa zilizoshikiliwa Qatar na benki zingine za kigeni, chanzo kikuu cha Iran kiliambia Reuters

    Wanaukumbi. Marekani imekubali kuachilia mali za Iran zilizozuiliwa zilizoshikiliwa Qatar na benki zingine za kigeni, chanzo kikuu cha Iran kiliambia Reuters Jumamosi, kikielezea hatua hiyo kama ishara ya "uzito" katika juhudi za kufikia makubaliano na Washington wakati wa mazungumzo huko...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Not only did Trump lose control of the Strait of Hormuz, he is also going to pay Iran $6 BILLION

    Not only did Trump lose control of the Strait of Hormuz, he is also going to pay Iran $6 BILLION
  9. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Vita ya IRAN basically lengo kumuumiza CHINA

    Katika vita zote marekani hua anaingia na lengo tafauti na jinsi anavotaka ulimwengu waamini, kwa mfano MADURO alitolewa madarakanikwa sababu anauza mafuta kwa china, IRAN ndo muuzaji mkubwa wa mafuta kwa CHINA Ukiangalia vita zingine kwa mfano IRAQ kisingizio ni "WEAPONS OF MASS DESTRUCTION"...
  10. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Je, kile kilichofanyika Iran kinaweza kufanyika Tanzania?

    Kwa tamko la Rais Dornad Trump juzi Iran walitakiwa kupigwa kipigo Cha mbwa koko Na mashambulizi yake alitangaza kuwa yataelekezwa kwenye miundo mbinu ya kuhifadhi mafuta ,vituo vya umeme nk Na serikali ya Iran katika kukabiliana na tishio Hilo iliwatangazia wananchi wake na wote waliungana...
  11. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Taifa la Iran humu tujuane pliz!

    Wale wafuasi wa wa Iran a.k.a wazee wa threesome, naomba tujuane ili tufurahie ushindi mkubwa ambao tumeupata Katika mtifuano wa mashariki ya kati. Ayatollah secretarybird, nawakaribisha kwa raha tele 😎. adriz.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Pakistan Kawauza USA na Iran Kwa Ceasefire Ya Uwongo

    Pakistani ni mshenzi sana kawapo Iran fake document kuwa America kakubali masharti yake na pia America kawapa fake document kuwa Iran kakubali masharti yake kwa hio kila mmoja akawa na proclaimed kashinda vita https://youtu.be/vi1DUuCgj9g?si=Mt26d3aatUCTQXVQ
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania World Bank Warns of Rising Inflation Risk in Kenya as Iran Conflict Threatens Growth

    The World Bank has raised fresh concerns over Kenya’s economic outlook, warning that the ongoing Iran conflict could trigger higher inflation and slow economic growth, particularly for oil-importing countries like Kenya. In its latest assessment, the Bank noted that geopolitical tensions in the...
  14. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Israel haikushiririkishwa katika makubaliano ya kusitisha vita baina ya Marekani na Iran, hadi kufikia hatua za mwisho

    kumekuwepo na chapisho ambalio limesambazwa na chommbo cha habari cha Mwana habari kikiw na kukuu ya kuwa Israel hajafurahishwa na makubaliano ya kusitisha vita baina ya Marekani na Iran huku Israel === Israel haikujulishwa kuhusu mpango wa Marekani wa kufikia makubaliano ya muda ya kusitisha...
  15. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Baada ya Iran kuchomoa sasa Magaidi wa Hezbollah wanapata Kipondo hasa!!

    Ndani ya dakika 10 na katika maeneo mengi kwa wakati mmoja, IDF ilikamilisha shambulio kubwa zaidi lililoratibiwa tangu kuanza kwa Operesheni ya Roaring Lion, ikilenga zaidi ya vituo 100 vya amri ya Hezbollah na maeneo ya kijeshi huko Beirut, Beqaa, na kusini mwa Lebanon. Malengo yaliyopigwa...
  16. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Ni mjinga pekee anayedhani America itaondoa bases zake middle East na kumuondolea vikwazo Iran

    Nimeshangaa mno na uwezo wa baadhi ya watu wanaoshabikia kuwa America amekubali masharti ya Iran, yaani ata vikao vya mazungumzo bado ila wabongo washa conclude. In my opinion Iran ni tough country ilo liko wazi ila kupambana na US katika complete war, Iran bado mtoto. America hajatumia ata...
  17. mimi mtakatifu

    JamiiForums Tanzania Nani Kashinda Vita ya Marekani (US) vs Iran? Vigezo vya Ushindi ni Vipi?

    Wakati wanaenda kwenye wiki mbili za ceasefire. 👉 Nani kashinda vita kati ya USA vs Iran? Kwa vigezo gani: Military power (nani kampiga mwenzie zaidi)? Survival (nani bado yupo hai kiushawishi mpaka sasa)? Uchumi (nani amemuathiri mwenzie au nani anaiathiri dunia)? Au nani analazimisha...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Iran yafanya sherehe, wadai kusitisha mashambulizi kwa muda ni ushindi mkubwa kwa utawala wa taifa hilo

    Serikali ya Iran na vyombo vya habari vya taifa hilo, vinasema kuwa makubaliano ya kusitisha mashambulizi kwa muda ni ushindi mkubwa kwa utawala wa taifa hilo. Katika taarifa iliyotolewa na Baraza Kuu la Usalama wa Taifa, Iran imesema imeyafikia karibu malengo yake yote ya vita hivyo na kuwa...
  19. figganigga

    JamiiForums Tanzania Israel haiwezi kaa wiki mbili bila kufanya tukio Iran

    Israel sio mtu wa Mazungumzo na magaidi. Kama Iran iliua muisrael yoyote hiyo imekula kwao. Mazungumzo ya Marekani na Iran si chochote kwa Israel. Waziri mkuu kashawapa funguo Wanajeshi wake waue gaidi popote watakapo muona. Yaani Wasisubiri ruhusa. Marekani anakubalije Mazungumzo wakati Israel...
  20. Ritz

    JamiiForums Tanzania Iran yasema Marekani inakubali mpango wa pointi 10 wa kukomesha vita

    Wanaukumbi. Iran ilisema mapema Jumatano kwamba Marekani "kimsingi" imekubali pendekezo la pointi 10 linalolenga kukomesha vita, kulingana na ripoti za mtandao wa Utangazaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) unaoendeshwa na serikali. Baraza Kuu la Usalama wa Kitaifa la Iran lilisema katika...
Back
Top Bottom