The viral post has been circulating on Facebook claiming that Kim is hoping to join the United States in the ongoing war. The post includes a quoation marked as "The nightmare scenario reportedly confirmed. Kim Jong Un allegedly announced North Korea officially joins the war alongside Iran...
Wanaukumbi.
"Kulinda maji ya eneo la Iran ni jukumu la kitaifa.
Kama ilivyotangazwa hapo awali, meli zinazohusishwa na adui hazina na hazitakuwa na haki ya kupita katika Mlango-Bahari wa Hormuz. Meli zingine zitaendelea kuruhusiwa kupita kwa mujibu wa kanuni za Jeshi la Wanamaji la IRGC.
Iran...
Rais wa Marekani Donald Trump amewakosoa Viongozi wa Iran baada ya mazungumzo ya kidiplomasia kushindwa kuleta makubaliano kamili kuhusu suala la Nyuklia.
Kupitia ukurasa wake wa Truth Social, Trump amewataja Viongozi hao kuwa “Watu wasiotabirika, wagumu na wenye kubadilika badilika,”...
Nukuu Kuu za JD Vance (Islamabad, Pakistan):
Aprili 12, 2026 asubuhi na mapema.
Kuhusu Msimamo wa Iran:
"Tumekaa nao usiku kucha, tukiwapa nafasi ya wazi ya kurejesha amani na utulivu katika eneo hilo. Lakini viongozi wa Iran wamechagua njia nyingine. Wamechagua kutokubali masharti yetu...
Rais Donald Trump ameshiriki makala kwenye Truth Social inayoelezea mkakati unaowezekana wa Marekani wa kuizingira Iran kwa jeshi la majini (naval blockade), baada ya mazungumzo kati ya Marekani na Iran mjini Islamabad kumalizika bila kufikiwa makubaliano.
Blockade ni Nini Kijeshi?
Tofauti na...
Naona mmewachoka na mnawachukia sana.
Mnakaa vijiweni na kuomba walipuliwe kama Ayatollah na jopo lake alivyouwawa.
Hii ni sababu ya nini?
Cake ya taifa?
Professor Robert Pape msomi nguli kabisa wa sayansi ya siasa, hasa siasa za kimataifa kutoka chuo kikuu cha Chicago nchini Marekani anaandika. Huyu msomi amefanya tafiti kuhusu mahusiano ya Iran na Marekani kwa miaka zaidi ya 25 na aliwahi kutabiri huko nyuma kwamba endapo Marekani atavamia Iran...
Taarifa zinazosambaa kwamba Marekani imekubali kuilipa Iran dola bilioni 6 ni propaganda za zinazorejelea tukio la zamani lililotokea Septemba 2023 kipindi Biden akiwa Rais wa Marekani.
Dola Bilioni 6 zilikuwa sehemu ya makubaliano ya kubadilishana na wafungwa, ambapo Marekani ilitoa ruhusa...
Wanaukumbi.
Marekani imekubali kuachilia mali za Iran zilizozuiliwa zilizoshikiliwa Qatar na benki zingine za kigeni, chanzo kikuu cha Iran kiliambia Reuters Jumamosi, kikielezea hatua hiyo kama ishara ya "uzito" katika juhudi za kufikia makubaliano na Washington wakati wa mazungumzo huko...
Katika vita zote marekani hua anaingia na lengo tafauti na jinsi anavotaka ulimwengu waamini, kwa mfano MADURO alitolewa madarakanikwa sababu anauza mafuta kwa china, IRAN ndo muuzaji mkubwa wa mafuta kwa CHINA
Ukiangalia vita zingine kwa mfano IRAQ kisingizio ni "WEAPONS OF MASS DESTRUCTION"...
Kwa tamko la Rais Dornad Trump juzi Iran walitakiwa kupigwa kipigo Cha mbwa koko
Na mashambulizi yake alitangaza kuwa yataelekezwa kwenye miundo mbinu ya kuhifadhi mafuta ,vituo vya umeme nk
Na serikali ya Iran katika kukabiliana na tishio Hilo iliwatangazia wananchi wake na wote waliungana...
Wale wafuasi wa wa Iran a.k.a wazee wa threesome, naomba tujuane ili tufurahie ushindi mkubwa ambao tumeupata Katika mtifuano wa mashariki ya kati.
Ayatollah secretarybird, nawakaribisha kwa raha tele 😎.
adriz.
Pakistani ni mshenzi sana kawapo Iran fake document kuwa America kakubali masharti yake na pia America kawapa fake document kuwa Iran kakubali masharti yake kwa hio kila mmoja akawa na proclaimed kashinda vita
https://youtu.be/vi1DUuCgj9g?si=Mt26d3aatUCTQXVQ
The World Bank has raised fresh concerns over Kenya’s economic outlook, warning that the ongoing Iran conflict could trigger higher inflation and slow economic growth, particularly for oil-importing countries like Kenya.
In its latest assessment, the Bank noted that geopolitical tensions in the...
kumekuwepo na chapisho ambalio limesambazwa na chommbo cha habari cha Mwana habari kikiw na kukuu ya kuwa Israel hajafurahishwa na makubaliano ya kusitisha vita baina ya Marekani na Iran huku Israel
===
Israel haikujulishwa kuhusu mpango wa Marekani wa kufikia makubaliano ya muda ya kusitisha...
Ndani ya dakika 10 na katika maeneo mengi kwa wakati mmoja, IDF ilikamilisha shambulio kubwa zaidi lililoratibiwa tangu kuanza kwa Operesheni ya Roaring Lion, ikilenga zaidi ya vituo 100 vya amri ya Hezbollah na maeneo ya kijeshi huko Beirut, Beqaa, na kusini mwa Lebanon.
Malengo yaliyopigwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.