Habarini za asubuhi ndugu zangu, natafuta kazi ya mambo ya INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY (ICT), Ukiniunganishia kazi iyo nitakupa nusu ya mshahara wangu baada\kuelekea kusaini mkataba.
Sehemu ambazo nina interested ya kukuza sana hii fani yangu ni:
1. Migodini
2. Sector za mawasilino...
Ongeza ujuzi wa kompyuta na mtandao.
Lengo langu ni kukuongezea wewe ufanisi katika shughuli, biashara au miradi yako unayoifanya. Pia unaweza kujiajiri kwa kusoma kozi mbalimbali ninazozitoa.
Kwa kuwa watu wameshughulishwa sana na wengi hawapati muda wa kutoka nyumbani na kwenda kujifunza...
AJAKAI ICT - FREE HELPDESK & IT SUPPORT:
[AJAKAIICT dot COM] - We are here to help our customer, students and visitors to get the best IT service for free of charge, from our office and online.
We have excellent IT professional expert’s team and experienced in answering many questions asked by...
hello za wekend wakuu,
Naomba msaada juu ya IDEA YOYOTE INAYOHUSIANA NA (WEB BASED SYSTEM) katika fani ya IT niifanyie kazi naelekea kukwama mwenzenu huku mana nilizonazo zote naambiwa hazina intelligency part ndan yake.
kwenu wakuu
I am interested in attending conferences or symposiums where there is discussions on ICT research, opportunities, new solution seeking partners, or just a place conducive for techies to network.
So, is there a periodic technology symposium conference in Tanzania that take place may be twice or...
President Museveni Friday launched Uganda's first ICT manufacturing and assembling plant in Namanve.
This comes into force after government signed an agreement with SIMI technologies to promote the manufacturing of ICT electronics in Uganda.
At full capacity, the factory will run three...
ESAMI seeks the services of a suitably qualified person to fill the post of ICT Officer at its Headquarters in Arusha, Tanzania Deities and Responsibilities
The position has the prime responsibility of coordinating and providing ICT technical support services through effective design...
Kwa sasa nasoma ICT, Informational Communication Technology.
Bado nipo hatua za mwanzo kwa wale mliopitia mnaweza kuja kuninoa hapa kwa maswali ili kunijenga zaidi. Wataalamu nahitaji sana msaada wenu kuhusu hii course.
CHIEF MKWAWA na wengine tafadhali.
Habari zenu JF
Nimekuwa nikipitia uzi mbalimbali huku JF, pamoja na majarida mengine mbalimbali mitandaoni, na kugundua kuwa kuna utofauti mkubwa sana kati ya developers au tech companies inapofika kipindi cha kuthaminisha kazi inayoletwa na mteja. Hi ni moja ya sababu inayochangia kutokukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.