n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
KUNA MENGI YA HOVYO YANAENDELEA KWENYE HII TAASISI, TUNAJIULIZA KAMA MH. WAZIRI MKUU AMEWAWAJIBISHA MENEJA WA TANESCO NA WATU WAKE KWA TATIZO LA KUPATIKANA KWA LUKU. JE HAWA WATU WA TEHAMA WA LATRA WANAAACHWAJE KWA UBABAISHAJI WA KWENYE MFUMO WA ONLINE TICKETING NA KUTUSABABISHIA WENGINE HASARA NA MENGINE YA HUDUMA KUTOPATIKANA AU KWA UBABAISHAJI KWENYE MFUMO HUU?
Ni sisis Wadau wa Usafirishaji wa abiria Arusha kwa niaba ya wadau wengine Tanzania
Nakala ya Malalamiko haya kwa TABOA kwa ufuatiliaji zaidi.
Ni sisis Wadau wa Usafirishaji wa abiria Arusha kwa niaba ya wadau wengine Tanzania
Nakala ya Malalamiko haya kwa TABOA kwa ufuatiliaji zaidi.