house

A house is a building that functions as a home. They can range from simple dwellings such as rudimentary huts of nomadic tribes and the improvised shacks in shantytowns to complex, fixed structures of wood, masonry, concrete or other materials containing plumbing, ventilation, and electrical systems. Houses use a range of different roofing systems to keep precipitation such as rain from getting into the dwelling space. Houses may have doors or locks to secure the dwelling space and protect its inhabitants and contents from burglars or other trespassers. Most conventional modern houses in Western cultures will contain one or more bedrooms and bathrooms, a kitchen or cooking area, and a living room. A house may have a separate dining room, or the eating area may be integrated into another room. Some large houses in North America have a recreation room. In traditional agriculture-oriented societies, domestic animals such as chickens or larger livestock (like cattle) may share part of the house with humans.
The social unit that lives in a house is known as a household. Most commonly, a household is a family unit of some kind, although households may also be other social groups, such as roommates or, in a rooming house, unconnected individuals. Some houses only have a dwelling space for one family or similar-sized group; larger houses called townhouses or row houses may contain numerous family dwellings in the same structure. A house may be accompanied by outbuildings, such as a garage for vehicles or a shed for gardening equipment and tools. A house may have a backyard or front yard, which serve as additional areas where inhabitants can relax or eat.

View More On Wikipedia.org
  1. Nduka Original

    JamiiForums Tanzania Nimewashangaa sana Lissu na Heche baada ya kusikiliza mjadala wa Royal Tour kwenye Club House ya Maria Sarungi

    Nina rafiki msomi na yuko Chadema kufa na kupona, amekuwa sana akiniambia kuhusu Club house inayoendeshwa na Maria Sarungi. Leo nikaamuwa nami nisikilize mjadala wa Royal Tour ambapo Mary Sarungi alikuwa akiwahoji Tundu Lisu na John Heche. Kwakweli baada ya kusikiliza mjadala na kusikiliza hoja...
  2. ward41

    JamiiForums Tanzania Klemlin vs White House: Spot the difference

  3. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Club House na Space ndiyo vijiwe vya sasa hivi

    Club House na Space ni social media rooms zinazoruhusu majadiliiano ya wazi. Hivi karibuni zimetumika sana na wana siasa kuongelea hali ya siasa za Tanzania. Faida mojawapo ya social media ni kuunganisha watu walio sehemu mabali mbali za dunia. Kuna kijana graduate nilikutana nae, aliniambia...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika Clubhouse session ya Jamiiforums 15/02/2022: Safari ya matibabu kwa Mtoto mwenye Saratani

    Jamii Forums kwa kushirikiana na MUHAS, MNH, TLM wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini Tanzania. Kujua zaidi soma: Una swali lolote kuhusu ugonjwa wa saratani kwa watoto? Mjadala huu unatarajiwa kufanyika leo...
  5. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi wanaona aibu kununua Condom dukani/pharmacy au kwanini watu wengi huogopa kuingia lodge/guest house kuulizia vyumba?

    Kama umefanya kazi ya kuuza duka la rejareja au pharmacy utakuta wateja wengi wanaotaka condoms wakikuta wateja wengine wanashindwa kabisa kusema kuwa wanahitaji condoms, utakuta mtu anaanza kuulizia bei za mikate mara soda akisubiri wateja wengine waondoke ndio aseme shida yake. Hii imekaaje...
  6. No SQL

    JamiiForums Tanzania "AUCTION HOUSE JAPAN'' Naomba uzoefu wenu kuhusu huu mtandao wa kuuza magari japan

    Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana na hao jamaa wa AHJ nikaona offer zao sio mbaya sana, sasa wadau wa kuagiza magari, naomba 123 kuhusu huu mtandao.
  7. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Jiongeze: Mheshimu sana House girl anayebaki na mtoto wako, unapokuwa haupo hakuna kinachomzuia yeye kulipizia kisasi kwa mtoto

    nani anaependa kukaripiwa? nanj anaependa kupigwa? nani anapenda kugombezwa? nani anapenda kupigwa? nani anapenda kunyanyaswa? HAKUNA!!!! Inanishangaza sana kuona kuna baadhi ya wazazi hawaheshimu kabisa mahouse girl wanaobaki na watoto wao, huwaona kama wanadamu wa toleo la pili. House girl...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu House allowance

    Wadau, naomba michango yenu... Je, ni sawa kwa mtumishi wa uma aliyekuwa akipata posho ya nyumba/house allowance kuacha kupewa na taasisi yake kwa kigezo kuwa yupo masomoni nje ya nchi?
  9. D

    JamiiForums Tanzania Kazi za House Keeping Hotelini Lahe Mwanza. Simu 0754290084

    Wafanya kazi wa usafi wa vyumba wanatakiwa kwenye Hoteli ya Lahe.Maombi kuanzia tarehe 21.12.2021 hadi 15.1.2022. Tafadhali omba kwa namba 0754290084 au 0655290084.
  10. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Bugrov House, Built 1880, Russia

  11. sweetdada

    JamiiForums Tanzania House4Sale House for sale at Kigamboni

    Five bedrooms 80% completed Location: Chekechea, Kibada, Kigamboni Plot size: 1460 sqm Price : 150,000,000/= negotiable
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika Mjadala wa "Je, Demokrasia inakwamisha Maendeleo?" katika Clubhouse Jamiiforums

    Demokrasia imekuwa miongoni mwa nguzo muhimu katika Mataifa mbalimbali. Tanzania ni Nchi ya Kidemokrasia kwa mujibu wa Katiba ambayo Viongozi huapa kuilinda wanapoingia madarakani Kumekuwa na mjadala wa muda mrefu ukiituhumu Demokrasia kukwamisha Maendeleo huku wengine wakidai kuwa ili...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Mjadala wa Haki ya Ulinzi wa Data binafsi kupitia Clubhouse ya JamiiForums

    Taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokutambulisha, iwe inahusiana na Maisha yako binafsi, Kitaaluma, au ya umma (Mfano: Majina, Namba za Simu, Anwani n.k) Ni mara ngapi umeshakutana na taarifa za Watu wengine katika Mazingira ambayo hukupaswa kukutana nazo? Kama ni mara nyingi, basi huenda...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika mjadala wa Wasiochanjwa katika Club House ya Jamiiforums tarehe 12/11/2021

    Utoaji wa Chanjo ya #COVID19 umekuwa ukihamasishwa kona zote za Dunia huku baadhi ya Nchi zikichukua hatua za kuweka Vikwazo kwa Watu ambao hawajapata Chanjo kurudi Maofisini, kusafiri au kushiriki shughuli za kijamii Wasiochanja wana sababu mbalimbali ambazo zinawapelekea kusitasita katika...
  15. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania 1786 kulikua na shreia na taratibu za kufuata ukichukua chumba Guest House

  16. Mkushi Mbishi

    JamiiForums Tanzania How to detect if there are negative energies in your house using only a glass of water

    Every human being has its own energy which is reflected in the area where it resides, so the energy which is present in our home is a combination of the energies of all family members. All our emotions, thoughts, and feelings emit a certain type of energy, but as well as attract other energies...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

    Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi. Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting Hatuna cha kujifunza kweli? Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia! Mwenye macho haambiwi tazama.
  18. J

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika mjadala wa huduma na changamoto za Saratani ya Watoto katika club house ya JamiiForums

    KUSHIRIKI MJADALA HUU TAFADHALI GUSA LINK HII HAPA CHINI https://www.clubhouse.com/event/xlyWAOzz Mjadala huu unamulika huduma ya saratani kwa watoto pamoja na changamoto mbalimbali. Baadhi ya mambo muhimu yaliyozungumziwa na wataalamu. Dkt. Shakilu: Saratani kwa Watoto haina tofauti kama...
  19. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania Mijadala katika club house ya Mindset Transformation inaweza kuboresha maisha yako

    Habari za kazi. Kuna tafsri nyingi juu ya motivation speakers duniani juu ya yale wasemayo na namna ya kuyatekeleza katika maisha halisi. lakini katika club house hii hakika kwa wiki mbili sasa nashiriki hakika kuna kitu cha tofauti. nimeona nami nishiriki kuwajulisha kwa wanaopenda kushiriki...
Back
Top Bottom