Amuua mkewe kisa house girl!

Poker

JF-Expert Member
Oct 7, 2016
5,301
14,186
Bwana mmoja huko Sopango Ug Zimbabwe amemuua mkewe kwa kumchinja kisa kikidaiwa kuwa mke aligoma kupewa talaka ili mume amuoe house girl huyoo!

Hivo baada ya vuta nikuvute mke akaamua kumfukuza house girl ndipo mume kwa hasira akaamua kumchinja kama kuku mke wake halali wa ndoa. Poleni sana ila ukiachwa achika jamani sio kuwa king'ang'anizi kama.

kupe!
20220602_074959.jpg
 
Bwana mmoja huko sopango Ug Zimbabwe amemuua mkewe kwa kumchinja kisa kikidaiwa kuwa mke aligoma kupewa talaka ili mume amuoe house girl huyoo! Hivo baada ya vuta nikuvute mke akaamua kumfukuza house girl ndipo mume kwa hasira akaamua kumchinja kama kuku mke wake halali wa ndoa. Poleni sana ila ukiachwa achika jamani sio kuwa king'ang'anizi kama kupe!View attachment 2253095
Mhm huyo ndio house girl???
 
Bwana mmoja huko sopango Ug Zimbabwe amemuua mkewe kwa kumchinja kisa kikidaiwa kuwa mke aligoma kupewa talaka ili mume amuoe house girl huyoo!

Hivo baada ya vuta nikuvute mke akaamua kumfukuza house girl ndipo mume kwa hasira akaamua kumchinja kama kuku mke wake halali wa ndoa. Poleni sana ila ukiachwa achika jamani sio kuwa king'ang'anizi kama kupe!View attachment 2253095
Uzi umekamilika maana una viambatanisho vyote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom