mcshonde
Member
- Jul 15, 2022
- 66
- 152
Kuna App inaitwa 4SALE. Humo unauza/nunua kitu chochote ikiwemo mtu.
Kwa miaka kadhaa imetumika sana kuwauza kina dada mtandaoni. Kinachotokea ni kwamba; mabinti/dada walioenda nchi za mashariki ya kati kufanya kazi za ndani wanauzwa mtandaoni kama watumwa. Ukimtaka mfanyakazi unaingia kwenye App na kuchagua mtu na bei yake. Yaani bosi wako akikuchoka anakupiga picha na anaweka bei yako kama unavyopost bidhaa. Kama kakuchoka kabisaaa ataweka bei chee ili ununuliwe fasta. Kwa staili hiyo house maids wamekuwa wakihama nyumba moja hadi nyingine bila kujua nini kinaendelea.
Kwa kuwa wamenunuliwa kama bidhaa, ubinadamu haupo tena ndio maana huyo dada aneleza kuwa familia ilisafiri na walipofikia yeye aliambiwa alale kwenye zizi la ng'ombe...kwa miezi 3.
Kibaya ni kwamba hawawezi kukimbia mana bosi wako ana passport yako ...Lakini kwa wengine kwa wale walioingia nchini humo bila utaratibu. Yani walipitia chocho ukikimbia na ukakamatwa basi polisi wanakuweka ndani. Hiyo App imepigiwa kelele sana nchi za Mashariki ya kati kwamba imeondoa utu wa binadamu lakini bado wengi wanaendelea kunyanyaswa sana.
Kwa miaka kadhaa imetumika sana kuwauza kina dada mtandaoni. Kinachotokea ni kwamba; mabinti/dada walioenda nchi za mashariki ya kati kufanya kazi za ndani wanauzwa mtandaoni kama watumwa. Ukimtaka mfanyakazi unaingia kwenye App na kuchagua mtu na bei yake. Yaani bosi wako akikuchoka anakupiga picha na anaweka bei yako kama unavyopost bidhaa. Kama kakuchoka kabisaaa ataweka bei chee ili ununuliwe fasta. Kwa staili hiyo house maids wamekuwa wakihama nyumba moja hadi nyingine bila kujua nini kinaendelea.
Kwa kuwa wamenunuliwa kama bidhaa, ubinadamu haupo tena ndio maana huyo dada aneleza kuwa familia ilisafiri na walipofikia yeye aliambiwa alale kwenye zizi la ng'ombe...kwa miezi 3.
Kibaya ni kwamba hawawezi kukimbia mana bosi wako ana passport yako ...Lakini kwa wengine kwa wale walioingia nchini humo bila utaratibu. Yani walipitia chocho ukikimbia na ukakamatwa basi polisi wanakuweka ndani. Hiyo App imepigiwa kelele sana nchi za Mashariki ya kati kwamba imeondoa utu wa binadamu lakini bado wengi wanaendelea kunyanyaswa sana.