Kuwite94
Member
- Oct 10, 2016
- 16
- 117
leo nakupa ushauri kuhusu contemporary house
Contemporary house
Wengi wanadhani kuwa ni nyumba ya gharama nafuu lakini sio kama inavyofikiriwa unafuu wake upo kwenye kupaua tu
Endapo mtu atajenga contemporary house ataokoa gharama kwenye kupaua kwani huingia bati chache tofauti na nyumba ya kupaua na kama ulipanga kupaua kutumia bati aina ya kigae basi utaokoa gharama kubwa
Lakini watu wasichojua ni kuwa contemporary wasanifu wake wanaoweza kuijenga kwa ufasaha na kupaua ipasavyo ni wachache ivyo inakubidi uwe makini usitafute fundi mradi fundi ila tafuta fundi mwenye weledi
Kwani ukipata fundi asiyejulia ndo linatokea tatizo la kuvuja
Kingine nyumba hii inatakiwa nje utumie cement kali mno kupiga plasta kwakuwa ukuta unapigwa na jua na mvua straight pia utumie gundi kuskim na rangi yenye quality isiyovurugwa haraka na vitu tajwa apo juu
Ni nyumba ambayo inatakiwa iwe inafanyiwa marekebisho ya mara kwa mara yani mfano kila baada ya miaka miwili inatakiwa ubadilishe rangi na vitu vidogovidogo ambavyo huwa vinaathirika na jua na mvua kwa haraka
Hii nyumba sio nyumba ya rahisi kama inavyotafsiriwa inaweza ikawa na gharama kubwa kuliko ata iliyopauliwa kwa maana ya kimuundo na material husika
Ukiamua kujenga jenga kwakuwa unaipenda na usijenge kwa kukimbia gharama hutopata kile kinachostahili
Kwa mahitaji ya Ramani zilizopo tayari/ Kutengenezewa Ramani unayohitaji Tuwasiliane 0742295125 Call/WhatsApp
Contemporary house
Wengi wanadhani kuwa ni nyumba ya gharama nafuu lakini sio kama inavyofikiriwa unafuu wake upo kwenye kupaua tu
Endapo mtu atajenga contemporary house ataokoa gharama kwenye kupaua kwani huingia bati chache tofauti na nyumba ya kupaua na kama ulipanga kupaua kutumia bati aina ya kigae basi utaokoa gharama kubwa
Lakini watu wasichojua ni kuwa contemporary wasanifu wake wanaoweza kuijenga kwa ufasaha na kupaua ipasavyo ni wachache ivyo inakubidi uwe makini usitafute fundi mradi fundi ila tafuta fundi mwenye weledi
Kwani ukipata fundi asiyejulia ndo linatokea tatizo la kuvuja
Kingine nyumba hii inatakiwa nje utumie cement kali mno kupiga plasta kwakuwa ukuta unapigwa na jua na mvua straight pia utumie gundi kuskim na rangi yenye quality isiyovurugwa haraka na vitu tajwa apo juu
Ni nyumba ambayo inatakiwa iwe inafanyiwa marekebisho ya mara kwa mara yani mfano kila baada ya miaka miwili inatakiwa ubadilishe rangi na vitu vidogovidogo ambavyo huwa vinaathirika na jua na mvua kwa haraka
Hii nyumba sio nyumba ya rahisi kama inavyotafsiriwa inaweza ikawa na gharama kubwa kuliko ata iliyopauliwa kwa maana ya kimuundo na material husika
Ukiamua kujenga jenga kwakuwa unaipenda na usijenge kwa kukimbia gharama hutopata kile kinachostahili
Kwa mahitaji ya Ramani zilizopo tayari/ Kutengenezewa Ramani unayohitaji Tuwasiliane 0742295125 Call/WhatsApp