Ki ukweli, tukiachana na itikadi za ki chama, bado upinzani hawana mkakati mathubuti wa kushika dola.
Bado, hawana hoja nzito na za kudumu za kuwashiwish wananchi hadi waamue kuwapigania wakanate dola.
Hoja zao ni nyepesi mno, na hata hivyo hazi click sana kwa majority ya watanzania.
Hata...