Nani atasimama jukwaani, azungumze na akubalike kwa watanzania ili kumsaidia John kujibu hoja za mbeba maono? John hawezi kupangiilia hoja akaielezea na ikaeleweka. Anahitaji wasemaji wazuri.
Kulikuwa na vichwa mahili kama vile Nape, Kinana, Makamba Sr & Jr, Mwigulu na Bulembo. Lkn wote hawa John aliwashughulikia na kuwachafua kisiasa.
Yeyote kati ya hao akijitokeza kusema chochote ataonekana anajipendekeza, anajikomba na mwoga wa kushughulikiwa tena.
Kwasabb:
Lakini John aliyataka mwenyewe acha jumba bovu limwangukie.
Kulikuwa na vichwa mahili kama vile Nape, Kinana, Makamba Sr & Jr, Mwigulu na Bulembo. Lkn wote hawa John aliwashughulikia na kuwachafua kisiasa.
Yeyote kati ya hao akijitokeza kusema chochote ataonekana anajipendekeza, anajikomba na mwoga wa kushughulikiwa tena.
Kwasabb:
- Nape alishikiwa bastola.
- Kinana na Makamba Sr walitukanwa matusi kama yote na Musiba kisha Sauti zao zikadakwa wanamuita John mshamba.
- Makamba jr alitumbuliwa kwa kushiriki kuandika waraka "mchafu"dhidi John.
- Bulembo alilia kama mtoto bungeni akimshutumu Mpina wakati mitumbwi na nyavu zake vilipo shughulikiwa ipasavyo na huyu waziri kichaa. Lkn mwisho wa siku Bulembo akapuuziwa na John, halafu waziri kichaa akasifiwa sana.
- Mwigulu huyu alivuliwa uwaziri kwa udhalilishaji mkubwa Sana kabla ya kurudishwa tena. Alitumbuliwa akiwa safarini, hivyo alinyang'anywa gari la uwaziri akiwa barabarani. Kwa sasa Mwigulu amepoa kama maji ya mtungini.
Lakini John aliyataka mwenyewe acha jumba bovu limwangukie.