Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,682
- 3,065
Wasalaam,
Nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya siasa kwa muda mrefu sasa .
Lakini siku za hivi karibuni baada ya Mh Magufuli kuingia madarakani wana CCM wengi wameacha kujadili vitu na watu kwa hoja sasa ni kushambulia tu watu ama kwa kuwatishia kuwaua au kuwaangamiza wanavyojua.
Mathalani mnaweza kuwambia uwepo Mdahalo wa wagombee Urais watakwambia kwa kazi alifonya Magufuli hatakiwi kufanya mdahalo,ukimtupia tena swali basi asifanye campaign kwa vile kazi yake inaonekana anakosa hoja.
Kiukweli wana CCM wanaboa sana wanabaki kujivua kombati zao na ukivuli wa kuwa karibu na UT NA PT zaidi hawana jipya ni matusi tu.
Zamani ukutane na akina Mwakyembe,Selelii,Ole Sendeka wanapanga hoja wanapangua hoja .
Ila muda kuanzia mwenyekiti ,katibu Mwenezi wanapayukapayuka tu .
Muulize Mwenyekiti maswali majibu yake ni ya kudhalilisha tu akina mama na wanawake.
CCM mjirekebishe jingeni hoja jibuni hoja.
Kizazi hiki cha Leo sio cha 48 watu wamesoma watu wameelimika.
Mnaeda kudidimia kwa sababu nguvu za dola zitakuja kushindwa na nguvu za umma siku moja na mtafutikana Milele.
Msifikiri upinzani ni vyama upinzani ni wananchi
Nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya siasa kwa muda mrefu sasa .
Lakini siku za hivi karibuni baada ya Mh Magufuli kuingia madarakani wana CCM wengi wameacha kujadili vitu na watu kwa hoja sasa ni kushambulia tu watu ama kwa kuwatishia kuwaua au kuwaangamiza wanavyojua.
Mathalani mnaweza kuwambia uwepo Mdahalo wa wagombee Urais watakwambia kwa kazi alifonya Magufuli hatakiwi kufanya mdahalo,ukimtupia tena swali basi asifanye campaign kwa vile kazi yake inaonekana anakosa hoja.
Kiukweli wana CCM wanaboa sana wanabaki kujivua kombati zao na ukivuli wa kuwa karibu na UT NA PT zaidi hawana jipya ni matusi tu.
Zamani ukutane na akina Mwakyembe,Selelii,Ole Sendeka wanapanga hoja wanapangua hoja .
Ila muda kuanzia mwenyekiti ,katibu Mwenezi wanapayukapayuka tu .
Muulize Mwenyekiti maswali majibu yake ni ya kudhalilisha tu akina mama na wanawake.
CCM mjirekebishe jingeni hoja jibuni hoja.
Kizazi hiki cha Leo sio cha 48 watu wamesoma watu wameelimika.
Mnaeda kudidimia kwa sababu nguvu za dola zitakuja kushindwa na nguvu za umma siku moja na mtafutikana Milele.
Msifikiri upinzani ni vyama upinzani ni wananchi