Hizb Tahrir Tanzania
JF-Expert Member
- Feb 18, 2020
- 258
- 235
Tunalaani suala la kuwekwa ndani Sheikh Ponda eti kwa waraka. Hii imekuwa ni kawaida kwa viongozi wa Kiislamu huku viongozi wa dini nyingine wakisema watakavyo hata kushawishi maandamano. Huu ni uonevu wa hali ya juu wa vyimbo vya dola kwa Waislamu
#KomeshaUkandamizajiWaKiaheriaNaUtekaji
#FreeSheikhPonda
hizb.or.tz
#KomeshaUkandamizajiWaKiaheriaNaUtekaji
#FreeSheikhPonda
hizb.or.tz