Hizi ni ajali ambazo hadi leo zimeniachia simanzi na kumbukumbu mbaya kichwani mwangu. Sikupoteza ndugu wala mtu yeyote wa karibu ila ziliniumiza mno.
1. Ajali ya moto kwenye bweni la wasichana Shauritanga sec, Rombo
Hii ajali ilitokea usiku wa tarehe 18 June 1994. Bweni lilishika moto na...
WAMAMA PUNGUZENI KAULI HIZI KWA WAUME ZENU 🙏
Kila mzazi ana haki ya kumlea mtoto wake.
Malezi si jukumu la mama peke yake wala baba peke yake… ni ushirikiano 🤝
Lakini kuna kauli ambazo zinaumiza, zinadhoofisha mamlaka ya baba, na zina changanya watoto😔
Epuka kauli hizi mbele ya watoto👇...
Wakuu . Kama kichwa kinavyojieleza
Nahitaji kuchukua wi-fi lengo kubwa ni kuona namna Gani naweza kusave Hela ambayo ningeitumia kununua vocha za Kila siku
Na nimepata hiyo hapo Pocket rout ya voda kifurushi kinaanzia 10k
Sasa nahitaji kujua kwenu wazoefu je hicho kifurushi Cha 10k unapata Gb...
Mamlaka nchini Kenya na Ghana zinaendelea na uchunguzi kufuatia ripoti nzito kuwa mwanaume mmoja, raia wa Urusi, aliwarekodi kwa siri wanawake wa mataifa hayo mawili wakati wakiwa faragha, na kisha kusambaza video hizo mtandaoni bila ridhaa yao.
Vyombo vya habari barani Afrika na nchini Urusi...
Mango tree residence ni mradi mpya na wa kisasa ambao utakuwa na apartments za makazi na biashara Unaojengwa Msasani beach nyuma ya kwa Nyerere mikocheni Dar es salaam.
Ni mradi wa majengo ma 5 yenye gorofa 17 kila jengo, mradi tayari umeanza kujengwa toka mwezi wa 8 mwaka jana, ambapo...
Travelling all over the world kumkingia Kifua mteuzi wake, ametumià mabilioni mangapi?
Kipi amekifanikisha cha kuwasaidia watanganyika? ( Maana wa zenji hawana shida , hela si zao).
Anajua kuwa anachota maji kwenye mtungi uliotoboka, lakini kwa vile kuna anazoa mahela, basi bora liende, mkono...
Russia
Malaysia
Qatar
Pakistan
Somalia
Saudi arabia
Indonesia
Unajua ni kwanini hizi nchi haziitambui hio siku??
NB: sisi tunapendana kila siku hatusubiri siku ya kuigiza (valentine)
Asalaam Aleykum ndugu zangu wote katika imani,
Kuelekea mfungo mtukufu wa mwezi wa Ramadhan, waislamu wote ninawaomba tukutane humu ili tuelimishane mawili matatu kuhusu mwezi huu.
Lengo kuu ni kuweza kufahamu yale yote aliyotufunza kipenzi chetu mtume Muhammad S.A.W kuhusu mwezi huu.
Vitu...
hizi
kidole
kuelekea
kupambana
kupambana na utekaji
mwezi wa ramadhani
namna
ndoa
nguvu ya sadaka
nyingine
pete
polisi
ramadhan
ramadhani
saumu
uislamu
unafiki
uonevu
uonevu wa polisi
ushahidi
utekaji
utekaji tanzania
watekaji
watu wasiyojulikana
zaidi ya
Nyuzi zote hizi ni wale chawa washamba washamba wa mama anaupiga mwingi, na ni kikundi maalumu kinachojaribu kutaka kuangalia upepo wa watanganyika, bahati mbaya kabisa hatujaona uzi wowote unasifia kuupiga mwingi Mo 29
Nyuzi zote hizi zinalengo la kutaka kutuliza mioyo ya walioumizwa na...
Mango tree residence ni mradi mpya wa nyumba za makazi na biashara,
Ni mradi wa majengo ma 5 yenye gorofa 17 kila jengo, mradi tayari umeanza kujengwa toka mwezi wa 8 mwaka jana, ambapo unatarajiwa kukamilika mwakani 2027 kwa phase 1 na 2029 kwa phase 2.
Unit zinapopatikana hapa ni one, two...
MWANAUME KAMA UNA TABIA | SIFA HIZI, TAFADHALI ACHANA NA MASUALA YA NDOA | KUOA HADI PALE UTAKAPOAMUA KUKUBALIANA NA HALI HALISI
Ndoa si ya kila mtu Ndugu zangu, kama bado hujajiandaa kiakili, kimwili na kitabia.
Ukijiona Bado Una hizi Tabia hapa Chini, Basi Usioe | Usivute Jiko
🚩 Una hasira...
Usimamizi mmbaya wa rasilimali.
Ipo wazi vile vitu vinavyotakiwa vituingizie faida katika nchi nakukuza uchumi wetu havisimamiwi vizuri!. Ni aibu soko la tanzanite kutawaliwa na nchi nyengine ikiwa sisi ndio wazalishaji pekee duniani.
Uongozi butu!.
Kwa takribani miaka yote ya uhuru wetu...
Wakanisa walikuwa kila kukicha wanamzulia Mtume Muhammad eti alimuowa bi Aisha ana miaka 6, na hao viongozi wa hayo mataifa walio mzulia Mtume Muhammad.
Mwenyezi Mungu alishatoa ahadi anaye mzulia Mtume Muhammad uwongo atamdhalilisha hapa Duniani na Akhera. Sa Wakristo tuambieni USA ni taifa la...
1. Usile wanga
2. Usioe single mother
3. Unaweza anza biashara bila hata mtaji
4. Usioe asiye bikra
5. Usioe mwanamke mwenye miaka 30+
6. Usipeleke mtoto A - level.. mpeleke chuo.
ONGEZEA ZINGINE
Habarini za Muda Huu Wana JF
Nissan Dualis Imepatwa na Nini Huko mbona Zinauzwa sana hizi Gari watu hawakai Nazo ..
Hebu tupeni uzoefu wa Mliotumia Hizi Gari, Changamoto zake ni kiasi kwamba mtu hakai nazo au Zinapendwa sana
Jana nimetumia ukurasa huu kulipongeza Jeshi la Polisi wilayani bunda kwa operation iliyofanyika majuzi ambayo ilifanikisha kukamatwa kwa wahalifu watatu waliokuwa wakikabiliwa na tuhuma nyingi za uhalifu.
Hao ni sehemu ndogo tu ya wahalifu ambapo kwa makisio ya haraka 90% ya vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.