ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,796
- 60,635
Hivi siku hizi imekaaje kwenye mahusiano?
Mnakutana, mnazoeana haraka, mnachat sana, ndani ya muda mfupi tayari mpo relationship. Baada ya hapo mkifanya mapenzi mara ya kwanza tu, ghafla kila mtu anaanza kupotea kimya kimya. Hakuna ugomvi mkubwa, hakuna drama hata… unaona tu mawasiliano yamepungua, mwisho mnabaki kutumiana reels za Instagram mara moja moja kama marafiki wa mbali
Kinachonishangaza zaidi ni namna watu siku hizi hawaonekani kuumia sana kama zamani. Mtu ameachana leo, kesho anaendelea na maisha kawaida kabisa. Akitokea mwingine wa kumtongoza anaingia line tena fasta bila hata stress .
Hii imekaaje kweli?Je, wanaume wamekuwa wajanja sana kwenye kucheza na feelings za watu?
Au na wanawake pia wameingia kwenye mfumo wa onja onja mtu anaamua kuenjoy moment bila kuweka moyo wake wote kwenye relationship?
Maana kuna scenarios nyingine hata hela hujaombwa, hakuna kudanganyana sana, mnaenjoy muda kidogo pamoja halafu kila mtu anasepa zake kimya kimya .Naona kama kizazi cha sasa kinaingia kwenye mahusiano kwa mindset tofauti kabisa siku hizi watu wanaangalia zaidi experience kuliko commitment
Nyinyi mnaonaje? Hii ni evolution ya mahusiano ya kisasa au watu wamekuwa wagumu kuweka hisia za kweli?
Mnakutana, mnazoeana haraka, mnachat sana, ndani ya muda mfupi tayari mpo relationship. Baada ya hapo mkifanya mapenzi mara ya kwanza tu, ghafla kila mtu anaanza kupotea kimya kimya. Hakuna ugomvi mkubwa, hakuna drama hata… unaona tu mawasiliano yamepungua, mwisho mnabaki kutumiana reels za Instagram mara moja moja kama marafiki wa mbali
Kinachonishangaza zaidi ni namna watu siku hizi hawaonekani kuumia sana kama zamani. Mtu ameachana leo, kesho anaendelea na maisha kawaida kabisa. Akitokea mwingine wa kumtongoza anaingia line tena fasta bila hata stress .
Hii imekaaje kweli?Je, wanaume wamekuwa wajanja sana kwenye kucheza na feelings za watu?
Au na wanawake pia wameingia kwenye mfumo wa onja onja mtu anaamua kuenjoy moment bila kuweka moyo wake wote kwenye relationship?
Maana kuna scenarios nyingine hata hela hujaombwa, hakuna kudanganyana sana, mnaenjoy muda kidogo pamoja halafu kila mtu anasepa zake kimya kimya .Naona kama kizazi cha sasa kinaingia kwenye mahusiano kwa mindset tofauti kabisa siku hizi watu wanaangalia zaidi experience kuliko commitment
Nyinyi mnaonaje? Hii ni evolution ya mahusiano ya kisasa au watu wamekuwa wagumu kuweka hisia za kweli?