USIZIME MOTO WA GESI, MAFUTA AU UMEME KWA KUTUMIA MAJI!
Maji yanaweza kusababisha hatari kubwa kama mshtuko wa umeme au mlipuko wa gesi!
Tumia dry chemical powder fire extinguisher (ABC) au fire extinguisher inayofaa!
Usalama kwanza, jifunze njia sahihi ya kuzima moto...
Wakuu hivi zile pikipiki aina ya boxer bm150 gear 4 kweli zimezuiliwa nchini au ni story za watu wenye experienc mje mtoe ushuhuda na je zile bm150 gear 4 zilikua balaa kuzidi izi boxer HD 125 na HD 150 za sasa
Wakuu,
Jana Netflix walitangaza kwamba movie au animation ya "K Pop Demon Hunters" ndio movie ambayo imeangaliwa zaidi Netflix.
Hiyo filamu iliingia sokoni mwezi Juni na kufikia sasa imeshatazamwa zaidi ya mara Milioni 236 ambapo inakuwa ndio filamu (sio series) iliyotazamwa zaidi Netflix...
Angalia nyuzi. Ni Jersey za Simba hivi , jersey za Simba vile. Yanga tumezindua lakini nyuzi nyingi ni abt Simba. Why? Kwa nini? Nasi Yanga ndo tumekazana kuzi promote jersey za Simba. Mara zimevuja, mara zimefanyaje sijui....
Katika forum nyuzi 10 za sportz 7 ni kuhusu Simba. Iwe kwa mabaya...
1. Uandaaji wa logo ya kampuni, biashara au huduma, lebo za bidhaa mbalimbali na muonekano wa vifungashio.
2. Uandaaji wa matangazo ya aina mbali mbali kwa ajili ya huduma, bidhaa au biashara yako.
3. Uandaaji wa tovuti kwa ajili ya biashara, huduma au bidhaa ulizo nazo.
4. Uandaaji na usimamizi...
1: Viongozi wa Dhehebu hilo kukosolewa, kutukanwa, kubezwa na kukejeliwa. Kutokana na maonyo na ushauri wao kwa Serikali kwa ajili ya haki na amani ya nchi yetu.
2: Kutokea maamuzi ya ajabu ajabu nchini ili mradi watu wanakula mema ya nchi huku wengine wakililia haki na amani.
3: Wenye viburi...
🔎 Unapowekeza kwenye hisa za benki, kuna vipengele vingi vya kuzingatia. Lakini kwa mwekezaji makini, kuna ratio mbili muhimu zinazopima ubora wa biashara ya benki:
1️⃣ NPL – Non Performing Loans (Mikopo Chechefu)
Hii hupima ubora wa mikopo inayotolewa na benki. Kadri kiwango kinavyokuwa chini...
Umekuwa huku, umekuwa kule:
Umekuwa ni mstaafu asiyestaafu?
Kwamba chaguzi zimekuwa zikiibiwa chini ya uangalizi wenu! Kwa hakika wewe na CCM kwa ujumla wenu mmetukosea sana.
Angalia ya stadium Mkapa na Morocco, yanakupa furaha gani wewe?
Nyerere alikuwa huyu:
Mheshimiwa, kumbe wewe...
Wakuu,
Nadhani wote tunajua kuwa sasa hivi Bongo FLeva haisikilizwa Tanzania pekee.
Kuna watu kutokea pande mbalimbali za dunia wako busy kweli kusikiliza muziki wetu.
Nimeona tujikumbushe ngoma za Kibongo ambazo wakati zinatoka hazikuhit tu Tanzania bali zilienda kusumbua hata huko duniani...
Mh Rais Leo Kuna habari mitandaoni Kuna kijana kutoka mkoa wa geita mwimba nyimbo za injili ametekwa baada ya kutoa nyimbo iliyowauzi nyinyi watawala
Je Mh Rais Hawa watanzania unao IKULU?
1: RAIS
2: WAZIRI MKUU
3: WAZIRI WA HABARI/MAWASILIANO
4: SPEAKER WA BUNGE
5: WAZIRI WA UTAMADUNI/SANAA/MICHEZO
6: MKUU WA T.I.S.S
7: IGP
8: WAZIRI WA FEDHA
9: MSHAURI WA RAIS
10: WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII
Hizi ni power tools muhimu ambazo fundi wa ujenzi wa nyumba anashauriwa awe nazo kwa kazi kuwa rahisi, haraka na bora:
1. Drill Machine (Choropoa) – Kwa kuchimba kuta, mbao, nondo n.k.
2. Angle Grinder (Grinda) – Kukata chuma, bati, tiles, mawe n.k.
3. Cutting Machine (Circular Saw) –...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.