Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 10,415
- 17,713
pamoja na upotoshaji mwingi unaofanywa na communists na muslims khs sababu za ujio wa Christians barani Afrika, lkn sababu KUU ilikuwa ni ku-push back on islam conquest of the continent.
ikumbukwe kwamba there's no way afrika ingebakia neutral hivyo ilikuwa ni aidha iende islamic yote kuanzia rasi ya tumaini jema (cape good hope) south afrika mpaka cairo au Christians waingilie kuzuia.
muslims conquest of north afrika mpaka west afrika tayari ilivamiwa na majeshi ya islam na kugeuzwa islamic, hakuna ambacho kingezuia majeshi ya islam kuchukua bara lote kama Christians wasingekuja na push back on islam ...
ikumbukwe kwamba there's no way afrika ingebakia neutral hivyo ilikuwa ni aidha iende islamic yote kuanzia rasi ya tumaini jema (cape good hope) south afrika mpaka cairo au Christians waingilie kuzuia.
muslims conquest of north afrika mpaka west afrika tayari ilivamiwa na majeshi ya islam na kugeuzwa islamic, hakuna ambacho kingezuia majeshi ya islam kuchukua bara lote kama Christians wasingekuja na push back on islam ...