fact only
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,825
- 2,849
Hellow wana JF.
Nimeweka video hapo chini.👇👇
Watu wanamaumivu makali, watu wanauchungu mkubwa, watu wamekata tamaa kabisa, watu wamechanganyikiwa, watu wana vidonda vya moyo visivyo kauka, watu wana msongo wa mawazo, watu wameingiwa na ushangingi wakudumu.
Ila Ninacho hitaji kusema hapa Wanawake/wanaume wazuri bado wapo.
"NDOA SIO JAMBO BAYA"
NDOA inakuwa mbaya kama ukiangukia mikono mwa Mwanaume/mwanamke Shangingi.
Nimeweka video hapo chini.👇👇
Watu wanamaumivu makali, watu wanauchungu mkubwa, watu wamekata tamaa kabisa, watu wamechanganyikiwa, watu wana vidonda vya moyo visivyo kauka, watu wana msongo wa mawazo, watu wameingiwa na ushangingi wakudumu.
Ila Ninacho hitaji kusema hapa Wanawake/wanaume wazuri bado wapo.
"NDOA SIO JAMBO BAYA"
NDOA inakuwa mbaya kama ukiangukia mikono mwa Mwanaume/mwanamke Shangingi.