Elon Musk kaposti hii!

Elon Musk kaposti hii!

una ushahidi kwamba E.Musk ni “anti black” (whatever that means) ? btw usiwaweke black people kundi moja na muslims, hatuko pamoja wala hatuna same struggle, struggle za muslims hazituhusu …
Look no further than his crazy tweets and retweets
 
Look no further than his crazy tweets and retweets

sijawahi kuona tweet yake ilionyesha kwamba ni “antiblack” kwanza starlink yake ina-invest south afrika na sadc millions of usd hata tesla walikuwa tayari ku-invest in southern afrika (sadc) …
 
Uwezo ninaouona kwa watu kama huyu.
Leo hii akisema hamtaki muuaji wa waTanzania, kesho kutwa tunamsahau huyo shetani wetu.

Hivyo vyombo vyake anavyovimiliki vitakuja kuwa majanga au neema kwa baadhi akitaka kuvitumia.

Sasa hata Ukraine wanamwomba awasaidie wawatwange warusi kule ndani kwa ndani zaidi kwa msaada wa vyombo vyake.
Na 'Grok'; akili unde yake ndiyo kwanza inaunda vitu ambavyo hatujui vitamsaidia au kumuumiza binaadam kiasi gani huko mbele ya safari!
 
So racist wafuate utaratibu kuingia nchi za watu
Elon Musk ana shida na blacks na Arabs/Muslim zaidi.
Black au Muslim akifanya uhalifu atashikia bango Hilo tukio mpaka mishipa imtoke, mzungu hata akifanya ugaidi wa mass shootings hazungumzii kabisa.
 
Elon Musk ana shida na blacks na Arabs/Muslim zaidi.
Black au Muslim akifanya uhalifu atashikia bango Hilo tukio mpaka mishipa imtoke, mzungu hata akifanya ugaidi wa mass shootings hazungumzii kabisa.
Sina uhakika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom