Huu ndo uwe Msingi mkuu wa Maridhiano

Huu ndo uwe Msingi mkuu wa Maridhiano

iMind

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
3,206
Reaction score
5,439
Wadau, nimeona maoni ya wadau mbalimbali kuhusu kile kinachoitwa Maridhiano, wengine wakipinga, wengine wakiyaunga mkono na kila kundi likitoa sababu zake. Nimeona CHADEMA wametoa Masharti ya awali (pre conditions) kama 3 za Maridhiano

1. Mwenyekiti Lissu Aachiwe huru pamoja na wafungwa wote wa kisiasa
2. Msuluhuhishi huru
3. Katiba mpya.

Mimi siyo mwana siasa, ila nadhani kuna haja ya kuboresha hizi hoja ili ziwe na mashiko na kuleta maana. Kwanza napendekeza kugawanya hoja katika makundi matatu na nadhani ni vyema kutofautisha haya makundi ya hoja.

1. Kwa nini Maridhiano? Sababu inayo lazimisha kuwepo na maridhiano ni ipi?
2. Masharti ya Awali (Pre conditions)
3. Matarajio (Expected Results/Delivarables)

Tuanze na namba 1. Kwa nini Maridhiano.

Inafahamika kuwa maridhiano hayako kikatiba, wala si sehemu ya uchaguzi. Hakuna mahali ambapo imeandikwa kuwa Watanzabia wakitoka kwenye uchaguzi utafuatiwa na maridhiano.

Kwa mtazamo wango tunahitaji maridhiano kwa sababu Uchaguzi ulivurugika. Hii ndo hoja ya msingi kwa nini tunahitaji maridhiano. Kama uchaguzi usinge vurugika tusinge hitaji maridhiano.

Tunahitaji maridhiano kwa sababu uongozi ulipo haukuingia madarakani kihalali hivyo kufanya uwe haramu.

2. Masharti ya awali.
Kama nilivyo eleza hapo juu masharti ya msingi kabla ya kuanza maridhiano yanatakiwa yawe yafuatayo

1. CCM kukiri kwamba uchaguzi ulivurugika na hivyo kuna haja ya kuandaa uchaguzi upya. Hatu hitaji kuwa na maridhiano kama uchaguzi ungekwenda vizuri.

2. Kuwe na msuhulishi huru. Maridhiano yoyote lazima yawe na msuhuhishi ambaye hatokani na pande zinazotofautiana.

3. Kuwe na muda maalumu (fixed time frame). Hii itaepusha CCM kurefusha maridhiano ili kuvuta muda hadi miaka 5 iishe. Hivyo kabla ya kuingia na kuanza maridhiano lazima kuwe na muda uliokubaliwa kwamba maridhiano hayatazidi miezi kadhaa.

4. Kuwaachia huru wafungwa na mahabusu wote wa kisiasa.

3. Matarajio ya maridhiano.

Matarajio ni mambo ambayo tunategemea kuyapata kama zao la maridhiano. Haya ni baadhi ya matarijio.

1. Kwa kuwa serikali iliyopo madarakani haikuingia kwa njia ambayo ni halali baada ya kuvurugikakwa uchaguzi, hivyo matarajio ya maridhiano ni moja kati ha haya:
a. Kuipa ridhaa(uhalali) serikali kuendelea kwa muda uliobakia
b. Kuunda serikali ya mpito

2. Kukubaliana jinsi ya kuandaa na kutekeleza mchakato wa katiba mpya na mabadiliko ys sheria za uchaguzi.
3. Kukubaliana tarehe na jinsi ya kurudia uchaguzi.
4. Makubaliano ya jinsi ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wale wote walioendesha na kutekeleza vitendo vya utekaji, uuwaji, waliosababisha kuvurugika uchaguzi, na walio endesha mauaji kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Hivyo basi

Ni muhimu kwa CHADEMA kwa niaba ya wananchi kuandaa Hati ya Majadiliano, Memorundum of Negotiation itakayo eleza haya mambo niliyosema hapa pamoja na mengine kwa upana wake na kuwasilisha kwa msuhuhishi huru atakae teuliwa na kukubaliwa na pande zote.

Kuhusu upatikanaji wa Msuhuhishi huru.

Serikali iwaandikie Commonwealth au SADC kuomba kupatiwa mpatanishi.

Hivyo CHADEMA kwa sasa hasiseme hawaingii kwenye mariadhino ila, waseme wako tayari kwa maridhiano iwapo hati ya majadaliano itajumuishwa haya mambo niliyo pendekeza.
 
4. MASHARTI NA MUDA MAALUMU KUTOKA COMMONWEALTH CMAG(The Ultimatum)

Kutokana na mapendekezo ya Mjumbe Maalum, CMAG imetoa maelekezo yenye ukomo wa muda (Time-bound actions) kwa Tanzania:

Ndani ya Siku 30: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.

Ndani ya Siku 60: Kurejesha upatikanaji kamili wa mitandao ya kijamii na kuacha vitisho dhidi ya vyombo vya habari na watetezi wa uhuru wa kujieleza.

Ndani ya Siku 90: Kuitisha jukwaa shirikishi na la kuaminika la vyama vya siasa (likiongozwa na mwezeshaji huru) kujadili mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, wafungwa, na uwajibikaji.

Bila Kuchelewa: Kuanza uchunguzi huru wa makosa ya jinai uliopendekezwa na Tume ya Uchunguzi, pamoja na fidia kwa wahanga.

MWISHO WA UBAYA NI AIBU
 
Wadau, nimeona maoni ya wadau mbalimbali kuhusu kile kinachoitwa Maridhiano, wengine wakipinga, wengine wakiyaunga mkono na kila kundi likitoa sababu zake. Nimeona CHADEMA wametoa Masharti ya awali (pre conditions) kama 3 za Maridhiano

1. Mwenyekiti Lissu Aachiwe huru pamoja na wafungwa wote wa kisiasa
2. Msuluhuhishi huru
3. Katiba mpya.

Mimi siyo mwana siasa, ila nadhani kuna haja ya kuboresha hizi hoja ili ziwe na mashiko na kuleta maana. Kwanza napendekeza kugawanya hoja katika makundi matatu na nadhani ni vyema kutofautisha haya makundi ya hoja.

1. Kwa nini Maridhiano? Sababu inayo lazimisha kuwepo na maridhiano ni ipi?
2. Masharti ya Awali (Pre conditions)
3. Matarajio (Expected Results/Delivarables)

Tuanze na namba 1. Kwa nini Maridhiano.

Inafahamika kuwa maridhiano hayako kikatiba, wala si sehemu ya uchaguzi. Hakuna mahali ambapo imeandikwa kuwa Watanzabia wakitoka kwenye uchaguzi utafuatiwa na maridhiano.

Kwa mtazamo wango tunahitaji maridhiano kwa sababu Uchaguzi ulivurugika. Hii ndo hoja ya msingi kwa nini tunahitaji maridhiano. Kama uchaguzi usinge vurugika tusinge hitaji maridhiano.

Tunahitaji maridhiano kwa sababu uongozi ulipo haukuingia madarakani kihalali hivyo kufanya uwe haramu.

2. Masharti ya awali.
Kama nilivyo eleza hapo juu masharti ya msingi kabla ya kuanza maridhiano yanatakiwa yawe yafuatayo

1. CCM kukiri kwamba uchaguzi ulivurugika na hivyo kuna haja ya kuandaa uchaguzi upya. Hatu hitaji kuwa na maridhiano kama uchaguzi ungekwenda vizuri.

2. Kuwe na msuhulishi huru. Maridhiano yoyote lazima yawe na msuhuhishi ambaye hatokani na pande zinazotofautiana.

3. Kuwe na muda maalumu (fixed time frame). Hii itaepusha CCM kurefusha maridhiano ili kuvuta muda hadi miaka 5 iishe. Hivyo kabla ya kuingia na kuanza maridhiano lazima kuwe na muda uliokubaliwa kwamba maridhiano hayatazidi miezi kadhaa.

4. Kuwaachia huru wafungwa na mahabusu wote wa kisiasa.

3. Matarajio ya maridhiano.

Matarajio ni mambo ambayo tunategemea kuyapata kama zao la maridhiano. Haya ni baadhi ya matarijio.

1. Kwa kuwa serikali iliyopo madarakani haikuingia kwa njia ambayo ni halali baada ya kuvurugikakwa uchaguzi, hivyo matarajio ya maridhiano ni moja kati ha haya:
a. Kuipa ridhaa(uhalali) serikali kuendelea kwa muda uliobakia
b. Kuunda serikali ya mpito

2. Kukubaliana jinsi ya kuandaa na kutekeleza mchakato wa katiba mpya na mabadiliko ys sheria za uchaguzi.
3. Kukubaliana tarehe na jinsi ya kurudia uchaguzi.
4. Makubaliano ya jinsi ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wale wote walioendesha na kutekeleza vitendo vya utekaji, uuwaji, waliosababisha kuvurugika uchaguzi, na walio endesha mauaji kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Hivyo basi

Ni muhimu kwa CHADEMA kwa niaba ya wananchi kuandaa Hati ya Majadiliano, Memorundum of Negotiation itakayo eleza haya mambo niliyosema hapa pamoja na mengine kwa upana wake na kuwasilisha kwa msuhuhishi huru atakae teuliwa na kukubaliwa na pande zote.

Kuhusu upatikanaji wa Msuhuhishi huru.

Serikali iwaandikie Commonwealth au SADC kuomba kupatiwa mpatanishi.

Hivyo CHADEMA kwa sasa hasiseme hawaingii kwenye mariadhino ila.
Una mchango mzuri japo ungeongeza kuhusu kuwajibika na kuchukuliwa hatua za kisheria kwa wale wote walioua au kubaka kabla, wakati na baada ya uchaguzi. Kna wanawake wengi walibakwa na polisi kwenye vurugu za 29/10.
 
Wadau, nimeona maoni ya wadau mbalimbali kuhusu kile kinachoitwa Maridhiano, wengine wakipinga, wengine wakiyaunga mkono na kila kundi likitoa sababu zake. Nimeona CHADEMA wametoa Masharti ya awali (pre conditions) kama 3 za Maridhiano

1. Mwenyekiti Lissu Aachiwe huru pamoja na wafungwa wote wa kisiasa
2. Msuluhuhishi huru
3. Katiba mpya.

Mimi siyo mwana siasa, ila nadhani kuna haja ya kuboresha hizi hoja ili ziwe na mashiko na kuleta maana. Kwanza napendekeza kugawanya hoja katika makundi matatu na nadhani ni vyema kutofautisha haya makundi ya hoja.

1. Kwa nini Maridhiano? Sababu inayo lazimisha kuwepo na maridhiano ni ipi?
2. Masharti ya Awali (Pre conditions)
3. Matarajio (Expected Results/Delivarables)

Tuanze na namba 1. Kwa nini Maridhiano.

Inafahamika kuwa maridhiano hayako kikatiba, wala si sehemu ya uchaguzi. Hakuna mahali ambapo imeandikwa kuwa Watanzabia wakitoka kwenye uchaguzi utafuatiwa na maridhiano.

Kwa mtazamo wango tunahitaji maridhiano kwa sababu Uchaguzi ulivurugika. Hii ndo hoja ya msingi kwa nini tunahitaji maridhiano. Kama uchaguzi usinge vurugika tusinge hitaji maridhiano.

Tunahitaji maridhiano kwa sababu uongozi ulipo haukuingia madarakani kihalali hivyo kufanya uwe haramu.

2. Masharti ya awali.
Kama nilivyo eleza hapo juu masharti ya msingi kabla ya kuanza maridhiano yanatakiwa yawe yafuatayo

1. CCM kukiri kwamba uchaguzi ulivurugika na hivyo kuna haja ya kuandaa uchaguzi upya. Hatu hitaji kuwa na maridhiano kama uchaguzi ungekwenda vizuri.

2. Kuwe na msuhulishi huru. Maridhiano yoyote lazima yawe na msuhuhishi ambaye hatokani na pande zinazotofautiana.

3. Kuwe na muda maalumu (fixed time frame). Hii itaepusha CCM kurefusha maridhiano ili kuvuta muda hadi miaka 5 iishe. Hivyo kabla ya kuingia na kuanza maridhiano lazima kuwe na muda uliokubaliwa kwamba maridhiano hayatazidi miezi kadhaa.

4. Kuwaachia huru wafungwa na mahabusu wote wa kisiasa.

3. Matarajio ya maridhiano.

Matarajio ni mambo ambayo tunategemea kuyapata kama zao la maridhiano. Haya ni baadhi ya matarijio.

1. Kwa kuwa serikali iliyopo madarakani haikuingia kwa njia ambayo ni halali baada ya kuvurugikakwa uchaguzi, hivyo matarajio ya maridhiano ni moja kati ha haya:
a. Kuipa ridhaa(uhalali) serikali kuendelea kwa muda uliobakia
b. Kuunda serikali ya mpito

2. Kukubaliana jinsi ya kuandaa na kutekeleza mchakato wa katiba mpya na mabadiliko ys sheria za uchaguzi.
3. Kukubaliana tarehe na jinsi ya kurudia uchaguzi.
4. Makubaliano ya jinsi ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wale wote walioendesha na kutekeleza vitendo vya utekaji, uuwaji, waliosababisha kuvurugika uchaguzi, na walio endesha mauaji kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Hivyo basi

Ni muhimu kwa CHADEMA kwa niaba ya wananchi kuandaa Hati ya Majadiliano, Memorundum of Negotiation itakayo eleza haya mambo niliyosema hapa pamoja na mengine kwa upana wake na kuwasilisha kwa msuhuhishi huru atakae teuliwa na kukubaliwa na pande zote.

Kuhusu upatikanaji wa Msuhuhishi huru.

Serikali iwaandikie Commonwealth au SADC kuomba kupatiwa mpatanishi.

Hivyo CHADEMA kwa sasa hasiseme hawaingii kwenye mariadhino ila.
Maoni Yako na Yaheshimiwe!
 
Wadau, nimeona maoni ya wadau mbalimbali kuhusu kile kinachoitwa Maridhiano, wengine wakipinga, wengine wakiyaunga mkono na kila kundi likitoa sababu zake. Nimeona CHADEMA wametoa Masharti ya awali (pre conditions) kama 3 za Maridhiano

1. Mwenyekiti Lissu Aachiwe huru pamoja na wafungwa wote wa kisiasa
2. Msuluhuhishi huru
3. Katiba mpya.

Mimi siyo mwana siasa, ila nadhani kuna haja ya kuboresha hizi hoja ili ziwe na mashiko na kuleta maana. Kwanza napendekeza kugawanya hoja katika makundi matatu na nadhani ni vyema kutofautisha haya makundi ya hoja.

1. Kwa nini Maridhiano? Sababu inayo lazimisha kuwepo na maridhiano ni ipi?
2. Masharti ya Awali (Pre conditions)
3. Matarajio (Expected Results/Delivarables)

Tuanze na namba 1. Kwa nini Maridhiano.

Inafahamika kuwa maridhiano hayako kikatiba, wala si sehemu ya uchaguzi. Hakuna mahali ambapo imeandikwa kuwa Watanzabia wakitoka kwenye uchaguzi utafuatiwa na maridhiano.

Kwa mtazamo wango tunahitaji maridhiano kwa sababu Uchaguzi ulivurugika. Hii ndo hoja ya msingi kwa nini tunahitaji maridhiano. Kama uchaguzi usinge vurugika tusinge hitaji maridhiano.

Tunahitaji maridhiano kwa sababu uongozi ulipo haukuingia madarakani kihalali hivyo kufanya uwe haramu.

2. Masharti ya awali.
Kama nilivyo eleza hapo juu masharti ya msingi kabla ya kuanza maridhiano yanatakiwa yawe yafuatayo

1. CCM kukiri kwamba uchaguzi ulivurugika na hivyo kuna haja ya kuandaa uchaguzi upya. Hatu hitaji kuwa na maridhiano kama uchaguzi ungekwenda vizuri.

2. Kuwe na msuhulishi huru. Maridhiano yoyote lazima yawe na msuhuhishi ambaye hatokani na pande zinazotofautiana.

3. Kuwe na muda maalumu (fixed time frame). Hii itaepusha CCM kurefusha maridhiano ili kuvuta muda hadi miaka 5 iishe. Hivyo kabla ya kuingia na kuanza maridhiano lazima kuwe na muda uliokubaliwa kwamba maridhiano hayatazidi miezi kadhaa.

4. Kuwaachia huru wafungwa na mahabusu wote wa kisiasa.

3. Matarajio ya maridhiano.

Matarajio ni mambo ambayo tunategemea kuyapata kama zao la maridhiano. Haya ni baadhi ya matarijio.

1. Kwa kuwa serikali iliyopo madarakani haikuingia kwa njia ambayo ni halali baada ya kuvurugikakwa uchaguzi, hivyo matarajio ya maridhiano ni moja kati ha haya:
a. Kuipa ridhaa(uhalali) serikali kuendelea kwa muda uliobakia
b. Kuunda serikali ya mpito

2. Kukubaliana jinsi ya kuandaa na kutekeleza mchakato wa katiba mpya na mabadiliko ys sheria za uchaguzi.
3. Kukubaliana tarehe na jinsi ya kurudia uchaguzi.
4. Makubaliano ya jinsi ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wale wote walioendesha na kutekeleza vitendo vya utekaji, uuwaji, waliosababisha kuvurugika uchaguzi, na walio endesha mauaji kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Hivyo basi

Ni muhimu kwa CHADEMA kwa niaba ya wananchi kuandaa Hati ya Majadiliano, Memorundum of Negotiation itakayo eleza haya mambo niliyosema hapa pamoja na mengine kwa upana wake na kuwasilisha kwa msuhuhishi huru atakae teuliwa na kukubaliwa na pande zote.

Kuhusu upatikanaji wa Msuhuhishi huru.

Serikali iwaandikie Commonwealth au SADC kuomba kupatiwa mpatanishi.

Hivyo CHADEMA kwa sasa hasiseme hawaingii kwenye mariadhino ila, waseme wako tayari kwa maridhiano iwapo hati ya majadaliano itajumuishwa haya mambo niliyo pendekeza.
Nimeipenda hii
 
Wadau, nimeona maoni ya wadau mbalimbali kuhusu kile kinachoitwa Maridhiano, wengine wakipinga, wengine wakiyaunga mkono na kila kundi likitoa sababu zake. Nimeona CHADEMA wametoa Masharti ya awali (pre conditions) kama 3 za Maridhiano

1. Mwenyekiti Lissu Aachiwe huru pamoja na wafungwa wote wa kisiasa
2. Msuluhuhishi huru
3. Katiba mpya.

Mimi siyo mwana siasa, ila nadhani kuna haja ya kuboresha hizi hoja ili ziwe na mashiko na kuleta maana. Kwanza napendekeza kugawanya hoja katika makundi matatu na nadhani ni vyema kutofautisha haya makundi ya hoja.

1. Kwa nini Maridhiano? Sababu inayo lazimisha kuwepo na maridhiano ni ipi?
2. Masharti ya Awali (Pre conditions)
3. Matarajio (Expected Results/Delivarables)

Tuanze na namba 1. Kwa nini Maridhiano.

Inafahamika kuwa maridhiano hayako kikatiba, wala si sehemu ya uchaguzi. Hakuna mahali ambapo imeandikwa kuwa Watanzabia wakitoka kwenye uchaguzi utafuatiwa na maridhiano.

Kwa mtazamo wango tunahitaji maridhiano kwa sababu Uchaguzi ulivurugika. Hii ndo hoja ya msingi kwa nini tunahitaji maridhiano. Kama uchaguzi usinge vurugika tusinge hitaji maridhiano.

Tunahitaji maridhiano kwa sababu uongozi ulipo haukuingia madarakani kihalali hivyo kufanya uwe haramu.

2. Masharti ya awali.
Kama nilivyo eleza hapo juu masharti ya msingi kabla ya kuanza maridhiano yanatakiwa yawe yafuatayo

1. CCM kukiri kwamba uchaguzi ulivurugika na hivyo kuna haja ya kuandaa uchaguzi upya. Hatu hitaji kuwa na maridhiano kama uchaguzi ungekwenda vizuri.

2. Kuwe na msuhulishi huru. Maridhiano yoyote lazima yawe na msuhuhishi ambaye hatokani na pande zinazotofautiana.

3. Kuwe na muda maalumu (fixed time frame). Hii itaepusha CCM kurefusha maridhiano ili kuvuta muda hadi miaka 5 iishe. Hivyo kabla ya kuingia na kuanza maridhiano lazima kuwe na muda uliokubaliwa kwamba maridhiano hayatazidi miezi kadhaa.

4. Kuwaachia huru wafungwa na mahabusu wote wa kisiasa.

3. Matarajio ya maridhiano.

Matarajio ni mambo ambayo tunategemea kuyapata kama zao la maridhiano. Haya ni baadhi ya matarijio.

1. Kwa kuwa serikali iliyopo madarakani haikuingia kwa njia ambayo ni halali baada ya kuvurugikakwa uchaguzi, hivyo matarajio ya maridhiano ni moja kati ha haya:
a. Kuipa ridhaa(uhalali) serikali kuendelea kwa muda uliobakia
b. Kuunda serikali ya mpito

2. Kukubaliana jinsi ya kuandaa na kutekeleza mchakato wa katiba mpya na mabadiliko ys sheria za uchaguzi.
3. Kukubaliana tarehe na jinsi ya kurudia uchaguzi.
4. Makubaliano ya jinsi ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wale wote walioendesha na kutekeleza vitendo vya utekaji, uuwaji, waliosababisha kuvurugika uchaguzi, na walio endesha mauaji kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Hivyo basi

Ni muhimu kwa CHADEMA kwa niaba ya wananchi kuandaa Hati ya Majadiliano, Memorundum of Negotiation itakayo eleza haya mambo niliyosema hapa pamoja na mengine kwa upana wake na kuwasilisha kwa msuhuhishi huru atakae teuliwa na kukubaliwa na pande zote.

Kuhusu upatikanaji wa Msuhuhishi huru.

Serikali iwaandikie Commonwealth au SADC kuomba kupatiwa mpatanishi.

Hivyo CHADEMA kwa sasa hasiseme hawaingii kwenye mariadhino ila, waseme wako tayari kwa maridhiano iwapo hati ya majadaliano itajumuishwa haya mambo niliyo pendekeza.
Mapendekezo maridhawa.
 
Nafikiri kuna haja ya kuboresha hiyo namba moja ya kwanini kuwe na maridhiano. Siamini kwamba haya yametokana tu na uchaguzi wa 2025.

Matatizo yamekuwepo kwa muda na wadau wamekuwa wakitaka kufanyika kwa maridhiano.

Pia, kwangu mimi suala sio siasa pekee, ingawa siasa ndiyo kiini lakini huku mtaani tuna mazonge mengi ya raia huku raslimali zikiporwa na hakuna kinachoendelea.
 
Unahoja nzito..Namimi nikuulize. Ikitokea maridhiano hajafanyika. (1)Je, unawashauri CHADEMA kushiriki kuandaa KATIBA MPYA.? ikitokea uchaguzi ukaludiwa. (2)Je, unawashauri CHADEMA washiriki kwenye huo uchaguzi? Kwanini.
 
Unahoja nzito..Namimi nikuulize. Ikitokea maridhiano hajafanyika. (1)Je, unawashauri CHADEMA kushiriki kuandaa KATIBA MPYA.? ikitokea uchaguzi ukaludiwa. (2)Je, unawashauri CHADEMA washiriki kwenye huo uchaguzi? Kwanini.
Kukiwa na msuhuishi huru bila shaka watafikia makubaliano.
1. Ikitokea maeidhiano hayajafanyika Samia ataebdelea kupeta hadi 2030 kwa kusaidiwa na nguvu ya dola.
2. Itategenea uchaguzi unafanyika kwenye mazingira yapi.

Lakini ijulikane wazi kuwa bila naridhiano hatuwezi kutoka katika huu mtanziko.
 
4. MASHARTI NA MUDA MAALUMU KUTOKA COMMONWEALTH CMAG(The Ultimatum)

Kutokana na mapendekezo ya Mjumbe Maalum, CMAG imetoa maelekezo yenye ukomo wa muda (Time-bound actions) kwa Tanzania:

Ndani ya Siku 30: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.

Ndani ya Siku 60: Kurejesha upatikanaji kamili wa mitandao ya kijamii na kuacha vitisho dhidi ya vyombo vya habari na watetezi wa uhuru wa kujieleza.

Ndani ya Siku 90: Kuitisha jukwaa shirikishi na la kuaminika la vyama vya siasa (likiongozwa na mwezeshaji huru) kujadili mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, wafungwa, na uwajibikaji.

Bila Kuchelewa: Kuanza uchunguzi huru wa makosa ya jinai uliopendekezwa na Tume ya Uchunguzi, pamoja na fidia kwa wahanga.

MWISHO WA UBAYA NI AIBU
Ngumu
 
Maridhiano bila Serikali ya Mateo hamna maridhiano Polepole alisema baada ya Uchaguzi hamna maridhiano
 
Back
Top Bottom