konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,666
- 8,501
Unajua kuna fursa nzuri sana ya kupiga hela nyingi sana na kukufanya kuwa famous kwa muda mfupi kama nchi yetu ingekuwa haina mambo ya kishamba. Nayaita mambo ya kishamba kwa sababu dunia imebadirika sana lakini nchi yetu haitaki kubadirika. Kuna vitu kwa nchi zingine ni vya kawaida sana lakini hapa vinaonekana ni taboo. Yaani kuna vitu ni sehemu ya maisha na vinafanyika, na hata hao wanaovizuia visifanyike wanavifanya lakini ku-acknowledge kuwa wakati ni ukuta ukipingana nao utaumia mwenyewe hawataki.
Kuna wazo moja limeniijia kichwani na ni wazo zuri sana la kutengeneza hela na yeyote atakayeweza kuliweka in practice lazima aogelee hela mpaka azichoke.
Kuna series moja kutoka Marekani inaitwa Soul food kama sijakosea jina lake. Ilikuwa inarushwa na kituo kimoja cha television cha etv cha South africa. Hiyo series inaonyesha real life ya wapenzi au wanandoa. Unajua watu wakiigiza au konyesha real life huwa wanavutia sana, huwezi kuchoka kuwatizama. Nadhani wahusika wa hiyo series walikuwa wapenzi halisi au wanandoa halisi, na kama hawakuwa wapenzi au wanandoa halisi basi walidhamiria kuonyesha real life ya mahusiano.
Nafikiria kuanzisha kitu cha namna hiyo hapa Tanzania ila kwa sababu ya ushamba wa nchi yetu series yangu haitarushwa hewani na kituo chochote cha TV hapa nchini maana kutakuwa na scenes za kupigana miti live japo haitakuwa too explicit. Yaani ikifikia scene ya tendo la ndoa inaonekana kitendo kinafanyika na kunafichwa baadhi ya sehemu muhimu.
Kwa mfano inapofikia labda tupo sebleni na mke wangu na watoto tunaangalia tv halafu nikahisi nataka unyumba naanza kutoa ishara kwa wife na ishara zote zinaonyeshwa kwenye tv. Ile labda nambeba kumpeleka chumbani inaonyeshwa, ile naanza kumkiss lile deep kiss inaonyeshwa, ile naanza kumshikashika kwenye maungo na kuingiza mikono yangu kwenye maungo yake inaonyeshwa, ile kalegea na yeye anaanza kuonyesha ufundi wake wa kunigusa sehemu mbalimbali za mwili wangu inaonyeshwa, ile labda namuweka kitandani na kuendelea kumlambalamba sehemu za wazi kama vile shingoni, masikioni, miguuni n.k inaonyeshwa.
Tukianza tendo lenyewe labda ndio pasionyeshwe au panaweza kuonyeshwa lakini bila kuonyesha sehemu za siri yaani panaweza kuonyeshwa kuanzia mgongoni kwenda juu ili watazamaji waone facial expression kwa sekunde chache then wanakata. Yaani waone jinsi sura ya mwanamke inavyobadirika akiwa anafanya tendo la ndoa.
Labda wife anaweza akawa anapika halafu mie nahisi kuiihitaji hiyo kitu basi namfuata huko huko jikoni nakuanza kumchombeza, vyote hivi vinaonyeshwa.
Hii series inaweza kuwa na mambo mengi ndani yake. Inaweza kuhusisha mambo ya biashara, kule kwenye biashara wakati wa mchana kunaonyeshwa ninavyopambana, kunakuwa na mambo ya kazi yaani mmoja wa wanandoa anaweza akawa mfanyakazi, huko kazini kwakwe kukawa kunaonyeshwa. Pia inaweza kuhusisha michepuko, maana mwanaume hawezi kukosa michepuko, kwa hiyo kama kuna drama za michepuko zinazoyumbisha ndoa ya main character kunakuwa na scene zake pia.
Labda leo nimechelewa kurudi kazini nilikuwa kwa mchepuko kunaonyeshwa, mchepuko kapiga simu usiku wife kapokea simu kunazuka ugomvi wa kufa mtu kunaonyeshwa, kifupi uhalisia wa maisha ya kuwa na mchepuko kunaonyeshwa. Kama mchepuko ni mzuri kumzidi wife na hiyo labda ndio sababu ya mume kuchepuka nako kutaonyeshwa ili kuwafanya watazamaji waendelee kufuatilia kuona mwisho wa hii familia ni nini.
Kama labda wife ni mzuri kumzidi mchepuko nako itaonekana, na watazamaji watabaki na waswali kichwani kwa nini mume anachepuka ilihali mkewe ni mrembo kumzidi mchepuko. Kifupi inakuwa ni series yenye vimbwaga vyenye uhalisia na sio maigizo kama ya bongo movie.
Hii series inaweza ku-involve familia kama tatu zaidi yangu. Kwa hiyo nitatafuta watu watatu wanaohitaji wawe sehemu ya hii series ili kuwe na vionjo tofauti tofauti, si unajua kila familia ina raha na changamoto zake za kimapenzi na za kimaisha. Kwa hiyo watazamaji watakuwa wanapelekwa kwenye familia za watu tofautitofauti. Huko pia watakuwa wanakutana na real life la mapenzi ya family Y, X and Z. Huko nako full mikasi na drama nyingine za mahusiano.
Series kama hii ikianzishwa nina uhakika itapata watazamaji wengi sana na wahusika watapiga hela sana. Ila wake zetu wa kibongo hawawezi kukubali, atakuambia hawezi kufanya hiyo reality show kwa hiyo ukinzani utaanzia kwa wahusika wenyewe.
Kuna wazo moja limeniijia kichwani na ni wazo zuri sana la kutengeneza hela na yeyote atakayeweza kuliweka in practice lazima aogelee hela mpaka azichoke.
Kuna series moja kutoka Marekani inaitwa Soul food kama sijakosea jina lake. Ilikuwa inarushwa na kituo kimoja cha television cha etv cha South africa. Hiyo series inaonyesha real life ya wapenzi au wanandoa. Unajua watu wakiigiza au konyesha real life huwa wanavutia sana, huwezi kuchoka kuwatizama. Nadhani wahusika wa hiyo series walikuwa wapenzi halisi au wanandoa halisi, na kama hawakuwa wapenzi au wanandoa halisi basi walidhamiria kuonyesha real life ya mahusiano.
Nafikiria kuanzisha kitu cha namna hiyo hapa Tanzania ila kwa sababu ya ushamba wa nchi yetu series yangu haitarushwa hewani na kituo chochote cha TV hapa nchini maana kutakuwa na scenes za kupigana miti live japo haitakuwa too explicit. Yaani ikifikia scene ya tendo la ndoa inaonekana kitendo kinafanyika na kunafichwa baadhi ya sehemu muhimu.
Kwa mfano inapofikia labda tupo sebleni na mke wangu na watoto tunaangalia tv halafu nikahisi nataka unyumba naanza kutoa ishara kwa wife na ishara zote zinaonyeshwa kwenye tv. Ile labda nambeba kumpeleka chumbani inaonyeshwa, ile naanza kumkiss lile deep kiss inaonyeshwa, ile naanza kumshikashika kwenye maungo na kuingiza mikono yangu kwenye maungo yake inaonyeshwa, ile kalegea na yeye anaanza kuonyesha ufundi wake wa kunigusa sehemu mbalimbali za mwili wangu inaonyeshwa, ile labda namuweka kitandani na kuendelea kumlambalamba sehemu za wazi kama vile shingoni, masikioni, miguuni n.k inaonyeshwa.
Tukianza tendo lenyewe labda ndio pasionyeshwe au panaweza kuonyeshwa lakini bila kuonyesha sehemu za siri yaani panaweza kuonyeshwa kuanzia mgongoni kwenda juu ili watazamaji waone facial expression kwa sekunde chache then wanakata. Yaani waone jinsi sura ya mwanamke inavyobadirika akiwa anafanya tendo la ndoa.
Labda wife anaweza akawa anapika halafu mie nahisi kuiihitaji hiyo kitu basi namfuata huko huko jikoni nakuanza kumchombeza, vyote hivi vinaonyeshwa.
Hii series inaweza kuwa na mambo mengi ndani yake. Inaweza kuhusisha mambo ya biashara, kule kwenye biashara wakati wa mchana kunaonyeshwa ninavyopambana, kunakuwa na mambo ya kazi yaani mmoja wa wanandoa anaweza akawa mfanyakazi, huko kazini kwakwe kukawa kunaonyeshwa. Pia inaweza kuhusisha michepuko, maana mwanaume hawezi kukosa michepuko, kwa hiyo kama kuna drama za michepuko zinazoyumbisha ndoa ya main character kunakuwa na scene zake pia.
Labda leo nimechelewa kurudi kazini nilikuwa kwa mchepuko kunaonyeshwa, mchepuko kapiga simu usiku wife kapokea simu kunazuka ugomvi wa kufa mtu kunaonyeshwa, kifupi uhalisia wa maisha ya kuwa na mchepuko kunaonyeshwa. Kama mchepuko ni mzuri kumzidi wife na hiyo labda ndio sababu ya mume kuchepuka nako kutaonyeshwa ili kuwafanya watazamaji waendelee kufuatilia kuona mwisho wa hii familia ni nini.
Kama labda wife ni mzuri kumzidi mchepuko nako itaonekana, na watazamaji watabaki na waswali kichwani kwa nini mume anachepuka ilihali mkewe ni mrembo kumzidi mchepuko. Kifupi inakuwa ni series yenye vimbwaga vyenye uhalisia na sio maigizo kama ya bongo movie.
Hii series inaweza ku-involve familia kama tatu zaidi yangu. Kwa hiyo nitatafuta watu watatu wanaohitaji wawe sehemu ya hii series ili kuwe na vionjo tofauti tofauti, si unajua kila familia ina raha na changamoto zake za kimapenzi na za kimaisha. Kwa hiyo watazamaji watakuwa wanapelekwa kwenye familia za watu tofautitofauti. Huko pia watakuwa wanakutana na real life la mapenzi ya family Y, X and Z. Huko nako full mikasi na drama nyingine za mahusiano.
Series kama hii ikianzishwa nina uhakika itapata watazamaji wengi sana na wahusika watapiga hela sana. Ila wake zetu wa kibongo hawawezi kukubali, atakuambia hawezi kufanya hiyo reality show kwa hiyo ukinzani utaanzia kwa wahusika wenyewe.