Nianze kwa kukumbuka mwaka 1971 nikiwa Kijana. Serikali ya Jamuhuri ya Muungano ilikusanya maoni ya wananchi nchi nzima kuhusu MAKAO MAKUU YA CHAMA NA SERIKALI KUHAMISHIWA DODOMA. Sina uhakika kama maoni hayo yalikusanywa pia Zanzibar, ila cha msingi hapa ni kuwa uliwekwa utaratibu mzuri kwa...
Katika maisha ya binadamu mara zote kimbilio kuu huwa ni ndugu katika kutatua jambo la dharura!
Kwa unavyowajua ndugu zako, wewe na ndugu zako kukiwa na jambo la dharula na mkaamua kuchangishana hapo kama wana ndugu ndani ya siku moja au mbili mnaweza kupata top top Tsh ngapi ile Maximum...
Nimejipiga nimepata kaeneo kakujenga katikati ya makazi ya watu wengine! Kulingana na udogo wake nimetenga kuwa "kanyumba"kangu ka kuishi kachukue eneo la ukubwa wa futi 40 urefu kwa futi 25 upana.
Ninaombeni ushauri hivi kwa ukubwa huo ninaweza kupata nyumba ya vyumba vingapi ikiwa nyumba...
Baada ya kugundua umetukwaza kwa DPP Biswalo Mganga na Kelele kuwa nyingi Mitandaoni hatimaye leo umefanya U - Turn ya maana kwa Kutufurahisha kwa Kumtumbua DC Ole Sabaya.
Na kwa jinsi Watanzania tulivyo Watu wa Bendera fuata upepo na Watu tunaoishi kwa Matukio na Mihemko tayari la Biswalo...
Mafundi ujenzi, plumbers, carpenters wenye uzoefu wanahitajika.
Wawe wenye kuijua kazi zao na kuweza kusimamia wengine wasio na uzoefu. Wakiweza kufundisha itakuwa ni plus.
Location yetu ni Misugusugu, Kibaha, Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Kazi zinaweza kuwa za kusafiri na kuhamahama.
Kwa maelezo...
wakuu habari za mda huu,
Wakuu leo nimepoteza simu ni samsung galaxy A31 hivi naweza kuipata nna imei namba zake kwa sababu box lake ninalo.
Naomba kuwasilisha.
Baada ya Ikulu zote nchini Kisiwandui, Magogoni na Chamwino kukaliwa na Watanzania visiwani ndiyo nikaona umuhimu wa kuwa na serikali tatu au moja tu. Serikali tatu itasaidia kutunza siri na nyaraka za serikali ya Zanzibar na siri na nyaraka za serikali ya Tanganyika.
Serikali moja inasaidia...
Habari zenu wakuu?
Naomba tusaidiane namna bora ya mtu kupata mafao yake kwa haraka maana kuna mzee wangu amestaafu ualimu tangu January mwaka jana na mpaka leo anafuatulia mafao yake bila mafanikio.
Kila akienda mkoani hapo Kibaha anapigwa sound file halijatoka, mara Email haijasomwa yaani...
Nakusalimu tena kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mama yangu!
Ni nadra sana Mimi Lord Denning kuandika nyuzi mbili humu ndani Ila leo imebidi nikuandikie humu maana nimegundua kuwa wewe ni mwanachama na mpenzi wa hili jukwaa! Nimeandika ushauri wangu kwako juu ya reformation...
Nataka kusafiri kidogo. Lakini nataka safari yangu iwe yenye manufaa. Ninataka niende Tanga but sitaki enda mikono mitupu. Nataka nije na mzigo wa biashara. Wa kawaida tu usiozidi Mil 1. Kama utafiti tu.
Najiuliza nilete bidhaa gani Tanga ili niuze ndani ya siku 2-3 then nirudi zangu dar. But...
Ingependeza sana katika kuimarisha sanaa, utamaduni na michezo pale bungeni kikaanzishwa na kikundi cha ngoma za asili
Tayari kuna timu za mpira wa miguu mpira wa pete wavuta kamba na kikundi cha kwaya.
Nani ungependa wawemo katika kikundi cha ngoma za asili?
Ramadhan Kareem!
Kama unaendesha gari lako ghafla taa hii nyekundu ikawaka ni vema ukatafuta mahali ambako pako salama ukapaki gari yako na ukaizima kwanza.
Rangi nyekundu iliyoko kwenye hiyo alama inatosha kukuambia kwamba hilo ni tatizo ambalo linahitaji kutatuliwa haraka sana kabla halijaleta madhara...
Kutokana na ripoti ya CAG inayoonesha upigaji wa hali ya juu katika serikali ya awamu ya tano chini ya Mwendazake basi haraka sana fanyeni yafuatayo:
i/ Acheni kuandaa makala na vipindi vinavyosifu mambo aliyofanya Mwendazake. Umeshaambiwa ATCL imeingiza hasara ya 153bilioni kwa miaka mitano...
Wandugu, sasa ni muda muafaka wa kurejesha ule mradi wetu mkubwa wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kwa maslahi mapana ya kiuchumi na kwa faida za kichumi.
Yafanyike maandalizi mapema na washirika wote wakae katika mazungumzo ili hatimae mradi uanze kazi mara moja.
Ikumbukwe mradi huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.