Wastaafu wa PSSSF mnaotarajia kustaafu mjipange msitegemee kulipwa haraka mafao na pensheni

Mung Chris

JF-Expert Member
Sep 12, 2017
3,367
3,778
Niwasaidie tu wanao tegemea kustaafu kuanzia mwezi huu wa 9 na kuendelea, natumai ma tamko ya Mawaziri na Marais wawili aliyepita na aliyeko madarakani mlisikia kabisa wakisema na kusisitiza watu walipwe mapema akiwemo Waziri ambaye ni mbunge wa Jimbo la Peramiho. Hakuna utekelezwaji hadi leo hii mnavyo sikia OMBI LANGU KWENU NI KWAMBA:

Mjipange muwe na akiba ya pesa ya kula na kutumia kama miezi 12 hivi kwa kusubiria pensheni na mafao. Mkicheza, mkifanya yenu, mtatafuta pa kukimbilia kumbukeni kwa sasa hamuwezi kulelewa na wazazi wenu tena na wao kuwalisha na familia zenu. Wenzenu tumesota haswa haswa. Hakuna cha mafao wala pensheni, wao PSSSF wanategemea eti kulipa malimbikizo ya pensheni siku watakulipa mafao sasa waulize ni lini hata wao hawajui.

Kaeni vizuri nawasaidia mtakuja kunishukuuru badae na ka zawadi mtanipa. Mimi ni muhanga wa hili najua maumivu ya mtu mwenye familia kukaa bila bila aibu mpaka kwenye familia na ndugu.

Jiulize kwanini hawaleti vipindi kwenye TV kama NSSF ili watoe na wajinadi watu wawe na maswali kwao. kuna maswali hawataki kusikia
 
Nashangaa maza anaendelea kuongelea story za kuleta ndege mpya wkt wastaafu wanaishi kama mbwa mtaani.

Nashauri mlioko serikalini pigeni mpunga by any means possible maana mkistaafu mtaishi kama mbwa na mtachekwa kishenzi,hao wanaowaambia upuuzi wa kuweni wazalendo msiibe achaneni nao,wao wako kwny ma V8 hawajui hata madhila na aibu mnazozipitia huko mtaani.Ibeni,ibeni,ibeni.

Ukidakwa ni ajali kazini.
 
Na hapa ndio naukubali ule usemi wa mtu pekee wa kumwibia ni serikali na si vinginevyo. Sababu serikali haina hasara wala haijawahi pata hasara!!
Nakubali ulichokisema kwa 100% mkuu,jamaa Ni wa kuwaibia ipasavyo maana hawana huruma na watu wao.

Watu wanaiba huko serikalini tangu nchi inapata Uhuru mpk Leo na serikali haijawahi kufirisika Wala nini.Maisha yanaendelea tu.
 
mwanangu,so tunayaona huku kitaa,Kuna means karetire 2020 mwezi may,kaja pata mkwanja wake,this year April kudadadeki.
 
wanasote tena usiseme hata nauli za kurudi majumbani inekuwa porojo mtu anadai nauli ya laki 9 bado hawezi kupewa mara oh serikali haina hela
Nasikia hata polisi wanaotupiga virungu kwa maelekezo ya viongoz wa ccm nao wanasota mbaya kabisa
 
Subirini tulete midege tuionyeshe kwenye ma TV kama enzi za jiwe ili mama naye akae fenti peji kama jiwe
Mmekula wa mbwa, mtanyooka.
Hawa wastaafu wengi ni wajinga sana. Kuna mbaba kastaafu May mwaka huu ashaanza kula msoto. Anaishadadia sana CCM, kila ukimpa somo haelewi.
Mimi kustaafu bado miaka 28 , kipindi hicho tutakuwa na Rais Mzungu
 
Niwasaidie tu wanao tegemea kustaafu kuanzia mwezi huu wa 9 na kuendelea, natumai ma tamko ya Mawaziri na Marais wawili aliyepita na aliyeko madarakani mlisikia kabisa wakisema na kusisitiza watu walipwe mapema akiwemo Waziri ambaye ni mbunge wa Jimbo la Peramiho. Hakuna utekelezwaji hadi leo hii mnavyo sikia OMBI LANGU KWENU NI KWAMBA:

Mjipange muwe na akiba ya pesa ya kula na kutumia kama miezi 12 hivi kwa kusubiria pensheni na mafao. Mkicheza, mkifanya yenu, mtatafuta pa kukimbilia kumbukeni kwa sasa hamuwezi kulelewa na wazazi wenu tena na wao kuwalisha na familia zenu. Wenzenu tumesota haswa haswa. Hakuna cha mafao wala pensheni, wao PSSSF wanategemea eti kulipa malimbikizo ya pensheni siku watakulipa mafao sasa waulize ni lini hata wao hawajui.

Kaeni vizuri nawasaidia mtakuja kunishukuuru badae na ka zawadi mtanipa. Mimi ni muhanga wa hili najua maumivu ya mtu mwenye familia kukaa bila bila aibu mpaka kwenye familia na ndugu.

Jiulize kwanini hawaleti vipindi kwenye TV kama NSSF ili watoe na wajinadi watu wawe na maswali kwao. kuna maswali hawataki kusikia
Magufuli ndo ametufikisha hapo.
SSRA walikuwa sahihi sana suala la kikokotoo, watu wakamshangilia mwehu kwa papara zake kumtimua Yule Irene.
Viongozi wapimwe akili kabla ya kupigiwa kura.

Over
 
Mimi niliposikia kuwa Serikali inadaiwa na mifuko ya jamii kama sikusahau shs.1.2t/- ndiyo nikajua ndiyo chanzo Cha wastaafu kusota!
 
Back
Top Bottom