Yaani salama mimi sio wa siasa kutokea Chdema ni mpiga debe wa siasa kwa ujumla iwe CCM au wengine,sasa hili la kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema naona limenigusa ni sawa na kutekwa kwa Mwenyekiti wangu wa CCM, awe wa ngazi ya Taifa au ya Tawi .
Nihisivyoa utekaji wa mwenyekiti wa Chadema ulikwenda WRONG na ndio tukashuhudia tuliyoshuhudia ,manane ya usiku kumkamata mtu ambae ni maarufu na kutwa kucha yupo mitaani hajifichi wala hakimbii ni mara ngapi Mwenyekiti wa Chadema waliitwa polisi na kuhudhuria.
Je, Mbowe alikuwa ni fugutive and wanted and his body (pictures) were tagged by cost with billboards on the street? Ni wazi mission ya kumteka na kusingizia watu wasio julikana ilikwenda mchomo, waliopanga bila ya shaka yeyote walikosea stepu au tuseme Mungu aliwaadhirisha, mipango ilifeli.
Na kama utaangalia utaona mpangilio wa kubangaiza ambao ilibidi watafute hili na lile ili iwe ni kesi. Tumesikia na kuona matangazo ya mwanzo mara amekamatwa kwa sababu hii mara ile ,kwa akili ya haraka haraka ili kuhalalisha wakati wa kuvamia saa nane za usiku wakaishia na kosa la Ugaidi.
Kilichotokea ni utekaji uliofeli kama wangefanikiwa nahisi yangekuwa yale ya wasiojulikana, mnaoweza kupinga leteni facts kama ulikuwa sio utekaji.
Nihisivyoa utekaji wa mwenyekiti wa Chadema ulikwenda WRONG na ndio tukashuhudia tuliyoshuhudia ,manane ya usiku kumkamata mtu ambae ni maarufu na kutwa kucha yupo mitaani hajifichi wala hakimbii ni mara ngapi Mwenyekiti wa Chadema waliitwa polisi na kuhudhuria.
Je, Mbowe alikuwa ni fugutive and wanted and his body (pictures) were tagged by cost with billboards on the street? Ni wazi mission ya kumteka na kusingizia watu wasio julikana ilikwenda mchomo, waliopanga bila ya shaka yeyote walikosea stepu au tuseme Mungu aliwaadhirisha, mipango ilifeli.
Na kama utaangalia utaona mpangilio wa kubangaiza ambao ilibidi watafute hili na lile ili iwe ni kesi. Tumesikia na kuona matangazo ya mwanzo mara amekamatwa kwa sababu hii mara ile ,kwa akili ya haraka haraka ili kuhalalisha wakati wa kuvamia saa nane za usiku wakaishia na kosa la Ugaidi.
Kilichotokea ni utekaji uliofeli kama wangefanikiwa nahisi yangekuwa yale ya wasiojulikana, mnaoweza kupinga leteni facts kama ulikuwa sio utekaji.